We muabudu masanamu unadhani ukienda hospitali ama shule ya inayomilikiwa na kanisa lako lakuabudu masanamu utapewa huduma bure kisa muabudu sanamu mwenzao?Hao walevi wa kikatoriki wanao-abudu masanamu mmewazidi nini kuanzia elimu, afya, uwekezaji nk. Huoni kuwa wewe mfuasi wa nabii wa kike na kundi lenu la kutaka kupanda ndege bila nauli kisa mnaenda kuhubiri injili ndio hamnazo kabisa
Kazi kula matangopori ya mke wa mtu Bi Ellen G white. mlie aminishwa kuwa ni nabii mpaka leo. Biblia yenyewe ishawashinda kazi kumeza manuscript za bibi white.
Endelea kuhoji ruksa kama ilivyo kwa watu wengine kuabudu wanachotaka ruksa bila mtu kutema mate.Kuna ubaya gani watu kuhoji?
Yeye hajatumia ww kumsemea,mwache mwenyewe atafanya.Mkuu ubaya unakuja pale yule unamuamini amekukataza kufanya kitu wewe unakifanya ukiamini unamrizisha yeye
Masanamu ama michoro iliyopo kwenye nyumba za ibada hayaabudiwi kwa vyovyote.Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Mkuu mbona unawaza kama hadithi za kuku na yai kipi ni senior kwa kingine?Unaelewa kwamba hoja yako ya kwamba kila kilichopo kinahitaji muumba inaonesha Mungu hawezi kuwepo?
Kwa sababu, kwa hoja yako hii, Mungu naye atahitaji kuwa na muumba wake, na akishakuwa na muumba wake, anakuwa si Mungu tena, na huyo muumba wake atahitaji muumba wake, bila mwisho?
Kweli wewe ni Kigugumiza,Mimi nazungumzia Hekalu la Mfalme Sulemani
Ijumaa kuu huwa hatubusu misalaba?huko siyo kuabudu masanamu?na sala za jumuhia huwa tunazunguka na sanamu la bikira maria la nini?Masanamu ama michoro iliyopo kwenye nyumba za ibada hayaabudiwi kwa vyovyote.
Ni mapambo ama michoro kwa ajili ya liwazo au kuvuta hisia za waumini tu.
Eleza ni madhehebu gani hayo yanayoabudu sanamu badala ya kumuabudu Mwenyezi Mungu na hizo ibada za kuabudu sanamu zinaendeshwaje kwa mfano wake?
Hili linaweza kuwa ni jibu zuri kwa aliyeanzisha uzi huu.Kuamini Mungu hayupo ni imani pia coz huwezi kuthibitisha kua hayupo,
Kingine ni kwamba wewe hata ukithibitishiwa na Dunia nzima uwepo wa Mungu huwezi kuamini,ndio maana nikakushauri kuendelea na unachokiamini,
Halafu kama watu wanamuamini Mungu na kumuabudu wewe unapata hasara gani? Kinapungua nini kwenye maisha yako?
Waache waamini uwepo wa Mungu na wewe endelea na maisha yako,kwanini unateseka kwa imani za wengine?
Kama maibada ya kuabudu Jiwe , lisilo sikia ila Allah anasema atalifanya liwe na macho na mdomo liongee , kwa hiyo hapa yeye ndio analipa lisabamu jiwe uhalaliNi halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Pole sana,kwa hiyo wewe unapombusu demu wako unakuwa unamuabudu??,Na je kuzunguka na Sanamu ya Bikira Maria ni kuabudu?.Hivi unaelewa maana ya kuabudu?.Kwa taarifa yako unaweza kubusu au kuzunguka na Sanamu lkn usimaanishe kuabudu, halikadhalika unaweza usibusu wala kuzunguka na Sanamu lkn ukawa unaabudu Sanamu, maana Ibada ni tendo la Kiroho na si Kimwili.Ijumaa kuu huwa hatubusu misalaba?huko siyo kuabudu masanamu?na sala za jumuhia huwa tunazunguka na sanamu la bikira maria la nini?
Hujajibu hoja yoyote.Mkuu mbona unawaza kama hadithi za kuku na yai kipi ni senior kwa kingine?
Kuhoji Mungu yupo ama hayupo ni mada za kuliwaza ubongo tu kwa mtu ambaye kiuhalisia anauelewa ukweli.
Usifikiri kirahisi hivi maana utawaza ile mifano na vielelezo vilivyo makanisani. Labda jambo ambalo hukuja kuwa watu wengi duniani tunaabudu sanamu. Namaanisha maana halisi ya kuabudu ni kuinamia na kuinamia kitu inamaanisha unakiogopa. Mfano soma Danieli 2:46Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Kumbe unaamini Kaini alihojiwa na Mungu na bado hauamini uwepo wa nguvu zake? Nazani unatambua pia kwa kosa alilofanya Kaini alilaaniwa yeye na kizazi chake. Ndo maana nimekusisitizia uwe makini na unachoongea ipo siku simu yako itakushuhudia hayo uliyosema.
Hawana hoja hao wamedanganywa wamedanganyikaMwangu naona wgalatia wa kiktoliki unaanza kuwapa za kichwa hao waabudu masanamu ila ukiwabana wanayakana
Empty headFuatilia hbr za Hekalu la Mfalme Sulemani.
Kwa Nini mnaswali kuelekea jiwe ? Mnalizungunguka na kulibusu? Ili sanamu jiweHawana hoja hao wamedanganywa wamedanganyika
Alitakiwa aandikaje,mbona katumia kanuni zote za uandishi?je wewe Ni miongoni mwa waabudio hayo?Jifunze kuandika kwanza ndio urudi humu kwa watu wenye akili zao!!!
Jitihada za kukwepa swali.Kwa nini imani iwe muhimu, wakati unaweza kuamini uongo?
Imani si kitu muhimu kwangu, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo na mimi sitaki uongo.Jitihada za kukwepa swali.
Hata kama ni uongo sema ni uongo upi unauamini.
Evwrything.has the meaning and its purpose. Sisi hatupo tupo tu, bali a conttoller ndiye anayejua fate ya kila kitu.