Dotworld
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,035
- 3,783
Kongosho ... bora wewe umeliona hilo sasa baada ya mtu kutaja ID yake sasa watu wanafuata post zake na kuanza matatizo ... nafikiri hii si sawa, hebu angalia hawa wajama hapa chini ...Mbona umem-name calling marhemu? Kwani ruksa?Yawezekana hata ufoo mwenyewe hajui, utawagombanisha zaidi.
Nimeikumbuka uzi wake uliokuwa unasema "sijawahi kupanda ndege....Nielimisheni."
nimetafuta post zake nimezisoma zinachekesha sana ila ndio hivyo hatupo nae tena,pumzika unapostahili mkuu.
Last edited by a moderator: