Muonekano wa ndani wa mabweni mapya UDSM

Muonekano wa ndani wa mabweni mapya UDSM

Pongezi sana kwa mh rais magufuli,vijana wameondokana na taabu ya kupanga mitaani.Safi sana tunataka maendeleo sasa
 
Kazi nzuri RAIS .sasa hawa wanafunzi wetu baada ya mda wamiezi 3 utakuta vyoo havifanyi kazi makabati wametoa milango haina vtasa yaani jengo lishachoka mapema.bila kusahau kunguni
Tamka baraka ili na wewe ubarikiwe!
 
Hayo ma locker yapo juu ya meza za kusomea sasa watatunzaje vitu humo? kwa joto la dar wanaosomea kwenye hizo meza juu wamefunikwa na ma locker itakuwaje hao ma designer veepe?
Pia kuna hatari ya kudondokewa na vitu kutoka kwenye hizo kabati, jambo ambalo sio jema kabisa.
Madesigner hapo kidogo wamefeli
 
Waungwana nina vijiswali vidogo kuhusu hizo picha.
Kuna picha mbili hapo anaonekana Waziri Mkuu msitaafu Jaji Joseph Sinde Warioba, lakini hiyo picha ya mwisho wanaonekana pamoja viongozi mbalimbali waalikwa pamoja na Rais ,Warioba hayupo.
Je! Warioba alikwenda hapo kama nani?
Kwanini hayupo kwenye picha ya pamoja?
[emoji15]
 
Safi Sana, ila najua wale jamaa wa upande wa C4M naamini roho zinawauma sana, waelewe tu kwamba hakuna mambo yatasonga kama kwawa!!
Watu wa aina hiyo hawampi taabu Rais Magufuli.

Ninafahamu kuna baadhi ya watu wanaomba Rais Magufuli asifanikiwe kwa sababu mafanikio ya Rais ni kifo chao kisiasa.
 
hivi hostel nayo ni stori ya kuweka fent ford?aende udom aone mabwen hayana kazi watu wanachagua walale wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Siasa zetu ni hovyo sana yaani aliyekosa madaraka anamuombea mabaya aliyepata madaraka, kuna watu wanaomba kila siku Magufuli ashindwe kujenga hata kibanda cha kuchoma chips ili wacheke.

Kuna watu kukamilika kwa mradi wa hostels za UDSM wamekwazika kwelikweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nchi yangu Mungu aisadie ibadilike
 
hivi hostel nayo ni stori ya kuweka fent ford?aende udom aone mabwen hayana kazi watu wanachagua walale wapi
Hayo maneno yako yapeleke kwa wanafunzi wa UDSM ambao hawana sehemu nzuri ya kuishi ambayo iko karibu na chuo.
 
Tamka baraka ili na wewe ubarikiwe!
Brain ndio kila kitu.watu wanatamkiwa baraka kanisani pamoja na baraka zote za wachungaji pamoja na zawatu lakini wanaachana bado. Ukwer lazima usemwe
 
Ni vyema chuo kikachukua idadi ya wanafunzi kulingana na uwezo wake, kusema kichukue wanafunzi laki moja wakati mabweni yaliyopo ni yakutosha wanafunzi elfu saba sio sawa, pia uangaliwe uwezo wa madarasa na vifaa vya kufundishia.

Mtu anapata phd hajui hata maana ya boiling point, haifai. Nikudumaza elimu ya watoto wetu.
 
Brain ndio kila kitu.watu wanatamkiwa baraka kanisani pamoja na baraka zote za wachungaji pamoja na zawatu lakini wanaachana bado. Ukwer lazima usemwe
Believe that way forever!
 
Hongera kwa serikali
Japo bwn Dabashite yuleeee namuonaaa namuonaaa
 
UDOM Waliweka vyoo vya kukalia then maji yakawa changamoto walivifunga wenyewe
Wee sitaki kukumbuka kero ya vyoo udsm main campus maana vyote viko hivo kasoro ground floors tu. Hall 7! Eee Mungu alitulinda tu jamani chuo! Bora Mabibo, ajabu tulivyokuwa tunang'ang'ania Main campus! Sijui watoto wa siku hizi.
 
Unalipia kwanza ndo uletewe ama
Hulipii. Unalipia kinapokuja ulichoagiza. Na mara nyingi wanatumia pikipiki. Na mara chace gari. So anakuja yule delivery man na chakula na receipt unalipa anasepa. Kwa nje ni rahisi sana. Kwanza watu wote wote wanaishi kwenye mitaa iliyo planned Hadi nyumba namba au room namba. Kwa bongo ni ngumu sana. Watu wengi wanaishi sehemu hazina officially mitaa. Hata hao delivery kuna sehemu hawataenda. Mfano huko uswazi sijui uwanja wa fisi.
 
Back
Top Bottom