Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,117
- 4,781
Kuleta mambo makubwa kuliko uwezo, sasa mie huku kigogo nilikoambiwa naishi mdani ndani wanadelivaje? Hata sielewi kweli niwaachie wa mikocheni na masakiHuku uswahilini tumeamua kfc ije nyumbani huko Kentucky ifuateni tu kwenye vibanda vyao.