Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Dini zilikuwepo tangu enzi na enzi, jamii za wanaadamu zimekuwa zikiabudu vile wanavyoviita Mungu kwa miaka mingi sana hili halina ubishi.

Uwepo wake miaka mingi haina maana ni sahihi kuwepo wake maana hata uongo usipodhihirika huonekana ukweli miaka yote mpaka ukweli utakapofahamika.

Ila kuna sehemu ya watu kwenye jamii wamekuwa wakitilia mashaka na kukosoa wazo lenyewe la kuwepo kwa huyo anaeitwa Mungu. Wanaoamini (imani yoyote tu ‘as long as’ wanamuabudu wanachokiita Mungu) wanasistiza kuwa yupo na uwezo wake ni Mkuu sana.

Hoja za waumini nazifahamu baadhi, ila hoja za Atheist sijazielewa.

Ningependa kuwaelewa zaidi Atheists, Karibuni hapa Atheist walau mthibitishe (kama mtaweza) kuwa huyo wa kuitwa Mungu hayupo.

Lakini kwanza ni lazima tufafanue nini maana ya MUNGU, kwa maana kukurupuka kujibu swali ilhali hatujui maana ya dhana ya msingi wa swali itakuwa ni uhayewani wa kiwango cha juu sana.

Karibuni sana!
View attachment 2355249
Watu wa zaman waliamin miungu kwasababu hawakua na majibu ya maswali yao, hasa maswali ya chanzo cha uhai...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari

Mimi ni muumini mzuri wa dini ya kikristo, nimezaliwa na kukulia katika dini. Hiyo haikuwa sababu ya kunizuia kusoma maandiko na machapisho ya dini zengine.

Nimesoma Quran pale nilipo bahatika, nikasoma maandiko ya freemasons yale niliyokutana nayo, nimesoma vitabu vya wahindu kwa uchache wake.

Vyote hivyo vinamuelezea Mungu vizuri kabisa na vimejitosheleza. Lakini hawa jamaa "Atheist" watu wasioamini uwepo wa Mungu.

Maandiko yao yamekuwa yakinipa ukakasi sana. Leo naomba Atheist mje hapa nanithibitishie kuwa Mungu hayupo.

Nipe sababu ikikupendeza nielezee kwanini unasema Mungu hayupo, nithibitishie kuwa hakuna, hajawahi kuwa Mungu wa aina yoyote ile.

Thibitisha kuwa Allah hayupo, hayupo Yehovah, hayupo Shiva, Vinshu. Yaani hii dunia haiendeshwi na Mungu
 
 
Hakuna atakayethibitisha zaidi ya kukupa nadharia na kuanza kukuhoji tena badala ya kuthibitisha hilo.
Wakitoka hapo watakupa maneno ya falsafa na physics kisha wataongeza blah blah za hapa na pale mchezo umeisha.


Ndio maana Mathematician tunaamini Mungu yupo na natural numbers (1,2,3,...9) ziliumbwa na Mungu.
Mathematical operations nyingine ni man's manipulations.
 
Nina swali

Kwanini katika kutoa kalenda na tarehe za matukio unatumika mfumo wa B.C na A.D?

(Kuacha baadhi ya matukio yale ya kusadikika ambayo hayatumii mfumo huo)
 
Hayupo sababu hajawah onekana
Kabla yeye palikua na nini kwenye ulimwengu ? kama unasadiki kila kitu kina chanzo jiulize yeye katoka wapi
 
Hakuna atakayethibitisha zaidi ya kukupa nadharia na kuanza kukuhoji tena badala ya kuthibitisha hilo.
Wakitoka hapo watakupa maneno ya falsafa na physics kisha wataongeza blah blah za hapa na pale mchezo umeisha.


Ndio maana Mathematician tunaamini Mungu yupo na natural numbers (1,2,3,...9) ziliumbwa na Mungu.
Mathematical operations nyingine ni man's manipulations.

Ni derivation au derived quantities
 
Binadamu tunathibitisha mambo kupitia senses zetu tano ambazo wote tunazijua.

Linapokuja swala la Mungu, binafsi sijawahi kumuona, kumsikia, kumuonja, kumuhisi wala kusikia harufu yake.

Hii inanipa hitimisho kwamba Mungu ni dhana tu iliyoanzishwa na binadamu walipokosa majibu ya asili ya mambo mbalimbali. Kisha akaingizwa kwenye hadithi mbalimbali na kupewa sifa za mamlaka na zingine za kuogofya.

So naamini Mungu haexist physically ila dhana ya Mungu inaishi kwenye vichwa vya mamilioni ya watu duniani Kwa kuwa stori za Mungu zinasimuliwa toka utotoni na dhana ya Mungu imebidhaishwa na watu mbalimbali Kwa manufaa yao binafsi ya kisiasa, kiuchumi na kadhalika.
 
