Mungu siyo mmoja, kuna Mungu wengi. Why?

Mungu siyo mmoja, kuna Mungu wengi. Why?

Je kuuwa kwenu ni ibada???
Ukitaka kupindua nchi kwa maamuzi ya kijinga yenye kuongozwa na uigaji yanayotokea kwingineko unakaribisha hatari maishani mwako.

Vijana waliongozwa na kile kiburi cha ujana kwamba wao wana haki wanaweza kufanya lolote muda wowote, kosa kubwa lilianzia hapo.
 
Mungu wa CCM na Mungu wa Mwenyekiti wa CCM, siyo sawa na MUNGU wa Chadema na Lisu. Hawa ni MUNGU tofauti.

Mungu wa Mafwele, Wambura na Mkunda , Mulilo siyo sawa na Mungu wa wengine.

Na inawezekana MUNGU wa Waislamu siyo sawa na MUNGU wa Wakristo
Hakuna aliyemuona Mungu, kama vile hakuna aliyeziona akili.
Miungu iliyotengenezwa na wanadamu ipo mingi tu lakini Munguwa sifa za kuitwa Mungu wa haki na wa kweli ni Mmoja tu. Usifikirie kwa kutumia chombo kinachochochewa na hasira hauta uona ukweli.
 
Je Mungu hubariki,kufira, kulawiti, kubaka kuteka na kuua zaidi ya neno ukatili??,na bado Mungu huyu huyu ubariki hadi kukejeli maiti na kuwakejeli watu waliopoteza wapendwa wao???
Kupoteza ndugu unaona so special?. Umeshajaribu kufikiri huko DRC huwa maisha ya kawaida kutokea kile kilichotokea TZ October 29.

Yale madhara makubwa ya machafuko, watu wanakuwa wajane wengine yatima ndani ya saa moja tu ya risasi kurindima.

Sio matukio ya kukumbukwa, yanasikitisha na kutisha.
 
Je Mungu hubariki,kufira, kulawiti, kubaka kuteka na kuua zaidi ya neno ukatili??,na bado Mungu huyu huyu ubariki hadi kukejeli maiti na kuwakejeli watu waliopoteza wapendwa wao???

Ukitaka kupindua nchi kwa maamuzi ya kijinga yenye kuongozwa na uigaji yanayotokea kwingineko unakaribisha hatari maishani mwako.

Vijana waliongozwa na kile kiburi cha ujana kwamba wao wana haki wanaweza kufanya lolote muda wowote, kosa kubwa lilianzia hapo.
Je kupora uchaguzi nayo ni haki,je kupindua nchi ni nini ??,je anayepora uchaguzi si ni sawa na anayepindua nchi??,je kwa uelewa mdogo je mamlaka ya nchi yanatoka kwa nani kwa viongozi au raia???
 
Je Mungu hubariki,kufira, kulawiti, kubaka kuteka na kuua zaidi ya neno ukatili??,na bado Mungu huyu huyu ubariki hadi kukejeli maiti na kuwakejeli watu waliopoteza wapendwa wao???
Mungu hutenda mema tuu,na shetani hutenda maovu, kukitokea uovu wowote kwa watu wake, ni Mungu ameruhusu shetani atende huo uovu.

Japo inaelezwa Yakobo alikuwa na wana 12, watoto wa kike, hawakuhesabiwa, hiyo kuna mjaamaa mmoja alimbaka binti wa Yakobo akiitwa Dina na kumtoa B, kaka zake 10 walikwenda kwenye huo mji, na kuwaambia ili kijana wao aruhusiwe kuoa kwao, lazima wanaume wote wa ukoo huo watahiriwe, wakakubali na kuwatahiri wanaume wote, wakati wanaugulia vidoda, waliwavamia usiku, nyumba hadi nyumba, kuchinja wanaume wote, waka loot kila cha thamani, wakawachukua mateka wanawake na watoto, wakateketeza nyumba zote!.
Hao wote waliouwawa wana kosa gani?.

