Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Ndugu,
Mkuu Kiranga na wengine wameeleza logical contradictions za dhana ya uwepo wa Mungu katika Uzi huu huu na zingine pia. Naomba urudi juu kidogo usome comments kadhaa walau or else, nitakuja kukuwekea angalau list fupi ya hoja hizo.
Huyo Kiranga nishajadiliana naye sana kuhusu suala hili, mwisho wa siku huwa anakumbia maswali. Nilishamuuliza anipe ukamilifu wa logic mpaka uwe marejeo ya kuujia ukweli, hili hakujibu na hakuna anaye weza kujibu, sababu msingi mkuu wa logic ni akili, akili ya mwanadamu si kamilifu vipi logic iwe marejeo ?

Kingine ni kuwa nilimuuliza ya kuwa Contradictions juu ya jambo fulani husababishwa na nini ? Miongoni mwa sababu za kuona jambo Fulani lina utata, ni mtu kuwa mjinga juu ya jambo hilo, na Hilo mnalo nyinyi wakana Mungu. Mola muumba hamumjui ila mnamkana na kudai Kuna contradictions, muite hapa Kiranga aonyeshe hizo contradictions au hata wewe onyesha hizo Contradictions Kisha tuzijadili, sharti usikimbie maswali kama anavyokimbia Kiranga.
 
Mkuu upo serious kweli?
emoji23.png

Ushaambiwa kitu hakipo unataka aliyesema hakipo ndo athibitishe.....
Sasa athibitishe nini wakati hakipo?
Swali dogo tu huyo anaye sema hakipo amejuaje halipo ? Kijana unatumia nini kufikiri ?

Wewe unajuaje kitu Fulani halipo ? Sharti lazima ukijue hicho kitu. Sasabu kitu anabcho hakipo na hakijawahi kuwepo hata kukipitia kwenye akili yako hakikupitii.

Msiwe mnakimbia kujibu maswali na kulazimisha uongo uonekane ukweli kwa ujinga wenu.

Amejuaje kama hakipo ? Wewe unajuaje kitu Fulani hakipo ? Mfano nikakuuliza Kisai yupo, ukasema hayupo. Nikikuuliza umejuaje hayupo utasema hayupo ? Maana yake laziama utakuwa unamjua Kisai ndiyo maana ukasema hayupo.Huu Sasa ni ubahawa.
 
Binadamu tunathibitisha mambo kupitia senses zetu tano ambazo wote tunazijua.

Linapokuja swala la Mungu, binafsi sijawahi kumuona, kumsikia, kumuonja, kumuhisi wala kusikia harufu yake.

Hii inanipa hitimisho kwamba Mungu ni dhana tu iliyoanzishwa na binadamu walipokosa majibu ya asili ya mambo mbalimbali. Kisha akaingizwa kwenye hadithi mbalimbali na kupewa sifa za mamlaka na zingine za kuogofya.

So naamini Mungu haexist physically ila dhana ya Mungu inaishi kwenye vichwa vya mamilioni ya watu duniani Kwa kuwa stori za Mungu zinasimuliwa toka utotoni na dhana ya Mungu imebidhaishwa na watu mbalimbali Kwa manufaa yao binafsi ya kisiasa, kiuchumi na kadhalika.
Ikiwa senses zako zinafanya kazi kwa kuzingatia umbali na direction ya upepo huoni tu mpaka hapo unamapungufu makubwa ya kuzungumzia habari za Mungu.
Kwa mwili huu ulioshindwa hata kuongeza Miaka ya kuishi we kuwa mpole tu mambo mengine yapo nje ya uwezo wako.
 
Mimi ni mmoja kati ya wanaoamini uwepo wa Mungu. Ila nikiangalia hoja za wenzangu mnaoamini, nikalinganisha na za hao atheists (wasioamini), niwe mkweli tu, wenzangu mko na hoja dhaifu sana!

