Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 686
Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Mungu anaona wivu😬😬😬Kutoka 20:4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Hapa ndipo penye majibu ya swali lako
Mungu anaona wivu😬😬😬
Mkuu Wapi wewe ulishawahi kuona sanamu ya Mungu ?Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Kwanza kabiza, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo kweli na si sanamu uliloliumba mwenyewe kwenye mawazo yako.Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Huo ni USHIRIKINA na Mola hataki haya mambo.Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Hakuna sanamu ni la kushikika hakuna sanamu lilo undwa mawazoni likawa si la kuonekana wala kushikika likaitwa sanamu.Kwanza kabiza, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo kweli na si sanamu uliloliumba mwenyewe kwenye mawazo yako.
Maana unaweza kuhoji masanamu unayoyaona, huku unaendelea kuabudu masanamu uliyoyaunda mwenyewe mawazoni.
Thibitisha Mwenyezi Mungu yupo kweli, na habari za kuwepo kwake si za kutungwa na watu tu.
Dini ni imani na matendo,wewe endelea tu kuamini unachokiamini,ndio uhuru wenyewe huo,hakuna anaye lazimishwa.Kwanza kabiza, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo kweli na si sanamu uliloliumba mwenyewe kwenye mawazo yako.
Maana unaweza kuhoji masanamu unayoyaona, huku unaendelea kuabudu masanamu uliyoyaunda mwenyewe mawazoni.
Thibitisha Mwenyezi Mungu yupo kweli, na habari za kuwepo kwake si za kutungwa na watu tu.
Hujamuelewa mtoa mada, kuna mambo mnatakiwa muwe na ujuzi nayo kabla hamja yajengea hoja.Mkuu Wapi wewe ulishawahi kuona sanamu ya Mungu ?
Mungu anaabudiwaje kupitia sanamu akati sanamu yake HAIPO. na haipo kwa sababu hakuna aliyewahi kumuona Mungu mpaka achonge sanamu yake.
Mkuu Nafikiri msingi wa swali lako una makosa unachouliza ni sawa na mtu anayeuliza kwanini makao makuu ya tanzania yaliwekwa newyork.
Mimi sitaki kuamini, nataka kujua.Dini ni imani na matendo,wewe endelea tu kuamini unachokiamini,ndio uhuru wenyewe huo,hakuna anaye lazimishwa.
Thibitisha Mungu yupo kweli na si dhana tu unayoiamini bila Mungu kuwapo.Hakuna sanamu ni la kushikika hakuna sanamu lilo undwa mawazoni likawa si la kuonekana wala kushikika likaitwa sanamu.
Kingine unataka uthibitishiwe uwepo wa Mola mara ngapi ? Usisumbue watu na kupotezea watu muda, huko tushatoka jenga hona kulingana na mada husika, au kinyume chake ututhibitishie ya kuwa Mola hayupo japo hili najua huwezi wala hakuna aliyewahi kuweza.
Hujui kua kukataa kua Mungu hayupo ni kuamini pia? Nani kakulazimisha kuamini?Mimi sitaki kuamini, nataka kujua.
Unasema hakuna anayelazimishwa, wakati ushanilazimisha kuamini.
Jifunze kuandika kwanza ndio urudi humu kwa watu wenye akili zao!!!Ni halali kuwepo masanamu katika nyumba za ibada,ambayo hayasikii wala hayana msaada wowote ule katika kumuomba Mwenyezi Mungu?
Kukataa kuwa Mungu hayupo ni kuamini kivipi?Hujui kua kukataa kua Mungu hayupo ni kuamini pia? Nani kakulazimisha kuamini?
Jibu hoja, kwa nini unaabudu masanamu?Jifunze kuandika kwanza ndio urudi humu kwa watu wenye akili zao!!!