Daudi alimtamani mke wa Uria, Bersheeba, akamuua Uriah na kumtwaa Bersheeba na kumfanya mkewe, ndiye aliyemzalia Suleiman. Uriah alikuwa na kosa gani?.

Wakati wana Israel wakitoroka kutoka Misri, kila mzaliwa wa kwanza wa binadamu hadi wa wanyama walikufa. Walikuwa na kosa gani?.

Sometimes ili ukombozi upatikane ni lazima kutolewa kwa kafara ya damu.
P
 
Hakuna aliyemuona Mungu, kama vile hakuna aliyeziona akili.
Miungu iliyotengenezwa na wanadamu ipo mingi tu lakini Munguwa sifa za kuitwa Mungu wa haki na wa kweli ni Mmoja tu. Usifikirie kwa kutumia chombo kinachochochewa na hasira hauta uona ukweli.
Huyo mmoja ulimuona wapi? Hiyo haki aliyotenda iko wapi?
 
Mungu hutenda mema tuu,na shetani hutenda maovu, kukitokea uovu wowote kwa watu wake, ni Mungu ameruhusu shetani atende huo uovu.

Japo inaelezwa Yakobo alikuwa na wana 12, watoto wa kike, hawakuhesabiwa, hiyo kuna mjaamaa mmoja alimbaka binti wa Yakobo akiitwa Dina na kumtoa B, kaka zake 10 walikwenda kwenye huo mji, na kuwaambia ili kijana wao aruhusiwe kuoa kwao, lazima wanaume wote wa ukoo huo watahiriwe, wakakubali na kuwatahiri wanaume wote, wakati wanaugulia vidoda, waliwavamia usiku, nyumba hadi nyumba, kuchinja wanaume wote, waka loot kila cha thamani, wakawachukua mateka wanawake na watoto, wakateketeza nyumba zote!.
Hao wote waliouwawa wana kosa gani?.

Daudi alimtamani mke wa Uria, Bersheeba, akamuua Uriah na kumtwaa Bersheeba na kumfanya mkewe, ndiye aliyemzalia Suleiman. Uriah alikuwa na kosa gani?.

Wakati wana Israel wakitoroka kutoka Misri, kila mzaliwa wa kwanza wa binadamu hadi wa wanyama walikufa. Walikuwa na kosa gani?.

Sometimes ili ukombozi upatikane ni lazima kutolewa kwa kafara ya damu.
P
Je unakubaliana namimi kwasasa Tanzania iko kwenye mkono wa shetani,aliyekunywa damu zaidi ya wapenda haki elfu 23 plus
 
Mwenye hofu ya Mungu tunaomjua na kumhubiri na kuvaa hijabu 24 hrs a day for life, hawezi kufanya wanayofanya CCM
Unavyotafsiri wewe hofu ya mungu ni tofauti na wengine wanavyotafsiri, mfano leo hii mauaji wanayofanya Wa Israel kwa Wapalestina ni genocide lakini kuna watu wengine wanaamini wanatimiza wajibu na mpango wa kimungu.

Leo hii magaidi wanaoua watu huko Nigeria na Pakistan wanaamini wanatimiza mapenzi ya mungu na hivyo wana hofu ya mungu kuuondoa uovu wa kikafiri kwa mikono yao.
 
Je unakubaliana namimi kwasasa Tanzania iko kwenye mkono wa shetani,aliyekunywa damu zaidi ya wapenda haki elfu 23 plus
Tanzania haiko kwenye mikono ya mungu au shetani, mungu anayezungumzwa na raia wengi wa nchi hii hata kama kweli yupo atakuwa hajihusishi na siasa kabisa ila wanasiasa na watawala ndio wanatumia story zake kufanikisha malengo yao ya kisiasa na mamilioni ya watu wanamtumia kama kivuli cha kujifariji..
 