Mtu anathibitisha vipi kitu ambacho haamini uwepo wake? Nikisema ndani kwangu kuna tembo, basi ni jukumu langu kuthibitisha kwamba kweli tembo yupo. Sio niseme eti ndani kwangu kuna tembo, alafu niseme "ambae haamini kama ndani kwangu kuna tembo athibitishe". Huo ni utoto!

Ukimtuhumu mtu kua ni mwizi, basi ni jukumu lako kuthibitisha kwamba mtu huyo ni mwizi. Sio useme fulani ni mwizi, alafu tena useme "kama sio mwizi, athibitishe ". That's a simple judicial logic!
Mbona jibu rahisi tu, ikiwa ni jukumu lako kuthibitisha uwepo wa tembo ndani kwa asieamini basi Kuna principal za kufata Ili aweze kumuona huyo tembo ikiwa ni pamoja kufungua mlango wa nyumba alioko tembo, Sasa anaetaka kumuona Mungu lazima atende mema yampasayo lakini pia akufe katika usafi wa moto, Sasa wewe unataka kumuona tembo alioko ndani ukiwa nje.
 
Swali dogo tu huyo anaye sema hakipo amejuaje halipo ? Kijana unatumia nini kufikiri ?

Wewe unajuaje kitu Fulani halipo ? Sharti lazima ukijue hicho kitu. Sasabu kitu anabcho hakipo na hakijawahi kuwepo hata kukipitia kwenye akili yako hakikupitii.

Msiwe mnakimbia kujibu maswali na kulazimisha uongo uonekane ukweli kwa ujinga wenu.

Amejuaje kama hakipo ? Wewe unajuaje kitu Fulani hakipo ? Mfano nikakuuliza Kisai yupo, ukasema hayupo. Nikikuuliza umejuaje hayupo utasema hayupo ? Maana yake laziama utakuwa unamjua Kisai ndiyo maana ukasema hayupo.Huu Sasa ni ubahawa.
Hakipo ni kwa sababu hakipo
Uhitaji mpaka ukijue hicho kitu ili ujue hakipo.

Sifuri ni sifuri ahuitaji ujue mpaka ndio useme Kuna ombwe na hakuna kitu.

Hakipo kwa sababu hakijawahi kuwepo na hakitakuwepo na hakijawahi kuwepo.

Ukiangalia sifa kinachopewa
Jinsi binadamu wanavyouana kukitetea
Vita na mauaji makubwa yaliyotokea ulimwenguni hapa.
Dhalili na unyanyasaji uliotokea
Ubaguzi kwa misingi ya Imani

Angalia wanadamu wanavyomuelezea tofauti kwenye kila Imani

Mf: wafuasi wa Mohammed
Hajazaa na wala hajazaliwa( Nothingness)
Hafanani na chochote
Mwenyezi na mjuvi wa yote
Ni mwenye wivu


:Wafuasi wa Yesu Mnazareth
Yeye ndio Mungu
Yeye ndio Mwana wa Mungu
Yeye ndio roho mtakatifu.
Yeye mweza wa yote, upendo mkuu na mwenye kusamehe

: Wafuasi wa Budha
Kila binadamu ana Uungu ndani yake
Naye utafikia stage utakuwa enlightened na kuwa Budha.
Hakuna Kuzimu Wala moto ila maisha yote ni sufferings.
Na utarudi Tena duniani ila nafasi yako itategemea matendo yaliyopita.

Bado hujazigusa Hindu na zingine zinazohitilafiana Toka Moja kwenda nyingine, unakuja kugundua ni mawazo ya watu waliyojenga vichwani mwao na kudumu kizazi hadi kizazi ila hayana ukweli.

Ni kama stori za shing'weng' we huku usukumani.
Je Kuna mtu ameshawahi kumuona shing'weng'e jibu ni hapana ila kila mtoto anaamini lipo na linachukua watoto.

Tunajua hayupo na hajawahi kuwepo na hatokuwepo.

