Unapimaje hivyo vitu.Kwani nani kasema Mungu ni physical object?
Ndoto, mawimbi ya radio, umeme, vyote hivi vinapimika.
Roho na Mungu ni hadithi tu. Ndiyo maana havipimiki.
SI lazma Sanam iwe kubwa, hata lozari hatuelew kua ni Sanam au ni Nini kile.Pictures Za Sanamu Zipo Wapi
MkuuSI lazma Sanam iwe kubwa, hata lozari hatuelew kua ni Sanam au ni Nini kile.
Sanamu ni kitu unachotegemea na kinachokua nafasi ya Mungu.SI lazma Sanam iwe kubwa, hata lozari hatuelew kua ni Sanam au ni Nini kile.
Duh, kwa kweri Mungu atuambie kwa Nini Sasa alimwambia Musa kwenye Sanduku la Agano lake ziwekwe?.Dah Tena Makerubi (Malaika) yaani Mimi hata simuelewi yaani Mungu anaamulu watu wachonge sanamu za dhahabu za kufanana na Malaika ili ziwekwe mahara Patakatifu Pa Patakatifu??. Hii shida Sasa.Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
SI lazma Sanam iwe kubwa, hata lozari hatuelew kua ni Sanam au ni Nini kile.![]()
Tunawalingania ili muuache kuabudu hayo masanamu hayana msaada wowote uleImani yako itakuponya, kila mtu ana uhuru wa kuabudu chochote muhimu havunji sheria wala amani ya mtu mwngne.
Wapo wanaoabudu majiwe, miti mikubwaaa, masanamu ya watu, mito mikubwa na wanapokea majibu ya yale yanayowatatza. Msidhihaki kile wengne wanaona n sawa kukiabudu, maana hivyo n kuingilia uhuru tulio nao wa kuabudu chochote.
Kama ww unaona kuabud sanamu(kama kichwa cha mada kinavyosema) n upuuzi, ww kaa nacho moyoni na uabudu kile unachoona n sawa. Dini tumezkuta n uamuz wa mtu binafs kuzifuata au kutozfuata.
Yangu n hayo tu.........
Haita saidia kitu, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile akionacho n sawa. S vyema kuingilia uhuru wa mtu, hata mtu aabudu nyumba aliyoijenga n sawa muhimu havunji sharia.Tunawalingania ili muuache kuabudu hayo masanamu hayana msaada wowote ule
Uhuru wa mtu unamaanisha nn??Haita saidia kitu, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile akionacho n sawa. S vyema kuingilia uhuru wa mtu, hata mtu aabudu nyumba aliyoijenga n sawa muhimu havunji sharia.
Kusaidka ama kutokusaidika n juu ya muhusika, mambo yao tuwaachie wenyewe katu yaskuumize kichwa mpendwa.
Usiliabudie sanamu bhana hasira za nn si uache...Dunia imejaa watu wa kila aina.
Kuna ubaya gani mtu mwingine akifanya kila ambacho wewe hukipendi na hakina athari kwako?
Punguzeni kuwashwa tupu zenu.
Umeandika ujinga mpaka naona uvivu kukuelewesha aisee.Soma vizuri na uelewe kichwa cha thread cha mtoa mda uone anachouliza.
Humo makanisani kuanzia anakosali mtoa mada mwenyewe kumejaa kila aina ya sanamu, kuanzia jengo analosalia lenyewe ni sanamu, mabenchi anayokalia ni sanamu, maandishi yenyewe ya kitabu anachotumia kumjua huyo Mungu (biblia) ni sanamu pia. Mambo mengi sana yanayo mzunguka mtoa mada humo kanisani kwake anakosalia na kumuabudia huyo Mungu ni sanamu, hata yeye mwenye ni kama sanamu tu mbele ya Mungu kwa sababu kaumbwa kwa sura na mfano wa Mungu hivyo mimi na wewe na mto wote ni sanamu ya Mungu.
Labda mtoa mada angeenda moja kwa moja ni sanamu zipi izo alitaka kumaanisha, ila kama ni kwenye kichwa cha uzi kinavyosema, basi si kweli kwamba kuna sanamu ya Mungu, Sanamu ya Mungu haipo kwani tangu mwanzo Mungu baba hajawahi kuonwa na mtu isipokuwa kupitia kwa mwanae ambaye watu walimwona na waliishi naye wakamfahamu na kumbe kuchonga sanamu ya kufanana naye Isingeliwezekana.
Hii pia ni namna katika namna nyingi nyingi za kujenga hoja, ulitakiwa ukosoe alichokiandika na uonyeshe kama kweli kwanini unadai watu hawashughuliki nazo.Hoja za namna hii siku hizi hazifanyi kazi jaribu kuangalia wenzako waliokuwa wazoefu na mijadala kama hii kama wana shuhulika na mtindo wa aina hii ya hoja
Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Sawa bi mkubwa nimekusikia.Usiliabudie sanamu bhana hasira za nn si uache...
Haita saidia kitu, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile akionacho n sawa. S vyema kuingilia uhuru wa mtu, hata mtu aabudu nyumba aliyoijenga n sawa muhimu havunji sharia.
Kusaidka ama kutokusaidika n juu ya muhusika, mambo yao tuwaachie wenyewe katu
Ni kiukweli hayo masanamu hayakuwepo wakati wa Yesu,na hata alipoondoka akawaacha Mitume wake hawakufanya ibada ya masanamu,Lakini halikuwepo kabla ya Yesu katika dola la kirumi,kwa hiyo ni lahisi kusema masanamu ni utamaduni wa kipagani wa kirumi,hayana uhusiano na YesuWewe wataka ugomvi na wakatoliki.
Kanisa katoliki masanamu kama yoote yaani.
1 Sanamu la Yese
2 . Sanamu la bikira maria
3 Sanamu la Yosefu
4. Masannu ya malaika
5. Na masanamu mengine sijui ni akina nani wale
Sema tu makanisani masanamu yaondoshweNi halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Acha ujuaji na mambo ya kuwahukumu wenzenu.Umeandika ujinga mpaka naona uvivu kukuelewesha aisee.
Soma nilichokiandika na usome alichokiandika mtoa mada.
Nimekupa maelezo mepesi sana na yako wazi mno.Mtoa mada kauliza kwenye kichwa cha thead au kusoma kunakupa shida " Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu ? " sasa kama hakumaanisha masanamu ya mungu alimaanisha masanamu yapi ? Tuambie.