Hakuna atakayethibitisha zaidi ya kukupa nadharia na kuanza kukuhoji tena badala ya kuthibitisha hilo.
Wakitoka hapo watakupa maneno ya falsafa na physics kisha wataongeza blah blah za hapa na pale mchezo umeisha.


Ndio maana Mathematician tunaamini Mungu yupo na natural numbers (1,2,3,...9) ziliumbwa na Mungu.
Mathematical operations nyingine ni man's manipulations.
Natural number zinaanza na 0 ndiyo 1,2,3.......................................

Hizo ulizoandika ni Counting number.....

Mpaka hapo umeonyesha wewe sio Mwanamahesabu .

Naipenda sana kanuni ya principle of conservation of energy.

Ukiisoma hii unajua hakuna Mungu
 
Habari

Mimi ni muumini mzuri wa dini ya kikristo, nimezaliwa na kukulia katika dini. Hiyo haikuwa sababu ya kunizuia kusoma maandiko na machapisho ya dini zengine.

Nimesoma Quran pale nilipo bahatika, nikasoma maandiko ya freemasons yale niliyokutana nayo, nimesoma vitabu vya wahindu kwa uchache wake.

Vyote hivyo vinamuelezea Mungu vizuri kabisa na vimejitosheleza. Lakini hawa jamaa "Atheist" watu wasioamini uwepo wa Mungu.

Maandiko yao yamekuwa yakinipa ukakasi sana. Leo naomba Atheist mje hapa nanithibitishie kuwa Mungu hayupo.

Nipe sababu ikikupendeza nielezee kwanini unasema Mungu hayupo, nithibitishie kuwa hakuna, hajawahi kuwa Mungu wa aina yoyote ile.

Thibitisha kuwa Allah hayupo, hayupo Yehovah, hayupo Shiva, Vinshu. Yaani hii dunia haiendeshwi na Mungu
Si ungewathibitishia wewe kwanza kuwa yupo au unatafuta kiki mwanangu?
 
Hakuna atakayethibitisha zaidi ya kukupa nadharia na kuanza kukuhoji tena badala ya kuthibitisha hilo.
Wakitoka hapo watakupa maneno ya falsafa na physics kisha wataongeza blah blah za hapa na pale mchezo umeisha.


Ndio maana Mathematician tunaamini Mungu yupo na natural numbers (1,2,3,...9) ziliumbwa na Mungu.
Mathematical operations nyingine ni man's manipulations.
Dunia hii kila kitu ni nadharia
Uumbaji
Mungu, mungu na Miungu
Origin of life
Theology
Metaphysics
 
Mimi ni mmoja kati ya wanaoamini uwepo wa Mungu. Ila nikiangalia hoja za wenzangu mnaoamini, nikalinganisha na za hao atheists (wasioamini), niwe mkweli tu, wenzangu mko na hoja dhaifu sana!

Mtu anathibitisha vipi kitu ambacho haamini uwepo wake? Nikisema ndani kwangu kuna tembo, basi ni jukumu langu kuthibitisha kwamba kweli tembo yupo. Sio niseme eti ndani kwangu kuna tembo, alafu niseme "ambae haamini kama ndani kwangu kuna tembo athibitishe". Huo ni utoto!

Ukimtuhumu mtu kua ni mwizi, basi ni jukumu lako kuthibitisha kwamba mtu huyo ni mwizi. Sio useme fulani ni mwizi, alafu tena useme "kama sio mwizi, athibitishe ". That's a simple judicial logic!
 
Habari

Mimi ni muumini mzuri wa dini ya kikristo, nimezaliwa na kukulia katika dini. Hiyo haikuwa sababu ya kunizuia kusoma maandiko na machapisho ya dini zengine.

Nimesoma Quran pale nilipo bahatika, nikasoma maandiko ya freemasons yale niliyokutana nayo, nimesoma vitabu vya wahindu kwa uchache wake.

Vyote hivyo vinamuelezea Mungu vizuri kabisa na vimejitosheleza. Lakini hawa jamaa "Atheist" watu wasioamini uwepo wa Mungu.

Maandiko yao yamekuwa yakinipa ukakasi sana. Leo naomba Atheist mje hapa nanithibitishie kuwa Mungu hayupo.

Nipe sababu ikikupendeza nielezee kwanini unasema Mungu hayupo, nithibitishie kuwa hakuna, hajawahi kuwa Mungu wa aina yoyote ile.

Thibitisha kuwa Allah hayupo, hayupo Yehovah, hayupo Shiva, Vinshu. Yaani hii dunia haiendeshwi na Mungu
Hayupo wa kuthibitisha kuwa hayupo.

Watakuja kukosoa ushahidi wa yeye kuwepo.

Watashindwa kujibu maswali ya msingi kama imekuaje tuna huu ulimwengu

Hawana ushahidi zaidi watata kasoro za kiimani ilhali nao hawana chochote kuthibitisha vinginevyo.

