Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,720
Be very careful with what you talk.Kwani wewe toka uanze kumuomba huyo Mungu ushawahi kusikia sauti yake ikijibu maombo yako?
Jibu hoja!Be very careful with what you talk.
Mhubiri 5:2 "Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache".
Mathayo 12:36 "Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu".
USELESS kabisa.
Ukweli ulio wazi kwa hisia zako na mihemko yako ya kidini bila proof yeyote ya kimaandiko ndio unataka mimi nikuelewe ?
Unaelewa hata maana ya sanamu kweli wewe, kama hata maana ya sanamu yenyewe hujui je maana ya ibada ya sanamu au kuabudu sanamu utakujua maana yake ?
Unahabari kuwa wewe mwenyewe hapo ni sanamu ya Mungu sababu uliumbwa kwa sura na mfano wake.
Unaelewa kuwa hata jengo unalotumia kusalia na kufanyia ibada zako ni sanamu, unamuamubudu huyu Mungu wako ndani ya lisanamu unaloliita jengo. maandishi yalioko kwenye kitabu chako unachokiita biblia unaelewa kuwa ni sanamu. Unasoma masanamu ili kumuelewa huyo mungu anayepinga izo sanam
Wewe huna hoja... Haya niambie sasa na yale mavazi ya kuendeshea ibada/swala/sala mfano, mavazi ya mapadre, wachungaji, mashehe hayajatengenezwa na wanadamu? Au wenzetu t
Tokea utoto wake Ibrahimu alikuwa akiyachukia hayo masanamu kwani alishangaa kuwa vipi wanaabudu mawe ambayo wanachonga wenyewe na ambayo hayakuweza kumdhuru au kumfaa mtu kwa chochote;sasa mpaka hapo tumuamini Ibrahimu baba wa manabii na mitume wote,au tuwaamini viongozi wako wa kanisa ambao ni binadamu kama wewe?Wewe huna hoja... Haya niambie sasa na yale mavazi ya kuendeshea ibada/swala/sala mfano, mavazi ya mapadre, wachungaji, mashehe hayajatengenezwa na wanadamu? Au wenzetu mmeshushiwa na Mungu?
Kusema uongo ni dhambi.Mimi ni mkatoliki pure mzee. Unaenda unainama mbele ya lisanmu nakuanza kutaja shida zako na sala zako mbele yanlisnamu la kununua halafu useme hiyo sio ibada?
Limsalaba la mpingo linatembezwa barabarani na huku tunaimba na kusifu hiyo sio ibad?
Whatever....!Jiwe gizani nini?
Shetani alimzidi akili binadam pale Eden. Hakuna mwanadamu anayeweza kumzidi shetty akili bila uweza wa MunguSasa kwa nini watu na elimu zao mfano mzee wetu nyerere,mkapa,magufuri na wengineo walishindwa kulin'gamua hilo?
Hii mada imewaalika Atheists...Kwanza kabiza, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo kweli na si sanamu uliloliumba mwenyewe kwenye mawazo yako.
Maana unaweza kuhoji masanamu unayoyaona, huku unaendelea kuabudu masanamu uliyoyaunda mwenyewe mawazoni.
Thibitisha Mwenyezi Mungu yupo kweli, na habari za kuwepo kwake si za kutungwa na watu tu.
Unazidi kupoteza mudaPoa.
Hahaha.USELESS kabisa.
Ukweli ulio wazi kwa hisia zako na mihemko yako ya kidini bila proof yeyote ya kimaandiko ndio unataka mimi nikuelewe ?
Unaelewa hata maana ya sanamu kweli wewe, kama hata maana ya sanamu yenyewe hujui je maana ya ibada ya sanamu au kuabudu sanamu utakujua maana yake ?
Unahabari kuwa wewe mwenyewe hapo ni sanamu ya Mungu sababu uliumbwa kwa sura na mfano wake.
Unaelewa kuwa hata jengo unalotumia kusalia na kufanyia ibada zako ni sanamu, unamuamubudu huyu Mungu wako ndani ya lisanamu unaloliita jengo. maandishi yalioko kwenye kitabu chako unachokiita biblia unaelewa kuwa ni sanamu. Unasoma masanamu ili kumuelewa huyo mungu anayepinga izo sanamu.
Mwangu naona wgalatia wa kiktoliki unaanza kuwapa za kichwa hao waabudu masanamu ila ukiwabana wanayakanaHlf m hua siongei maneno matupu bishana na ukweli huo
lete hoja usije na maneno matupuView attachment 2216162View attachment 2216163
Kwa nini imani iwe muhimu, wakati unaweza kuamini uongo?Hii mada imewaalika Atheists...
Mungu ni Imani.
Unaweza kunielezea wewe unaamini nini?
Hata mimi najenga. Huhitaji kuamini Mungu kufanya yote hayo.Wanajenga shule, hospital na vituo vya watoto yatima pia
Hao walevi wa kikatoriki wanao-abudu masanamu mmewazidi nini kuanzia elimu, afya, uwekezaji nk. Huoni kuwa wewe mfuasi wa nabii wa kike na kundi lenu la kutaka kupanda ndege bila nauli kisa mnaenda kuhubiri injili ndio hamnazo kabisaHahaha.
Walei wa kikatiliki mnabudu masanamu ila mkiambiwa mnakuwa wkali kama gongo la mapapai[emoji16][emoji16]
Umelielewa swali langu lkn??.Hlf m hua siongei maneno matupu bishana na ukweli huo
lete hoja usije na maneno matupuView attachment 2216162View attachment 2216163
Kweli wewe ni Kigugumiza,Mimi nazungumzia Hekalu la Mfalme Sulemani wewe Unasema hbr za Ibrahim,km huwezi kutulia kwenye hoja tulia tu.Siyo kweli ndugu yangu,kwa kukusaidia soma historia ya Ibrahimu na ibada ya masanamu ndipo utakapojua kwa nini Mungu hapendi masanamu
Fuatilia hbr za Hekalu la Mfalme Sulemani.Ibrahimu aliyavunja masanamu haswaa hlf shoka akaliweka kwa mkubwa wao
uyo hajui kitu uyo
Poa.Unazidi kupoteza muda
Huweki hata aya inayosapoti unachokisema.. Unaonyesha unakisema kile ambacho mchungaji wako amekulishaTokea utoto wake Ibrahimu alikuwa akiyachukia hayo masanamu kwani alishangaa kuwa vipi wanaabudu mawe ambayo wanachonga wenyewe na ambayo hayakuweza kumdhuru au kumfaa mtu kwa chochote;sasa mpaka hapo tumuamini Ibrahimu baba wa manabii na mitume wote,au tuwaamini viongozi wako wa kanisa ambao ni binadamu kama wewe?
Jiwe la maca linasikia?Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?