Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu?

Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu?

Kabla ya yote tungetaka kujua nani aliyeanzisha huu utaratibu,na ulikuwa kwa lengo gani
Tuwaulize hao wanoweka kwenye nyumba zao za ibada mna kwa imani yangu ni katazo kubwa mno hilo na hutokuta ata picha ya mtu katika msikiti wowote ule
 
Hatuabudu masanamu bwana,Tunamwabudu Mungu wa mbinguni hayo masanamu unayoyaona ni kama vielelezo tu kama wewe ulivyoweka picha ya mpendwa wako na pengine hata unaibusu utasema unaiabudu hiyo picha?Au kile kitabu kilichoandikwa maneno ya Mungu unakiita Biblia Takatifu nadhani unakitunza vizuri huwezi ukakikanyaga kwa sababu ndani ya karatasi zake yameandikwa maneno ya Mungu hatusemi unakiabudu kitabu hicho Hata hivyo katika kanisa Katoliki hakuna sanamu ya Mungu wala picha yake
 
Hatuabudu masanamu bwana,Tunamwabudu Mungu wa mbinguni hayo masanamu unayoyaona ni kama vielelezo tu kama wewe ulivyoweka picha ya mpendwa wako na pengine hata unaibusu utasema unaiabudu hiyo picha?Au kile kitabu kilichoandikwa maneno ya Mungu unakiita Biblia Takatifu nadhani unakitunza vizuri huwezi ukakikanyaga kwa sababu ndani ya karatasi zake yameandikwa maneno ya Mungu hatusemi unakiabudu kitabu hicho Hata hivyo katika kanisa Katoliki hakuna sanamu ya Mungu wala picha yake
Ndiyo utetezi wenu ulivyo,kwa nini hamuungani na vipengele vinavyoyakataza.Mbona wakati wa Yesu hayakuwepo,na hata kipindi cha mitume wa Yesu hayakuwepo
 
Ndiyo utetezi wenu ulivyo,kwa nini hamuungani na vipengele vinavyoyakataza.Mbona wakati wa Yesu hayakuwepo,na hata kipindi cha mitume wa Yesu hayakuwepo
Kwa taarifa yako hekalu la mfalme Suleiman lilikuwa limepambwa na Masanamu ya Malaika kila kona na ndimo Yesu alipokuwa anaenda kusujudu.
 
Wakolosai 3:5 (KJV) Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo IBADA YA SANAMU:
 
Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Sanamu za miungu zipo kwenye madhehebu ya Hindu. Kuna masanamu ya kila miungu wanayoiabudu.

Kwa wakatoliki wana sanamu za binadamu walioishi hapa duniani. Kama tulivyo na sanamu za akina George Washington, Nelson Mandela, na Julius Nyerere.

Waislamu wamepigwa marufuku kutumia sanamu kwa namna yoyote.

Kujibu swali lako, matumizi ya sanamu na kiwango cha matumizi inategemea wewe mwenyewe unaabudu Mungu yupi na katika madhehebu gani.

KUKURAHISISHIA MAISHA, ACHA KILA MTU AABUDU ANACHOONA KINAMFAA KWA WAKATI WAKE.
 
Ndiyo utetezi wenu ulivyo,kwa nini hamuungani na vipengele vinavyoyakataza.Mbona wakati wa Yesu hayakuwepo,na hata kipindi cha mitume wa Yesu hayakuwepo
Wala siyo utetesi labda tu uhoji imani ya wakristu hususan wakatoliki mjadala ambao ni mgumu.Iko hivi wakatoliki tunaamini uwepo wa watakatifu ambao wapo kwa Mungu,pamoja na sisi wenyewe kujiombea kwa Mungu tunaamini pia watakatifu walioko kwa Mungu nao wanatuombea kwa Mungu tunaweza tukawaomba watuombee kwa Mungu Kwa hiyo ukimuona mkatoliki anapiga magoti na kusali chini ya sanamu ya mtakatifu fulani siyo kwamba anaiabudu sanamu hiyo ila anaweka fikira na mawazo yake kwa mtakatifu anayowakilishwa na sanamu hiyo sanamu hiyo ni kielelezo tu.