‘It’s fascinating to listen to them’
 
Hayupo wa kuthibitisha kuwa hayupo.

Watakuja kukosoa ushahidi wa yeye kuwepo.

Watashindwa kujibu maswali ya msingi kama imekuaje tuna huu ulimwengu

Hawana ushahidi zaidi watata kasoro za kiimani ilhali nao hawana chochote kuthibitisha vinginevyo.

‘It’s fascinating to listen to them’
Pia hakuna wa kuthibitisha kuwa yupo. Watakuja na yote unayosema hapo juu ngoma droo.
 
Pia hakuna wa kuthibitisha kuwa yupo. Watakuja na yote unayosema hapo juu ngoma droo.
Kiakili tu lazima uhisi kuna super power kweny hii dunia.

Kuzaliwa,kuishi,kufa na kufufuliwa ni dalili tosha yupo mungu (Allah (saw) according to islam)

Kweny uislam kuna dalili za kuwepo mungu

01.Maisha ya mwanadam
02.Kuwepo usiku na mchana

Zipo nying izo ni chache.Ukifikir maisha ya mwandam unagundua kuna kitu kipo nyuma,hiko kitu ni Allah kwa hakika

Why allah (sw).
Sabab qur an iloleta habar za Allah(sw) na mafundisho yake imefanikiwa kutushawishi kuwa kuna mungu(allah)

muingiliano mkubwa wa 100% wa hayo mafundisho na maisha ya kila siku ya wanadam imetufanya tukiamin hiko kitabu pamoja na maelezo yake juu ya uwepo wa mungu. Si kila kitu usithibitishwa kwa kuonwa kwa macho

Wew unaamin binadam tunaroho Je ushawah kuiona. Tukianza kuelezea science ya mawasiliano tutaishia kusema kuna waves zinasafirisha sauti je tukiomba uthibitisho wa hizo waves zipoje utapatikan?


Kama swala ni kuzuka tu mbona hakuzuki kitu kingine kila siku ni binadam hawa hawa, wanyama hawa hawa means hiv vitu vipo organised je whow organised.
 
Kiakili tu lazima uhisi kuna super power kweny hii dunia.

Kuzaliwa,kuishi,kufa na kufufuliwa ni dalili tosha yupo mungu (Allah (saw) according to islam)

Kweny uislam kuna dalili za kuwepo mungu

01.Maisha ya mwanadam
02.Kuwepo usiku na mchana

Zipo nying izo ni chache.Ukifikir maisha ya mwandam unagundua kuna kitu kipo nyuma,hiko kitu ni Allah kwa hakika

Why allah (sw).
Sabab qur an iloleta habar za Allah(sw) na mafundisho yake imefanikiwa kutushawishi kuwa kuna mungu(allah)

muingiliano mkubwa wa 100% wa hayo mafundisho na maisha ya kila siku ya wanadam imetufanya tukiamin hiko kitabu pamoja na maelezo yake juu ya uwepo wa mungu. Si kila kitu usithibitishwa kwa kuonwa kwa macho

Wew unaamin binadam tunaroho Je ushawah kuiona. Tukianza kuelezea science ya mawasiliano tutaishia kusema kuna waves zinasafirisha sauti je tukiomba uthibitisho wa hizo waves zipoje utapatikan?


Kama swala ni kuzuka tu mbona hakuzuki kitu kingine kila siku ni binadam hawa hawa, wanyama hawa hawa means hiv vitu vipo organised je whow organised.
Hebu fafanua kuwepo usiku na mchana Kuna dhihirisha vipi yeye yupo?
 
Hebu fafanua kuwepo usiku na mchana Kuna dhihirisha vipi yeye yupo?
Usiku na mchana kunadhihirisha mungu yupo sabab hakujawai kutokea mchana mda wa usiku na usiku mda wa mchana means vipo organised.Who organised this?
 
Usiku na mchana kunadhihirisha mungu yupo sabab hakujawai kutokea mchana mda wa usiku na usiku mda wa mchana means vipo organised.Who organised this?

Hujawahi ona Giza muda wa mchana?
Ile mwaka 2020 kupatwa kwa jua haukuwepo duniani?

Lakini usiku na mchana inasababishwa na Dunia kujizungusha kwenye mhimili wake, unatambua Hilo?

Kama unatambua inakuwaje uihusanishe na Mungu?

Unafahamu hii inaweza kuelezewa kisayansi zaidi?

Kila sayari iliyopo kwenye solar system huzunguka jua.

Na jua pia huzunguka black hole pamoja na nyota nyingine ambayo ipo centre ya Alfa Centauri.

Kifupi ulimwengu haupo static ila upo katika motion.

Na unazidi kutanuka.

Kila siku nyota mpya huzaliwa, galaxy mpya hutokea, nyota hufa na sayari zinamezwa na black hole.

Unajua chanzo chake?
 
Back
Top Bottom