Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu?

Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu?

Hii pia ni namna katika namna nyingi nyingi za kujenga hoja, ulitakiwa ukosoe alichokiandika na uonyeshe kama kweli kwanini unadai watu hawashughuliki nazo.

Ukweli ni kuwa hoja hizo ni nzito sana na zinamaliza mjadala mapema sana sema zinataka uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri na kung'amua mambo. Nyinyi sababu mna uwezo mdogo huwa tunatumia hona zinazo endana na nyinyi.
Leo unakitu gani kipya cha kipekee ambacho umekipata kinachoweza kuthibitisha kwa haraka kabisa kuonesha Mungu yupo

Jaribu leo huwenda ukawa na bahati
 
Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Hesabu 21:8
8 Bwana akamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa, aitazamapo ataishi.
(Kumbuka hapa nyoka ni kiumbe wa duniani, japo alikataza kutengeneza mfano wa kufanana kitu kilicho duniani)
Kutoka 25:18-22
18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku.
20 Na hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema.
21 Weka kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku.
22 Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.
(Kumbuka mwanzoni alikataa juu ya kutengeneza sanamu mfano wa vitu vya mbinguni, na sasa anamuru watengeneze makerubi).
2 Nyakati 3:10
10 Na ndani ya nyumba ya patakatifu pa patakatifu akafanyiza makerubi mawili ya kuchonga; wakayafunikiza kwa dhahabu.
 
Hesabu 21:8
8 Bwana akamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa, aitazamapo ataishi.
(Kumbuka hapa nyoka ni kiumbe wa duniani, japo alikataza kutengeneza mfano wa kufanana kitu kilicho duniani)
Kutoka 25:18-22
18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku.
20 Na hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema.
21 Weka kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku.
22 Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.
(Kumbuka mwanzoni alikataa juu ya kutengeneza sanamu mfano wa vitu vya mbinguni, na sasa anamuru watengeneze makerubi).
2 Nyakati 3:10
10 Na ndani ya nyumba ya patakatifu pa patakatifu akafanyiza makerubi mawili ya kuchonga; wakayafunikiza kwa dhahabu.
Kwa hiyo Mungu aliamrisha muweka masanamu kanisa katoliki?mbona wakati wa yesu Hekaluni hayakuwepo?
 
Sasa lile gazeti ulilo liandika halina maana. Jambo liko wazi.
Nimekupa maelezo mepesi sana na yako wazi mno.
Ndugu acha ujuaji usio na maana ile post yangu ya kwanza ulioreply nilikuwa nimemjibu mtoa mada kadiri ya alichouliza wewe ukaidandia kwa juu, ndio maana sijaangaika na maelezo yako yote maana nilichachangia ni kadiri ya post na swaali la mtoa mada na sio maelezo yako.

Nilistick kwenye point za mtoa mada tuu ndio maana mtoa mada alinielewa vizuri sana.

Next time uwe makini na unachochangia. Haya USHIRIKINA ni nini ? na mambo yapi yanathibitisha kuwa huu ni ushirikina au huyu ni mshirikina Maana hata wewe unaweza kuwa mshirikina mzuri tuu, kuliko hao unawaona na kuwaita washirikina.
 
Jibu hoja, kwa nini unaabudu masanamu?
Kuwepo kwa sanamu makanisani siyo kuabudu sanamu.. Anayeabudu sanamu anatajwa hapa

Waefeso 5:5​

5 Mjue hakika kwamba hakuna mwasherati wala mtu mwenye mawazo machafu, wala mwenye tamaa, yaani mwabudu sanamu, ambaye ataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu.​

 
Leo unakitu gani kipya cha kipekee ambacho umekipata kinachoweza kuthibitisha kwa haraka kabisa kuonesha Mungu yupo

Jaribu leo huwenda ukawa na bahati
Hii kazi ya uthibitisho nimeshaifanga sana. Kwa ufupi kazi hiyo nimeshaimaliza naendeleza ukosoaji tu kama ilivyo ada yangu.
 
Ndugu acha ujuaji usio na maana ile post yangu ya kwanza ulioreply nilikuwa nimemjibu mtoa mada kadiri ya alichouliza wewe ukaidandia kwa juu, ndio maana sijaangaika na maelezo yako yote maana nilichachangia ni kadiri ya post na swaali la mtoa mada na sio maelezo yako.

Nilistick kwenye point za mtoa mada tuu ndio maana mtoa mada alinielewa vizuri sana.

Next time uwe makini na unachochangia. Haya USHIRIKINA ni nini ? na mambo yapi yanathibitisha kuwa huu ni ushirikina au huyu ni mshirikina Maana hata wewe unaweza kuwa mshirikina mzuri tuu, kuliko hao unawaona na kuwaita washirikina.
Ukikosolewa kubali kukosolewa, usibishe kwenye hakuna.

Ushirikina ni kufanya ibada na kutaka msaada kwa asiye kuwa Mola muumba.
 
