Duh, kwa kweri Mungu atuambie kwa Nini Sasa alimwambia Musa kwenye Sanduku la Agano lake ziwekwe?.Dah Tena Makerubi (Malaika) yaani Mimi hata simuelewi yaani Mungu anaamulu watu wachonge sanamu za dhahabu za kufanana na Malaika ili ziwekwe mahara Patakatifu Pa Patakatifu??. Hii shida Sasa.
Kutoka 25:18-19
[18]Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku.
[19]Weka kerubi moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha rehema, mwisho huku na mwisho huku.
Tena Mungu analeta Nyoka wa Moto wanawagonga watu na kufa Kisha anamwamulu Musa. Atengeneze nyoka wa shaba ili mtu akimwangalia apone. Yaani Dah Mungu huyu kwa Nini aliwalazimisha Wana wa Israel waabudu sanamu???. Hata simuelewi Huyu Mungu wakulazimisha watu waabudu sanamu.
Hesabu 21:8-9
[8]Bwana akamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa, aitazamapo ataishi.
[9]Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi.
View attachment 2215243View attachment 2215245
Kigugumiza Kenice Jesusfreak08
Kiranga Kennedy
Kennedy Jesusfreak08 Ivyblue THE SHADOW ONE Equation x Nurain @Nchi Kavu mathabane