Pharm D
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,238
- 3,020
Sasa mbona watu wazima hawa wanawalaza wanne chumba kimoja privacy iko wap hapo???
Mbna MUHAS na UDOM wamejengewa miaka kadhaa ilopita lkn wamedesign vizuri hata watu wawili au mmoja kwa kila rum ambapo mtu unaweza kujistiri kukaa wote wa jinsia moja chumban haimaanish kila kitu mnaweza kufanya mkiwa mnaonana... Wameshindwa hata kunakili tu???
Vitu vya magufuli viko quantity oriented quality ya vitu anavyofanya ni hovyo kabisa rejea ile meli, pangaboya n.k
Mbna MUHAS na UDOM wamejengewa miaka kadhaa ilopita lkn wamedesign vizuri hata watu wawili au mmoja kwa kila rum ambapo mtu unaweza kujistiri kukaa wote wa jinsia moja chumban haimaanish kila kitu mnaweza kufanya mkiwa mnaonana... Wameshindwa hata kunakili tu???
Vitu vya magufuli viko quantity oriented quality ya vitu anavyofanya ni hovyo kabisa rejea ile meli, pangaboya n.k