Je unakubaliana namimi kwasasa Tanzania iko kwenye mkono wa shetani,aliyekunywa damu zaidi ya wapenda haki elfu 23 plus
No Tanzania iko kwenye mikono salama ya mtu mwenye kibali, ni Mungu pekee ndiye ameruhusu shetani afanye kilichotokea.

Aliyepo ndie mwenye kibali cha Mungu, akifanya ndivyo sivyo kinyume cha kibali chake, kibali chake kitafutwa. Magufuli alikuwa na kibali kikafutwa! Rais ni kibali, anajitambua? Je, tumsaidie atimize matakwa ya kibali chake ili kisifutwe, au tumuachie mwenyewe?

P
 
Tanzania haiko kwenye mikono ya mungu au shetani, mungu anayezungumzwa na raia wengi wa nchi hii hata kama kweli yupo atakuwa hajihusishi na siasa kabisa.
Mungu huyu ni yupi ,maana ni maajabu watu elfu 23 plus wameuawa kikatili na muuaji anajisifu na kujidai,lakini muuaji bado anasurvive huu ni ulakini mkubwa,muuaji anapeta na anakejeli
 
No Tanzania iko kwenye mikono salama ya mtu mwenye kibali, ni Mungu pekee ndiye ameruhusu shetani afanye kilichotokea.

Aliyepo ndie mwenye kibali cha Mungu, akifanya ndivyo sivyo kinyume cha kibali chake, kibali chake kitafutwa.

P
Hivi huwa unaamini haya marosoroso yako au ni katika hali ya kuchangamsha genge tu??
 
No Tanzania iko kwenye mikono salama ya mtu mwenye kibali, ni Mungu pekee ndiye ameruhusu shetani afanye kilichotokea.

Aliyepo ndie mwenye kibali cha Mungu, akifanya ndivyo sivyo kinyume cha kibali chake, kibali chake kitafutwa.

P
Kwa maana hiyo kulawiti,kufira,kubaka,kuteka,kuuwa kwa kitindi kali,kuuwa wapenda haki zaidi ya elfu 23 plus ,kukejeri maiti na kusimanga wafiwa yote ni baraka za Mungu?????,Duuh huyu Mungu anaulakini
 
Kwa maana hiyo kuuwa kwa kitindi kali,kuuwa wapenda haki zaidi ya elfu 23 plus ,kukejeri maiti na kusimanga wafiwa yote ni baraka za Mungu?????,Duuh huyu Mungu anaulakini
Hapana, Mungu yu mwema na hutenda mema wakati wote. Mwovu shetani ndio hutenda maovu wakati wote, ila ni Mungu pekee ndiye humruhusu shetani kutenda hayo maovu.

P
 
Huyo mmoja ulimuona wapi? Hiyo haki aliyotenda iko wapi?
Kuona kwa macho si uthibitisho pekee wa uwepo wa kilichopo.
Kuna vitu ambavyo uwepo wake huhisiwa kupitia viungo vingine vya hisia, au hutambuliwa kwa athari zake.
Mungu ni Nuru (Mwanga), na nuru ndiyo asili inayomuwezesha binadamu kuona hata hivyo, nuru inapokuwa kali mno, jicho la nyama haliwezi kudiriki kuihimili wala kuiona moja kwa moja.
Mungu anatenda haki kwa viumbe vyake kwa mujibu wa hekima yake. Dunia hii ni kiwanja cha majaribio, na siku ya malipo ndiyo siku ambayo haki hiyo itaonekana kwa ukamilifu wake.
Tulipokuwa kwenye matumbo ya mama zetu, hakuna aliyeweza kusimulia maisha ya huko tumboni leo tupo duniani tukiwa tumekuzwa na kufundishwa lipi ni jema na lipi ni baya bila kuwa na ufahamu wa maisha ya tumboni.
Ukitenda mema, manufaa yake yanakurudia wewe mwenyewe na ukitenda mabaya, madhara yake pia yanakurudia wewe (Karma).
Kwa maana kila tendo lina athari (reaction) yake, na hakuna linalopotea bure.
 
Back
Top Bottom