Musalia Mudavadi ajitoa rasmi ODM na kujiunga na UDF

Rais wa Kenya atachaguliwa na wakenya wenyewe si rahisi kutabiri nani atakuwa rais wa Kenya tusubiri muda ukiwadia atajulikana.

dunia haiko hivyo leo na ndiyo maana kuna kura za maoni na kuna political pundits kazi yao ni kupunguza utata kwa kujaribu kumulika kilichoko mbele yetu kwa kutumia sayansi na tekinolojia.........
 
Mbona siwaoni kina Smatta, Mwembetayari & co kwenye uzi huu???

Sisi ndio tunawasemea na kujitia kujua siasa za Kenya???

Makongoro Mahanga ameshinda kesi, twendeni nyumbani(jukwaa la siasa) tuishinikize serikali kuwa na muhimili wa mahakama ulio huru!!

Its Now or Never!
 
unaelewa siri iliyopo hapo?

mahakama inataka uchaguzi usogezwe mbele,lakini kama wapinzani watajitoa ktk serikali ya umoja wa kitaifa inamaanisha ni lazima serikali ivunjwe na uchaguzi ufanyike upya

sasa mpaka sasa,mbinu ya kuivunja serikali na kutaka uchaguzi ufanyike mwezi wa 12 ndio hivyo tena itakamilika

mpinzani ni nani na wote wako serikalini ambao ndiyo wenye nafasi kubwa ya kutwaa kitebe?
 
..Kinyume chake Raila ndio ameshakwisha hivyo, uraisi atausikilizia tu kama Baba yake,Jaramogi, alivyousikilizia bombani...


...katika kipindi hiki kifupi baada ya uchaguzi wa 2007, ameshakosana na Pentagon members,Ruto-Rift Valley, Balala-Cost, na Mudavadi-Western, na bado Charity Ngilu-Eastern nae hawaivi tena...
raila amejifunza kupitia kwa yaliyomtokea Baba yake. Na pia akajifunza zaidi kwa yaliyotokea Dec 2007. Anajua anachokifanya na amejiandaa vya kutosha. Anajua adui yake ninani na ni nini kitakachomkwamisha
 
raila amejifunza kupitia kwa yaliyomtokea Baba yake. Na pia akajifunza zaidi kwa yaliyotokea Dec 2007. Anajua anachokifanya na amejiandaa vya kutosha. Anajua adui yake ninani na ni nini kitakachomkwamisha

soma hii khabari utajua Raila ana wakati mgumu sana......akiwa PM ungelitegemea awe hana upinzani mkubwa lakini SYNOVATE wanamtabiria mambo magumu sana....................

[h=1]Pollster says Raila faces competition at run-off[/h]
 
..Kuna siku nilikuwa naongea na Rafiki yangu mmoja Mkenya, anasema chaguo sahihi la Rais atakayeingoza Kenya baada ya Kibaki, ni Kenneth Marende, Spika wa sasa wa Bunge la Kenya. Kwamba ni Mtu makini, mwenye msimamo na asiye na makundi.
 
it is true I am not God but I am inspired by God Himself to ascertain that Raila, like father like son, the presidency was not designed for him......................angalikuwa ana utashi wa siasa angalikataa kuwa PM na kumwachia Ruto leo wote ndani ya PENTAGON iliyosambaratika wangelimlamba miguu......lakini uroho wa madaraka sasa unamuumbua...........udhaifu wake kama kiongozi njenje.......................kila mtu anamjua ni kiongozi wa namna gani kama akiupata uraisi.......ukumbuke ni ile PENTAGON ndiyo iliyomfikisha hapo alipo na maisha yake yote amekuwa akiwasaliti wenzie.sasa the chickens are coming home not to roost but to roast him.....Raia the traitor........

So you are TD Joshua.
 
...Raila ni wa Nyanza-Wajaluo-13% ya Wakenya, na Mudavadi ni wa Western-Waluhya-14% ya Wakenya, japo maeneo yote hayo yapo Magharibi ya Kenya...

...Ruto yeye ameikamata Rift Valley-Wakalenjin-12% ya Wakenya na Uhuru Kenyatta yeye amekamata Wakikuyu-22% ya Wakenya, na wakati huohuo Kalonzo Musyoka na Charity Ngilu wanakamata Eastern-Kambas wambo ni 11% ya Wakenya...

