Mungu hahitaji Zaka na Sadaka yako, Sadaka na Zaka ni Malipo ya Watumishi wa dini

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
MUNGU HAHITAJI ZAKA NA SADAKA YAKO, SADAKA NA ZAKA NI MALIPO YA WATUMISHI WA DINI.

Anaandika, Robert Heriel
Kuhani

"Mtolee Mungu"
" Hiyo ni sadaka Kwa Mungu wako"
" Unamnyima Mpaka Mungu anayekupa uhai"
Na kauli zingine kama hizo, ni Utapeli mtupu.
Kuna Ile unaambiwa" mtolee Mungu ili akubariki" huo ni Uchawi na ushirikina mkubwa. Kwamba ati unampa Mungu rushwa kama Samunge, labda Ile miungu ya Kwa msisi.

Mungu hahitaji chochote Kutoka Kwako, endapo Mungu huyo atahitaji chochote Kutoka Kwako basi anapoteza vigezo vya kuwa Mungu. Kwa sababu moja ya Sifa ya Mungu ni kuwa sio mhitaji.

Sadaka au Zaka ni MALIPO tunayowalipa viongozi wa dini tunazoabudia ili waweze kuendesha Maisha Yao kama Sisi tunavyofanya kazi katika shughuli zetu.
Viongozi wa dini wanafamilia zao, wanamahitaji Yao, wanahitaji vyakula, nguo, nyumba, magari na mahitaji mengine

Ukienda Kanisani, au msikitini au madhabahuni popote pale, lazima uingie makubaliano na huyo kuhani au mchungaji, au nabii au Mtume kwamba kwako ninakuja Kwa ajili ya Kupata mambo 1,2,3.

Mfano, unakuja Kwa Kuhani Taikon, unaniambia, Kuhani Taikon wa Mungu wa Tibeli, Mungu Mkuu, nimekuja kwako Kwa sababu zifuatazo;
1. Nataka uniombee nipone ugonjwa Fulani,
2. Nataka Njia zangu na kazi za mikono yangu ifanikiwe, nataka ndani ya miaka Hii Mitano niwe ninanyumba au Gari.
3. Nataka ulinzi katika familia yangu.

Hapo nitaingia chumba cha Siri kumuuliza Mungu wa Tibeli kama atakusaidia au Laa. Kama akisema atakusaidia, nitakujia nitakuambia Mungu wa Tibeli kasema atakusaidia, kisha nitakuambia nenda alafu Mungu atakapokusaidia ndio ulete malipo(sadaka) ya Kazi niliyokufanyia ya kuwa Dalali baina yako na Mungu wa Tibeli.
Nitakupa sheria na masharti ya kufuata kadiri nitakavyoagizwa na huyo Mungu wa Tibeli.
Mfano nitakuambia Mungu atakujibu ndani ya mwaka mmoja, atakapokujibu utaleta Sehemu ya ishirini ya Mapato yako ndani ya miaka mitatu.

Kisha utaondoka, utaamua kutoa shukrani au usitoe ni wewe mwenyewe, kwani hapo ulikuja kufanya agano/mkataba na Mungu wa Tibeli. Haukuja kutoa Sadaka wala Zaka wala dhabihu.

Sio nikuombe Sadaka na Zaka Wakati hakuna kazi niliyoifanya, huo ni Utapeli.
Kufumba macho na kuanza kuomba hiyo sio kazi. Hiyo kila MTU anaweza Kufanya, hata mtoto Mdogo anaweza kufumba macho akaomba.

Mchungaji au nabii anayetanguliza umlipe Kabla ya Kazi huyo ni Mhuni, tapeli.

Manabii na mitume wakweli anakupa Huduma kisha wewe mwenyewe utaamua uvunja makubaliano au uwe mwaminifu. Hii ni Kwa sababu, kama wanauwezo wa kukupa Mali au kukusaidia basi ni hakika Wanauwezo wa kuvichukua vyote walivyokupa.