Haya mambo huwezi ukayaelewa vizuri ukiwa nje ya ukatoliki utaona tu masanamu .
 
Huyu ni msabato tena labda masalia wale ni unapoteza muda wako. Hana logic wala hawezi tetea anachoamini kwa mantiki kupitia hiyo biblia yake zaidi ya kusimamiaa tu kile aalichoambiwa na kufundishwa kanisani kwake kwamba wakatoriki wanaabudu sanamu. Ndio maana kakomaa na hilo basi hana zaidi ya hilo alilokaririshwa kuwa wakatoriki wanaabudu sanamu
Bro uskatae ukwli ulio wazi.

Sisi wakatoliki ibada bila sanamu haijkamilika.
Huwa tunaenda kubusu sanamu la msalaba
Huwa tunakwenda kwenye masanmu yaliyoko maknisni na kupiga mgoti mbele yao na kufanya ibada za kutaka masanamu hayo yatuombee.

Pale sait Joseph lipo sanamu la bikira malia limejengewa kibanda chake maalumu pale pembeni ya kanisa kila saa sita mchna tunkwenda kupiga mgoti mbele ya hilo sanamu ili lituombee.

Achilia masanmu yaliyosheheni kwenye kona mbalimbli humo ndni ya kanisa ambapo wumini wanayabudu kia siku.

Sisi wakatoliki tuntembeza sanamu la mslaba barabarani na kuanza kuliabudu.

je hizo zote sio ibada?

Kwann masanamu hayo yasivunjwe kama hayako kwa ajili ya ibada ama sio sehemu ya ibada?

Bila masanamu ukatiliki ibada haikamiliki
 
Kwa taarifa yako hekalu la mfalme Suleiman lilikuwa limepambwa na Masanamu ya Malaika kila kona na ndimo Yesu alipokuwa anaenda kusujudu.
Hiyo taarifa ya heklu kupambwa na masanmu we uliipata wapi kama sio shobo zako za kikatoliki?
 
Hatuabudu masanamu bwana,Tunamwabudu Mungu wa mbinguni hayo masanamu unayoyaona ni kama vielelezo tu kama wewe ulivyoweka picha ya mpendwa wako na pengine hata unaibusu utasema unaiabudu hiyo picha?Au kile kitabu kilichoandikwa maneno ya Mungu unakiita Biblia Takatifu nadhani unakitunza vizuri huwezi ukakikanyaga kwa sababu ndani ya karatasi zake yameandikwa maneno ya Mungu hatusemi unakiabudu kitabu hicho Hata hivyo katika kanisa Katoliki hakuna sanamu ya Mungu wala picha yake
Mimi ni mkatoliki pure mzee. Unaenda unainama mbele ya lisanmu nakuanza kutaja shida zako na sala zako mbele yanlisnamu la kununua halafu useme hiyo sio ibada?

Limsalaba la mpingo linatembezwa barabarani na huku tunaimba na kusifu hiyo sio ibad?
 
Kila mtu na aishike Imani yake....

Hakuna aliyekwenda mbinguni Kisha akarudi KUTUPA majibu!

Wakati unamnanga baniani kwa nini aabudu ngombe ... Na yeye anakucheka kwa kuabudu ... Jua,mwezi,upepo,miti,nk.

Kumbuka.. ..

Kama Moto /pepo/mbinguni .. kupo kweli
Basi wataoingia huko Ni wachache Sana!
 
Bro uskatae ukwli ulio wazi.

Sisi wakatoliki ibada bila sanamu haijkamilika.
Huwa tunaenda kubusu sanamu la msalaba
Huwa tunakwenda kwenye masanmu yaliyoko maknisni na kupiga mgoti mbele yao na kufanya ibada za kutaka masanamu hayo yatuombee.