...Sasa ukienda kikabila kama siasa za Kenya zilivyo, kwa mlolongo huu, endapo Mudavadi na Wamalwa-Waluhya, wakaungana pamoja na Uhuru,Ruto, Kalonzo Musyoka-Charity Ngilu, ambayo ni more than 57% ya Wakenya, kwa sababu kwao adui mkuu zaidi ni Raila, then Raila hana namna ya kushinda uraisi....

Bi. Charity Ngilu kuungana na Mudavadi itakuwa ngumu kwa sababu Mudavadi anaelekea kuvutwa na G7 ambamo na Kalonzo yupo.Kalonzo na Ngilu ni kama Sumaye na Lowassa.
 
Kwani iko mbaya gani, politics ya kenya sio ekspe kivile, Raila ata ring kwa uchaguzi, na isitoshe ana doo mingi. Mudabadi hawezi toboa.
 
I think for Raila, his goose is cooked and like the farther he may never see Kenyan presidency. For one, he has antagonized so many people many of whom fought to give him the powers he is enjoying. And many Kenyans I am sorry to say don't trust him. He is a potential dictator. The post election violence is the other dark spot that majority of Kenyans believe that had he wanted it to end, it could not have lasted a day. Then there is the issue of western powers trying to interfere with the Kenyan election. It is now in public domain that Raila is the preferred choice of Britain. They have been caught with a hand in the candy jar trying to manipulate issues for their preferred candidate. That has made even the few of us who had a soft spot for him, to shove it aside otherwise who would enjoy return of colonialism in this age.


Uhuru on the other hand was not that popular in the beginning, but The Hague issue is making him enjoy lots of sympathy particularly from his community. It is largely believed that he organized or is perceived to have organized his community to defend themselves while the Raila brigade was busy calling for mass action. Many Kikuyus especially the enlightened ones believe that it's not fare for another Kikuyu to be elected president at least not this time around; however, if the other option is Raila, they better vote Uhuru or that other candidate who will be challenging Raila.



Musalia Mudavadi is no doubt a force to reckon with. There could be also the arithmetic of G7 alliance consolidating their support behind MM. A Musalia presidency and Uhuru running mate will in no doubt be a difficult group to beat that is incase Uhuru survives the Hague, alternatively Musalia and any other G7 member. Musalia has never at any one time stood in a podium to arrogantly rebuke others; always composed and soft. This is a trait many would like and would be perceived as a sober guy
 
Uhuru is not popular I tell you......not even to an average Kikuyu

Interesting,so if Uhuru is not popular how comes he is the only 'candidate' on the neck of Raila...if he is not popular among the Kikuyu then from which tribe does he gets those votes?And if Uhuru is not popular then who is popular since the son of Jomo is neck to neck with Raila...
 
No matter how many degrees a Kenyan has he will always vote on one principle only-his tribe.Look at the constitution's referendum voting patterns,a place like Bondo or Siaya where Raila hails from those who supported the constitution had a landslide victory of 99.9% while in places like some parts of Rift valley,Ruto's stronghold,the NO team hada landslide majority...verdict,ukabila forever and for always.Even Obama did not enjoy those margins of victory despite the frenzy and euphoria he aroused back then.Raila has to sweat for the Luhya's vote.
 
Bi. Charity Ngilu kuungana na Mudavadi itakuwa ngumu kwa sababu Mudavadi anaelekea kuvutwa na G7 ambamo na Kalonzo yupo.Kalonzo na Ngilu ni kama Sumaye na Lowassa.

Lonestriker uko juu hapo...............[MENTION]@Lonestriker[/MENTION]
 
Tofauti ya ODM na UDM ni nini?

ODM ni behewa la Raila kumfikisha Ikulu na UDF ni behewa la Musalia kumfikisha Ikulu.......vyot3 ni vyama vya siasa ambavyo kazi yake ni kumfikisha mmoja wao Ikulu..........
 
Mimi naona kama Mudavadi ndio anajimaliza kisiasa compared to RO

Mnyisanzu kwa nini waona hivyo?...............................[MENTION]@Mnyisanzu[/MENTION]
 
Back
Top Bottom