Hizo aya nilizokuwekea ungezijibu kwa aya basi
Huyu ni msabato tena labda masalia wale ni unapoteza muda wako. Hana logic wala hawezi tetea anachoamini kwa mantiki kupitia hiyo biblia yake zaidi ya kusimamiaa tu kile aalichoambiwa na kufundishwa kanisani kwake kwamba wakatoriki wanaabudu sanamu. Ndio maana kakomaa na hilo basi hana zaidi ya hilo alilokaririshwa kuwa wakatoriki wanaabudu sanamu
 
Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?


Waswahili kwanini tunaacha na kuizodoa Miungu yetu Miti Mikubwa ya Kafara, Vinyamkela, Masika Zolelanga, Subiani n.k na kujinasibisha na dini za mbali?


  1. Mungu wa bara India Hindu - Brahman,Vishnu na Shiva wapo waumini bilioni
  2. Mungu wa bara China - Yu-huang wapo waumini bilioni
  3. Mungu wa asia ya kusini - Buddhist wapo waumini bilioni
  4. Mungu wa Judah
  5. Mungu wa Islam
  6. Mungu wa waAfrika ni nani ? Na kwanini jamii zingine wana Miungu yao lakini sisi tunaona ni makosa kuamini ktk Miungu ya asili ya maeneo yetu kama ilivyo kwa jamii zingine hapo juu?
 
Miungu yetu ya asili bara hindi, Afrika, Asia, Ulaya na Marekani ya Kaskazini

1651937622579.png
 
Mungu Shiva wa waumini bilioni huko bara Hindi, Asia na Afrika


1651937673869.png
 
Mungu wa waumini bilioni huko Mashariki ya Mbali China - Yu Huang


1651937783295.png
 
Hii kazi ya uthibitisho nimeshaifanga sana. Kwa ufupi kazi hiyo nimeshaimaliza naendeleza ukosoaji tu kama ilivyo ada yangu.
Una hakika huyo mtu uliye mthibitishia alikuwa mimi?
 
Hujamuelewa mtoa mada, kuna mambo mnatakiwa muwe na ujuzi nayo kabla hamja yajengea hoja.

Mtoa mada hajaongelea sanamu ya Mungu, ameongelea masanamu yote kwa ujumla wake, hata liwe la ng'ombe au la yule baadhi ya watu wanaamini kuwa Mungu (Yesu), tangu kale watu waliyajaaliya masabamu sifa ya Mola, wakawa wanayaabudu kwa kuyataka msaada yaani wasaidiwe mambo yao kupitia masanamu hayo.

Watu wanafikiri ya kuwa USHIRIKINA unaishia tu kwenye matunguli, hurizi,ria na mfano wao, bali ushirikina mkubwa upo kwenye masanamu, huwa nawaambia kila siku Wakristo, Mabudha,Mayahudi na mfano wao ni WASHIRIKINA, lakini maskini ya mungu sababu wana maarifa machache wanapinga hilo.
Wewe Hauna Upeo Kama Walio Anzisha Hiyo Dini Kama Wangeona Hilo Ni Tatizo Basi Wangeondoa Kitambo.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Gari lipo sababu limetengenezwa, hvyo hivyo kwa nyumba nk
Je binadamu unadhani kaumbwa na nani? Nadhani utasema nature ila mbona watu watu hawaumbi watu wao? Mbona jua linazama na kuchomoza, mbona mwez upo, mbona mbingu haina nguzo na ipo juu? Najua utasema sayansi asilia.
Hivo Ndo Vinafanya Uamini Mungu Yupo?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tujiulize hawa waumini ambao imani zao zina masanamu tuwahukumu kuwa wamepotoka?

Au wale wanaoamini katika miungu yao isiyonasibishwa na masanamu pia wamepotoka kwa kuamini ktk kitu kisichoonekana au kukaribiwa ktk mahekalu, makanisa, masinagogi, kwenda kufuatwa ktk sehemu za Hijja, kuzunguka jiwe, kutuma mawe kumpiga shetani au mti mkubwa wamepitoka ?


Mabilioni ya waumini hawa wa imani tofauti waachwe waendelee na imani zao tofauti.


Nasifu dini za huko bara Hindi, Mashariki ya Mbali China, Japan n.k kwa kutohangaika kutafuta wafuasi na waumini wapya toka ktk jamii nje ya zao kwani wana amani ya Kiroho kutambua utofauti baina yao na wengine.
 
Kutoka 20:4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

Hapa ndipo penye majibu ya swali lako

Hakuna umuhimu wa kuto kuwepo maana hayana msaada wowote katika kuwasiliana na Mungu kwasababu

Mungu anaabudiwa katika Roho na kweli
Musa alipoambiwa atengeneze nyoka wa shaba amuweke juu ya mti ili kila amtazamae apone...yule nyoka hakuwa SANAMU?
 
Back
Top Bottom