Kutojua log 2 jibu lake
Haifanyi niamini lazima iwe nne
 
Huyo Kiranga nishajadiliana naye sana kuhusu suala hili, mwisho wa siku huwa anakumbia maswali. Nilishamuuliza anipe ukamilifu wa logic mpaka uwe marejeo ya kuujia ukweli, hili hakujibu na hakuna anaye weza kujibu, sababu msingi mkuu wa logic ni akili, akili ya mwanadamu si kamilifu vipi logic iwe marejeo ?

Kingine ni kuwa nilimuuliza ya kuwa Contradictions juu ya jambo fulani husababishwa na nini ? Miongoni mwa sababu za kuona jambo Fulani lina utata, ni mtu kuwa mjinga juu ya jambo hilo, na Hilo mnalo nyinyi wakana Mungu. Mola muumba hamumjui ila mnamkana na kudai Kuna contradictions, muite hapa Kiranga aonyeshe hizo contradictions au hata wewe onyesha hizo Contradictions Kisha tuzijadili, sharti usikimbie maswali kama anavyokimbia Kiranga.
Wakileta hizo contradictions nitaarif [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakipo ni kwa sababu hakipo
Uhitaji mpaka ukijue hicho kitu ili ujue hakipo.

Sifuri ni sifuri ahuitaji ujue mpaka ndio useme Kuna ombwe na hakuna kitu.

Hakipo kwa sababu hakijawahi kuwepo na hakitakuwepo na hakijawahi kuwepo.

Ukiangalia sifa kinachopewa
Jinsi binadamu wanavyouana kukitetea
Vita na mauaji makubwa yaliyotokea ulimwenguni hapa.
Dhalili na unyanyasaji uliotokea
Ubaguzi kwa misingi ya Imani

Angalia wanadamu wanavyomuelezea tofauti kwenye kila Imani

Mf: wafuasi wa Mohammed
Hajazaa na wala hajazaliwa( Nothingness)
Hafanani na chochote
Mwenyezi na mjuvi wa yote
Ni mwenye wivu


:Wafuasi wa Yesu Mnazareth
Yeye ndio Mungu
Yeye ndio Mwana wa Mungu
Yeye ndio roho mtakatifu.
Yeye mweza wa yote, upendo mkuu na mwenye kusamehe

: Wafuasi wa Budha
Kila binadamu ana Uungu ndani yake
Naye utafikia stage utakuwa enlightened na kuwa Budha.
Hakuna Kuzimu Wala moto ila maisha yote ni sufferings.
Na utarudi Tena duniani ila nafasi yako itategemea matendo yaliyopita.

Bado hujazigusa Hindu na zingine zinazohitilafiana Toka Moja kwenda nyingine, unakuja kugundua ni mawazo ya watu waliyojenga vichwani mwao na kudumu kizazi hadi kizazi ila hayana ukweli.

Ni kama stori za shing'weng' we huku usukumani.
Je Kuna mtu ameshawahi kumuona shing'weng'e jibu ni hapana ila kila mtoto anaamini lipo na linachukua watoto.

Tunajua hayupo na hajawahi kuwepo na hatokuwepo.

Kutojua log 2 jibu lake
Haifanyi niamini lazima iwe nne
Utazid kujichangany.Nmekwambia ukitumia dini kuamin mung yupo utajikoroga sabab mtu asieamin uwepo wa mung ni ngumu kuelewa dini ina vitu vizito.

Uwez kuamin dawa kama mpharmacist wa hio dawa humuamin, amin uwezo wa mpharmacist(Chanzo) kisha uje umthibitishe kweny dawa zake


Kweny dini utapotea yet akili zen hazina huo ukomav.Tambua kwanza hio nguv ilipo nyuma ya kila jambo hapa ulimwenguni na ukishaamin njoo kweny dini upate huo uthibitisho.