Hata hivyo, kama umeenda Kanisani au msikitini kusikiliza Mawaidha au kufundishwa Neno la Mungu basi itakupasa uwalipe Kwa kazi hiyo ya kukufundisha, ndio Yale mambo ha kwenda kila mwisho wa juma Kanisani au misikitini ili mfundishwe habari za miungu yenu. Hivyo lazima muwalipe sadaka na Zaka zao Kwa kazi ya kuwafunza.

Ila kama haukuenda kujifunza, ulienda kutafuta Maisha mazuri, au unatatizo unataka litatuliwe basi hakikisha tatizo Hilo linatatuliwa ndio utoe sadaka au Zaka kama malipo ya Kazi waliyoifanya.

Zingatia, sio lazima kwenda kujifunza neno la Mungu ikiwa tangu ukiwa mtoto ulifundishwa habari za Mungu wako. Utapewa hadithi zilezile na mafunzo yaleyale tuu.

Manabii na watumishi wa Mungu wapo kwaajili ya Kutatua matatizo ya jamii ili nao walipwe Kwa kazi Yao.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
MUNGU HAHITAJI ZAKA NA SADAKA YAKO, SADAKA NA ZAKA NI MALIPO YA WATUMISHI WA DINI.

Anaandika, Robert Heriel
Kuhani

"Mtolee Mungu"
" Hiyo ni sadaka Kwa Mungu wako"
" Unamnyima Mpaka Mungu anayekupa uhai"
Na kauli zingine kama hizo, ni Utapeli mtupu.
Kuna Ile unaambiwa" mtolee Mungu ili akubariki" huo ni Uchawi na ushirikina mkubwa. Kwamba ati unampa Mungu rushwa kama Samunge, labda Ile miungu ya Kwa msisi.

Mungu hahitaji chochote Kutoka Kwako, endapo Mungu huyo atahitaji chochote Kutoka Kwako basi anapoteza vigezo vya kuwa Mungu. Kwa sababu moja ya Sifa ya Mungu ni kuwa sio mhitaji.

Sadaka au Zaka ni MALIPO tunayowalipa viongozi wa dini tunazoabudia ili waweze kuendesha Maisha Yao kama Sisi tunavyofanya kazi katika shughuli zetu.
Viongozi wa dini wanafamilia zao, wanamahitaji Yao, wanahitaji vyakula, nguo, nyumba, magari na mahitaji mengine

Ukienda Kanisani, au msikitini au madhabahuni popote pale, lazima uingie makubaliano na huyo kuhani au mchungaji, au nabii au Mtume kwamba kwako ninakuja Kwa ajili ya Kupata mambo 1,2,3.

Mfano, unakuja Kwa Kuhani Taikon, unaniambia, Kuhani Taikon wa Mungu wa Tibeli, Mungu Mkuu, nimekuja kwako Kwa sababu zifuatazo;
1. Nataka uniombee nipone ugonjwa Fulani,
2. Nataka Njia zangu na kazi za mikono yangu ifanikiwe, nataka ndani ya miaka Hii Mitano niwe ninanyumba au Gari.
3. Nataka ulinzi katika familia yangu.

Hapo nitaingia chumba cha Siri kumuuliza Mungu wa Tibeli kama atakusaidia au Laa. Kama akisema atakusaidia, nitakujia nitakuambia Mungu wa Tibeli kasema atakusaidia, kisha nitakuambia nenda alafu Mungu atakapokusaidia ndio ulete malipo(sadaka) ya Kazi niliyokufanyia ya kuwa Dalali baina yako na Mungu wa Tibeli.
Nitakupa sheria na masharti ya kufuata kadiri nitakavyoagizwa na huyo Mungu wa Tibeli.
Mfano nitakuambia Mungu atakujibu ndani ya mwaka mmoja, atakapokujibu utaleta Sehemu ya ishirini ya Mapato yako ndani ya miaka mitatu.

