REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,254
- 11,489
Ngoja watoto wakulima tuje umo lazima nibandike picha ya bwana samata na nessi ukutani
Hakuna mtu roho inamuuma labda mjinga ndiyo roho itamuuma. Kwani chuo kinachagua wanafunzi ki chama? Kitakacho kupeleka pale ni akili yako haijalishi CHADEMA au CCM. Au ukiwa CHADEMA utasema hilo bweni silitaki? Acheni ushabiki usiyo na faidaSafi Sana, ila najua wale jamaa wa upande wa C4M naamini roho zinawauma sana, waelewe tu kwamba hakuna mambo yatasonga kama kwawa!!
Warioba mpige sound akajenge zingine SUA.
I wish ingekuwa hivyo kwa vyuo vyote vya serikali
Hakuna mtu roho inamuuma labda mjinga ndiyo roho itamuuma. Kwani chuo kinachagua wanafunzi ki chama? Kitakacho kupeleka pale ni akili yako haijalishi CHADEMA au CCM. Au ukiwa CHADEMA utasema hilo bweni silitaki? Acheni ushabiki usiyo na faida
Hakuna povu povu ndiyo nini? Posti yako imeeleweka hata ukisema nini hilo ndiyo jibu lake. Wa upande wa Pili ni akina nani? Chuo no kwaajili ya kusoma na kusoma mtu yoyote ana soma haijalishi itikadi nani kajenga ndiyo maana hata shule za Bakwata na za ki kristu unakutana wanafunzi wa dini tofauti japo kuwa kuna wachache kama wewe wanaochaguaMkuu mbona povu kubwa limekutoka? Comment yangu mimi imekaaje kichama sasa?? Duuh Tz ya viwanda sijui itafanikiwa kwa nyie mpendao ubishi usio na maana..Rudia kusoma comment yangu vizuri mkuu
Ina maana humjui Jaji Warioba?![]()
Huyo mzee mwenye mvi mrefu na surubale la kujivu unaweza kukuta ni professor.
Hakuna povu povu ndiyo nini? Posti yako imeeleweka hata ukisema nini hilo ndiyo jibu lake. Wa upande wa Pili ni akina nani? Chuo no kwaajili ya kusoma na kusoma mtu yoyote ana soma haijalishi itikadi nani kajenga ndiyo maana hata shule za Bakwata na za ki kristu unakutana wanafunzi wa dini tofauti japo kuwa kuna wachache kama wewe wanaochagua
Kwani huko uswazi hawali ivyo vyakula ama ubaguzi tuHulipii. Unalipia kinapokuja ulichoagiza. Na mara nyingi wanatumia pikipiki. Na mara chace gari. So anakuja yule delivery man na chakula na receipt unalipa anasepa. Kwa nje ni rahisi sana. Kwanza watu wote wote wanaishi kwenye mitaa iliyo planned Hadi nyumba namba au room namba. Kwa bongo ni ngumu sana. Watu wengi wanaishi sehemu hazina officially mitaa. Hata hao delivery kuna sehemu hawataenda. Mfano huko uswazi sijui uwanja wa fisi.
Nana watawekewa ngazi maana kwa urefu ule mmm!Hayo ma locker yapo juu ya meza za kusomea sasa watatunzaje vitu humo? kwa joto la dar wanaosomea kwenye hizo meza juu wamefunikwa na ma locker itakuwaje hao ma designer veepe?
Unabisha na watu wenye fani zao waliofanya hiyo kazi???..ww mtkHayo ma locker yapo juu ya meza za kusomea sasa watatunzaje vitu humo? kwa joto la dar wanaosomea kwenye hizo meza juu wamefunikwa na ma locker itakuwaje hao ma designer veepe?
Hata akipiga vitu ....c vinaonekana ww vepe?Mpigaji huyo, hamna kitu
HAWA WATOTO WALIOZALIWA JANA BHANA, HATA HAWAMFAHAMU JAJI WARIOBA![]()
Huyo mzee mwenye mvi mrefu na surubale la kujivu unaweza kukuta ni professor.
Warioba au yupi?![]()
Huyo mzee mwenye mvi mrefu na surubale la kujivu unaweza kukuta ni professor.
Unashangaza sana!Hayo ma locker yapo juu ya meza za kusomea sasa watatunzaje vitu humo? kwa joto la dar wanaosomea kwenye hizo meza juu wamefunikwa na ma locker itakuwaje hao ma designer veepe?
Hata akipiga vitu ....c vinaonekana ww vepe?
Mafundi wetu wanalipwa mishahara.mbao zipo iringa ni kufuata tu unapewa Lori la jeshi, vibarua wafungwa,mafundi seremala VETA,Suma jkt, Vitanda SIDO.10b? mh Rais kuwa mkweli