Logic chimbuko ni akili yako.Vile akili yako itakavyo zid kuwa huru ndivo mantik sahih itakavyo zidi kuonekana

Ukitumia akili yako kumtafuta mung kwa namna ulimwenguni ulivo, swali la mwisho utakalo jiuliza ni "Hii nguv ni nni" Hii nguv inatoka wap kisha njoo kweny dini kuijua hio nguv ni nin na inatoka wap.

Acheni bla bla
 
Someni hapa muwe na amani
 
Utazid kujichangany.Nmekwambia ukitumia dini kuamin mung yupo utajikoroga sabab mtu asieamin uwepo wa mung ni ngumu kuelewa dini ina vitu vizito.

Uwez kuamin dawa kama mpharmacist wa hio dawa humuamin, amin uwezo wa mpharmacist(Chanzo) kisha uje umthibitishe kweny dawa zake


Kweny dini utapotea yet akili zen hazina huo ukomav.Tambua kwanza hio nguv ilipo nyuma ya kila jambo hapa ulimwenguni na ukishaamin njoo kweny dini upate huo uthibitisho.

Logic chimbuko ni akili yako.Vile akili yako itakavyo zid kuwa huru ndivo mantik sahih itakavyo zidi kuonekana

Ukitumia akili yako kumtafuta mung kwa namna ulimwenguni ulivo, swali la mwisho utakalo jiuliza ni "Hii nguv ni nni" Hii nguv inatoka wap kisha njoo kweny dini kuijua hio nguv ni nin na inatoka wap.

Acheni bla bla
Embu acha kukomenti Uzi usio kuhusu wewe mjinga.

Mfamasia kutomwamini inazuiaje uwezo wa dawa ambayo imefanyiwa tafiti na wakemia na kuthibitika Ina uwezo wa kuponya ugonjwa Fulani kwenye mwili wa mwanadamu.

Dini ni stori tu za kama za Alfu lela ulela.
 
Embu acha kukomenti Uzi usio kuhusu wewe mjinga.

Mfamasia kutomwamini inazuiaje uwezo wa dawa ambayo imefanyiwa tafiti na wakemia na kuthibitika Ina uwezo wa kuponya ugonjwa Fulani kwenye mwili wa mwanadamu.

Dini ni stori tu za kama za Alfu lela ulela.
Wew ni mpumbav ndo maana unaamin hamna mungu.

Uwezo wako wa akili ni mdgo sana. Acha ujinga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Embu acha kukomenti Uzi usio kuhusu wewe mjinga.

Mfamasia kutomwamini inazuiaje uwezo wa dawa ambayo imefanyiwa tafiti na wakemia na kuthibitika Ina uwezo wa kuponya ugonjwa Fulani kwenye mwili wa mwanadamu.

Dini ni stori tu za kama za Alfu lela ulela.
Mungu yupo ila ni "nothingness,whole,totallity,utter silence,inner peace,vicious circle/wheel,illogical,not-comprehended,only experience,life,not argumented,watcher,non-doer,witness,zero,love,birthdeath,bodymind,exhaleinhale"

Sasa hizi poetic religions,science,philosophy,school indoctrination,theology,hizi zote zimekuwa constructed na mind and God is no-mind,mtajibizana makarne na makarne,ila is only dropping that EGO utaexperience na ku embraced na empty heaven utatulia na kuwa God ama seer/watcher.
 
Wew ni mpumbav ndo maana unaamin hamna mungu.

Uwezo wako wa akili ni mdgo sana. Acha ujinga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ni umoja wa vyote known and unknown,na mwenye uwezo mdogo wa akili ndo anaweza kuexperience uwepo wake,magenius na so called wasomi ni ngumu maana wao wapo logical and God is illogical,life is illogical,love is illogical is only kwenye state of no-mind uta learn na kuexperience presence ya existance but not knowledge,knowledge una borrower una accumulate bunch of garbages from other people,just live and through living only you can experience God,Mungu ni whole,kila kitu kwa umoja ,Mungu hatafutwi you cant seek,ukimtafuta maana umejitenga naye na umemfanya object na hiyo ni illusion sio truth wala reality,watu wamejitengenezea mungu ambao ni consolation yani hawajui maisha ni nini,wanaogopa kufa ndo maana wajiwekea baba ya mbinguni ila wakifa huko wale maembe kila saa na asali,yani wana tamaa ni hiyo ndo kazi ya akili inatumia muda inataka kuishiiiiiii ila uki idrop down ukapenda kuishi na ukapenda kifo basi hutawaza chochote utafurahia na kushuhudia kifo chako ambacho ndo mwanzo wa uzaliwa upya,God is timeless ,God is living,God is NowHere enjoy life
 