Kisha utaondoka, utaamua kutoa shukrani au usitoe ni wewe mwenyewe, kwani hapo ulikuja kufanya agano/mkataba na Mungu wa Tibeli. Haukuja kutoa Sadaka wala Zaka wala dhabihu.

Sio nikuombe Sadaka na Zaka Wakati hakuna kazi niliyoifanya, huo ni Utapeli.
Kufumba macho na kuanza kuomba hiyo sio kazi. Hiyo kila MTU anaweza Kufanya, hata mtoto Mdogo anaweza kufumba macho akaomba.

Mchungaji au nabii anayetanguliza umlipe Kabla ya Kazi huyo ni Mhuni, tapeli.

Manabii na mitume wakweli anakupa Huduma kisha wewe mwenyewe utaamua uvunja makubaliano au uwe mwaminifu. Hii ni Kwa sababu, kama wanauwezo wa kukupa Mali au kukusaidia basi ni hakika Wanauwezo wa kuvichukua vyote walivyokupa.

Hata hivyo, kama umeenda Kanisani au msikitini kusikiliza Mawaidha au kufundishwa Neno la Mungu basi itakupasa uwalipe Kwa kazi hiyo ya kukufundisha, ndio Yale mambo ha kwenda kila mwisho wa juma Kanisani au misikitini ili mfundishwe habari za miungu yenu. Hivyo lazima muwalipe sadaka na Zaka zao Kwa kazi ya kuwafunza.

Ila kama haukuenda kujifunza, ulienda kutafuta Maisha mazuri, au unatatizo unataka litatuliwe basi hakikisha tatizo Hilo linatatuliwa ndio utoe sadaka au Zaka kama malipo ya Kazi waliyoifanya.

Zingatia, sio lazima kwenda kujifunza neno la Mungu ikiwa tangu ukiwa mtoto ulifundishwa habari za Mungu wako. Utapewa hadithi zilezile na mafunzo yaleyale tuu.

Manabii na watumishi wa Mungu wapo kwaajili ya Kutatua matatizo ya jamii ili nao walipwe Kwa kazi Yao.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Andiko zuri sana
 
Kuna sehemu umesema Mchungaji au paroko anaweza kuwa Kama dalali Kati yako na Mungu.

Inawezekana vipi Mchungaji akawa karibu zaidi na Mungu kuliko ww? Kwamba ana usafi wa kimwili kukuzidi? Ama ana ushawishi Zaidi mbele ya Mungu?

Sadaka au Dhaka tunazozitoa mm huchukulia kuwa ni michango ya uendeshaji wa Sehemu tunayoabudia. Na kiasi kidogo ni kwaajili ya viongozi wa dini.

Mara nyingi sadaka yangu huitoa kwa watu Baki ninaokutana nao njiani ama niwanunulie chakula, au niwawezeshe kifedha kutokana na Hali halisi niliyoiona na namna nilivyoguswa.
 
Kuna sehemu umesema Mchungaji au paroko anaweza kuwa Kama dalali Kati yako na Mungu.

Inawezekana vipi Mchungaji akawa karibu zaidi na Mungu kuliko ww? Kwamba ana usafi wa kimwili kukuzidi? Ama ana ushawishi Zaidi mbele ya Mungu?

Sadaka au Dhaka tunazozitoa mm huchukulia kuwa ni michango ya uendeshaji wa Sehemu tunayoabudia. Na kiasi kidogo ni kwaajili ya viongozi wa dini.

Mara nyingi sadaka yangu huitoa kwa watu Baki ninaokutana nao njiani ama niwanunulie chakula, au niwawezeshe kifedha kutokana na Hali halisi niliyoiona na namna nilivyoguswa.
Na hiyo ndio dhana halisi ya sadaka,
Jinsi nina fikiri mimi lakini...
 