Pale sait Joseph lipo sanamu la bikira malia limejengewa kibanda chake maalumu pale pembeni ya kanisa kila saa sita mchna tunkwenda kupiga mgoti mbele ya hilo sanamu ili lituombee.

Achilia masanmu yaliyosheheni kwenye kona mbalimbli humo ndni ya kanisa ambapo wumini wanayabudu kia siku.

Sisi wakatoliki tuntembeza sanamu la mslaba barabarani na kuanza kuliabudu.

je hizo zote sio ibada?

Kwann masanamu hayo yasivunjwe kama hayako kwa ajili ya ibada ama sio sehemu ya ibada?

Bila masanamu ukatiliki ibada haikamiliki
USELESS kabisa.

Ukweli ulio wazi kwa hisia zako na mihemko yako ya kidini bila proof yeyote ya kimaandiko ndio unataka mimi nikuelewe ?

Unaelewa hata maana ya sanamu kweli wewe, kama hata maana ya sanamu yenyewe hujui je maana ya ibada ya sanamu au kuabudu sanamu utakujua maana yake ?

Unahabari kuwa wewe mwenyewe hapo ni sanamu ya Mungu sababu uliumbwa kwa sura na mfano wake.

Unaelewa kuwa hata jengo unalotumia kusalia na kufanyia ibada zako ni sanamu, unamuamubudu huyu Mungu wako ndani ya lisanamu unaloliita jengo. maandishi yalioko kwenye kitabu chako unachokiita biblia unaelewa kuwa ni sanamu. Unasoma masanamu ili kumuelewa huyo mungu anayepinga izo sanamu.
 
Soma vizuri na uelewe kichwa cha thread cha mtoa mda uone anachouliza.

Humo makanisani kuanzia anakosali mtoa mada mwenyewe kumejaa kila aina ya sanamu, kuanzia jengo analosalia lenyewe ni sanamu, mabenchi anayokalia ni sanamu, maandishi yenyewe ya kitabu anachotumia kumjua huyo Mungu (biblia) ni sanamu pia. Mambo mengi sana yanayo mzunguka mtoa mada humo kanisani kwake anakosalia na kumuabudia huyo Mungu ni sanamu, hata yeye mwenye ni kama sanamu tu mbele ya Mungu kwa sababu kaumbwa kwa sura na mfano wa Mungu hivyo mimi na wewe na mto wote ni sanamu ya Mungu.

Labda mtoa mada angeenda moja kwa moja ni sanamu zipi izo alitaka kumaanisha, ila kama ni kwenye kichwa cha uzi kinavyosema, basi si kweli kwamba kuna sanamu ya Mungu, Sanamu ya Mungu haipo kwani tangu mwanzo Mungu baba hajawahi kuonwa na mtu isipokuwa kupitia kwa mwanae ambaye watu walimwona na waliishi naye wakamfahamu na kumbe kuchonga sanamu ya kufanana naye Isingeliwezekana.
Umemfafanulia vizuri sana.
 
Wewe wataka ugomvi na wakatoliki.

Kanisa katoliki masanamu kama yoote yaani.

1 Sanamu la Yese
2 . Sanamu la bikira maria
3 Sanamu la Yosefu
4. Masannu ya malaika

5. Na masanamu mengine sijui ni akina nani wale
Wewe mwenyewe pia ni Sanamu hulijui hilo??.
 
Kwa hiyo Mungu aliamrisha muweka masanamu kanisa katoliki?mbona wakati wa yesu Hekaluni hayakuwepo?
Fuatilia vizuri kuhusu Hekalu alilojenga Mfalme Sulemani uone jinsi Sanamu zilivyowekwa nyingi,na Yesu kipindi chake Cha maisha ya hapa duniani alisali humo mara kadhaa.
 
Back
Top Bottom