Hakipo ni kwa sababu hakipo
Uhitaji mpaka ukijue hicho kitu ili ujue hakipo.

Sifuri ni sifuri ahuitaji ujue mpaka ndio useme Kuna ombwe na hakuna kitu.

Hakipo kwa sababu hakijawahi kuwepo na hakitakuwepo na hakijawahi kuwepo.

Ukiangalia sifa kinachopewa
Jinsi binadamu wanavyouana kukitetea
Vita na mauaji makubwa yaliyotokea ulimwenguni hapa.
Dhalili na unyanyasaji uliotokea
Ubaguzi kwa misingi ya Imani

Angalia wanadamu wanavyomuelezea tofauti kwenye kila Imani

Mf: wafuasi wa Mohammed
Hajazaa na wala hajazaliwa( Nothingness)
Hafanani na chochote
Mwenyezi na mjuvi wa yote
Ni mwenye wivu


:Wafuasi wa Yesu Mnazareth
Yeye ndio Mungu
Yeye ndio Mwana wa Mungu
Yeye ndio roho mtakatifu.
Yeye mweza wa yote, upendo mkuu na mwenye kusamehe

: Wafuasi wa Budha
Kila binadamu ana Uungu ndani yake
Naye utafikia stage utakuwa enlightened na kuwa Budha.
Hakuna Kuzimu Wala moto ila maisha yote ni sufferings.
Na utarudi Tena duniani ila nafasi yako itategemea matendo yaliyopita.

Bado hujazigusa Hindu na zingine zinazohitilafiana Toka Moja kwenda nyingine, unakuja kugundua ni mawazo ya watu waliyojenga vichwani mwao na kudumu kizazi hadi kizazi ila hayana ukweli.

Ni kama stori za shing'weng' we huku usukumani.
Je Kuna mtu ameshawahi kumuona shing'weng'e jibu ni hapana ila kila mtoto anaamini lipo na linachukua watoto.

Tunajua hayupo na hajawahi kuwepo na hatokuwepo.

Kutojua log 2 jibu lake
Haifanyi niamini lazima iwe nne
Kijana unaandika mambo mengi pasi na kujibu swali nililo kuuliza.

Hakipo kwa sababu hakipo, hii siyo sababu, tumia akili yako vizuri kijana. Shida yenu akili zenu finyu sana.

Nasubiri ujibu swali ambalo hujajibu mpaka muda huu, mmejuaje Mola hayupo ?
 
Mungu ni umoja wa vyote known and unknown,na mwenye uwezo mdogo wa akili ndo anaweza kuexperience uwepo wake,magenius na so called wasomi ni ngumu maana wao wapo logical and God is illogical,life is illogical,love is illogical is only kwenye state of no-mind uta learn na kuexperience presence ya existance but not knowledge,knowledge una borrower una accumulate bunch of garbages from other people,just live and through living only you can experience God,Mungu ni whole,kila kitu kwa umoja ,Mungu hatafutwi you cant seek,ukimtafuta maana umejitenga naye na umemfanya object na hiyo ni illusion sio truth wala reality,watu wamejitengenezea mungu ambao ni consolation yani hawajui maisha ni nini,wanaogopa kufa ndo maana wajiwekea baba ya mbinguni ila wakifa huko wale maembe kila saa na asali,yani wana tamaa ni hiyo ndo kazi ya akili inatumia muda inataka kuishiiiiiii ila uki idrop down ukapenda kuishi na ukapenda kifo basi hutawaza chochote utafurahia na kushuhudia kifo chako ambacho ndo mwanzo wa uzaliwa upya,God is timeless ,God is living,God is NowHere enjoy life