Tuwasubiri wachungaji wake wanene Jambo lao kuhusu hilia suala la sadaka na zaka
 
We dogo rudisha simu ya dingi ngoja aje aone ulicho andika au futaaa
 
Kama ni hivyo - MUNGU asingetaka sadaka ya Ibrahim amchinje Isaka

Yesu asinge angalia watu wanatoa kiasi gani katika sadaka , kwa kumwambia yule Mama masikini yeye ametoa kubwa kuliko wale matajiri - kutokana alitoa alichobakiwa
Mnapataga wapi muda wa kuanza kumzingatia huyu Mpinga Kristo (shetani)?

Dawa ya Mpumbavu ni kumpuuza tu.
 
Sasa kwan ilo nalo linaitaji uzi si linajulikana sku zote au ww umeanza kusali juzi
Sadaka,shklan mi kwaajiri ya kukuza mfuko wa kanisa na wakat mwingne hutumika km pesa ya matumizi ya kanisa na padre

Tupunguze chuki binafsi na hii inaonesha shetani kakuteka sana akili sasa tunaanza kuhoji kila ktu ambacho tumekikuta

Dunian vishapita vizazi na vizaji jeneresheni na jeneresheni ila iki kikazi cha sasa kinajioa kinajia sana kulko vizazi vilivyopita au kutangulia uko nyuma
 
Kuna sehemu umesema Mchungaji au paroko anaweza kuwa Kama dalali Kati yako na Mungu.

Inawezekana vipi Mchungaji akawa karibu zaidi na Mungu kuliko ww? Kwamba ana usafi wa kimwili kukuzidi? Ama ana ushawishi Zaidi mbele ya Mungu?

Sadaka au Dhaka tunazozitoa mm huchukulia kuwa ni michango ya uendeshaji wa Sehemu tunayoabudia. Na kiasi kidogo ni kwaajili ya viongozi wa dini.

Mara nyingi sadaka yangu huitoa kwa watu Baki ninaokutana nao njiani ama niwanunulie chakula, au niwawezeshe kifedha kutokana na Hali halisi niliyoiona na namna nilivyoguswa.

Kwenda Kwa mchungaji au Nabii haimaanishi kuwa wewe unashindwa kuongea na Mungu moja Kwa moja. Ila ni utaratibu tuu wa ki-protocol ambao miungu mingi iliweka, makuhani, manabii, mitume waliwekwa/wameweka kama daraja baina ya Watu na miungu Yao.

Miungu mingi haiwezi kuongea na kila MTU. Hivyo inachagua MTU mmoja wa kuwawakilisha Watu.

Hiyo ni Kanuni ya kiutawala na Kiongozi.

Kuhusu sadaka umeelezea Vizuri.
Kuhusu ishu ya Pesa za kuendeshea mambo ya ibada pia umeelezea vyema.

Tatizo ni pale Uongo unaposemwa kuwa ukitoa Zaka au sadaka unamtolea Mungu Jambo ambalo ni Uongo Mkubwa.
Kingine kama kabisa au msikiti haukusaidii lolote kwenye Maisha haina haja wala ulazima wa kwenda kujumuika Huko(ambalo wengi husema wanaenda kufanya ibada)

Maisha ndio ibada
 
Sasa kwan ilo nalo linaitaji uzi si linajulikana sku zote au ww umeanza kusali juzi
Sadaka,shklan mi kwaajiri ya kukuza mfuko wa kanisa na wakat mwingne hutumika km pesa ya matumizi ya kanisa na padre

Tupunguze chuki binafsi na hii inaonesha shetani kakuteka sana akili sasa tunaanza kuhoji kila ktu ambacho tumekikuta

Dunian vishapita vizazi na vizaji jeneresheni na jeneresheni ila iki kikazi cha sasa kinajioa kinajia sana kulko vizazi vilivyopita au kutangulia uko nyuma

Kizazi cha sasa hakitaki Uongo na ulaghai.

Fikiria mchungaji anasema utoe sadaka utabarikiwa, au ukitoa sadaka unamtolea Mungu, mpaka hapo hauoni huo ni Utapeli
 
Back
Top Bottom