Maisha baada ya kifo inakuhitaj kuwa na dini kwanza ndo uelew na ili uwe na dini ni lazima uprove uwepo wa mung.Tuyaache haya tuziache dini ,tubase kweny kuthibitisha uwepo wa mung mweny maisha ya kila siku ili tusijicontradicts

How God sio logically. How mung hatuwez mthibitisha through mantik?

Mnasema uthibitisho beyond milango ya faham ni dhahania sio reality unless kuwe na logical Consistency.Hum wametoa mifano ya bacteria and so on.

No logic bila akili. Beginning ya logic na hitimisho ya logic akili hutumia 100%.Mung( super natural power) hupatika through series of different doubt and questions ambazo kimsing huletwa na akili.


Nanukuu maandish yako "Just live and through living you can experience presence of GOD" how unaexprience uwepo wa mungu kweny hay maisha pasina matumiz ya akili #Mnatuchanganya #Mnajichanganya


Huwez tafuta God existence bila kutumia akili
 
Binadamu tunathibitisha mambo kupitia senses zetu tano ambazo wote tunazijua.

Linapokuja swala la Mungu, binafsi sijawahi kumuona, kumsikia, kumuonja, kumuhisi wala kusikia harufu yake.

Hii inanipa hitimisho kwamba Mungu ni dhana tu iliyoanzishwa na binadamu walipokosa majibu ya asili ya mambo mbalimbali. Kisha akaingizwa kwenye hadithi mbalimbali na kupewa sifa za mamlaka na zingine za kuogofya.

So naamini Mungu haexist physically ila dhana ya Mungu inaishi kwenye vichwa vya mamilioni ya watu duniani Kwa kuwa stori za Mungu zinasimuliwa toka utotoni na dhana ya Mungu imebidhaishwa na watu mbalimbali Kwa manufaa yao binafsi ya kisiasa, kiuchumi na kadhalika.
Asingekuwepo asingesimuliwa vizazi hadi vizazi
 
Hakuna atakayethibitisha zaidi ya kukupa nadharia na kuanza kukuhoji tena badala ya kuthibitisha hilo.
Wakitoka hapo watakupa maneno ya falsafa na physics kisha wataongeza blah blah za hapa na pale mchezo umeisha.


Ndio maana Mathematician tunaamini Mungu yupo na natural numbers (1,2,3,...9) ziliumbwa na Mungu.
Mathematical operations nyingine ni man's manipulations.
Ni wapumbavu


Zab 53:1​

Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Nmekwambia kitu rahis uwez kuamin dini pamoja na vitab vya mungu haliyakuwa mungu huamin kam yupo.

Usijipe mzgo mzito wa kutak kuamin mungu yupo kupitia qur'an utajichangany. Hata nikileta ushahid kutoka kweny qur'an juu ya uwepo wa mung bado utoamin simply because huamin uwepo wa mung alileta hayo maelekezo

Huko kweny dini bado uwezo wenu ni mdgo.Mung huthibitishwa kwa normal life la kila siku kama nguvu iliyopo nyuma ya kila kitu

Ukishaanza kuelewa super power iliyopo nyuma ya maisha ya viumbe na vitu vingne. Ndo dini inashika hatamu kueleza hio super power ni ipi

Even qur'an inasema hili mitume walimtafuta mungu kweny vitu vingi sana, maisha ya dunian yalizishughurisha akili zao wapo waliohis hio nguv ni mwez ,but baada ya kuamini kuna nguv ndipo mungu alijidhihirisha kwako kwa maandiko

Mwanzo nimewauliza vitu rahis vilivyoko ndan ya uwezo wenu wa utambuz mkaanza kujing'ata. Mmeleta inshu za dini mnaishia kujikoroga

Nyie kwa akili zenu mnaona dunia inajiendea tu. Yan mfumo wa uzazi ulijiamulia mwanadam azae mtu direct na kwa kuku atotoe yai kwanza [emoji848]

Msijipe mzigo mzito kumtafuta mungu kweny dini. Dini inavit ving ambavyo kuna watu wamevichomeka inahitaj kuwa huru kichwan kuving'amua

Super power haiitaji akili kubwa kuelewa juu ya uwepo wake ,ni uwezo wa reasoning tu

Anzeni kufaham hio super power then mje kweny dini kuijua hio super power ni ipi.Unless mtazid kupotea

Yatafakar mazingira yako, tafakar mifumo ndan ya mwili wako then somen hizo theory kisha mjiulize who organised hiv vitu. Nan kaviprogram hiv vitu
Nimekuuliza hivi.

"Hata ukikubali kuna superpower.

Kwa nini hiyo superpower iwe Mungu na isiwe kitu kingine chochote, pengine hata ambacho hukielewi kabisa?"

Hujajibu.
 
Maisha baada ya kifo inakuhitaj kuwa na dini kwanza ndo uelew na ili uwe na dini ni lazima uprove uwepo wa mung.Tuyaache haya tuziache dini ,tubase kweny kuthibitisha uwepo wa mung mweny maisha ya kila siku ili tusijicontradicts

How God sio logically. How mung hatuwez mthibitisha through mantik?

Mnasema uthibitisho beyond milango ya faham ni dhahania sio reality unless kuwe na logical Consistency.Hum wametoa mifano ya bacteria and so on.

No logic bila akili. Beginning ya logic na hitimisho ya logic akili hutumia 100%.Mung( super natural power) hupatika through series of different doubt and questions ambazo kimsing huletwa na akili.


Nanukuu maandish yako "Just live and through living you can experience presence of GOD" how unaexprience uwepo wa mungu kweny hay maisha pasina matumiz ya akili #Mnatuchanganya #Mnajichanganya


Huwez tafuta God existence bila kutumia akili
God is nothingness,silence,inner peace and joy,God flows in our blood,beats in our hearts ,we exhale and we inhale,life is God,you dont need any kind of logic to see a bird singing,water flowing or trees growing,all things in nature are illogical they dont use logic ,a tree just grows,a bird always sings,water in a river just flows ,the sun shines,the waves in an ocean,digestion of food,breathing they are whole as God,they are totallity,humans are natural ,they use there minds constructing logical ideas just to impress themselves from there foolishness,jua linawaka wewe unaanza na logic zako linawaka kisa hivi mara vile huo ndo utahira wenyewe hata usipoumiza kichwa hata ukifa leo litakuwepo na litamulika maana lipo tu naturally,logic ndo mwanzo wa chaos na misery,mabishano ya kijinga tu duniani kati ya theists na atheists,unataka kumjua mungu ili iweje,yani unataka kuprove wazo lako uliloanzisha mwenyewe ili iwe nini?

God can only be experienced in a state of sitting silence and doing nothing ,clearing your thoughts,dropping that garbage you call it knowledge,drop that EGO ,be natural and dont think just be silence that is the only way unaweza ukatranscend kuelekea kwenye threshold,sehemu ambayo kuna orgasm ya male na female,sehemu ambayo different polarities of the same source hukutana,jua-mwezi zinapokutana,upendo-chuki,baridi joto,baya zuri,hapo ndo sasa mlango mkuu wa baraza lenye ukimya unafunguka then unaungana na asili yako unaungana na totallity,unakuwa no body unakuwa ni watcher,non-doer just presence

We kula bata tu mwanangu acha kujiumiza na kujitesa na akili,akili inataka kuishi tu ndo maana unaogopa kifo ,akili inataka kuishi ndo maana mbajichorea picha ubongoni za mbinguni,ishi maisha kuwa wewe utahisi na kujiunga na uwepo wa Mungu utakuwa huru
 
Back
Top Bottom