Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

sasa je?haya ndo maneno!nimejickia kuchangamka baada ya huu mtongozo, confidence nayo imeongezeka!:A S-heart-2:
Purple kiukwel unanivutia sana. Yaani nahisi kukupenda sana, na ningependa uwe mpenzi wangu... Pliz P jua kwamba naongea ukwel, naomba unikubali... Naahidi kukupa mapenz motomoto, hutajutia kuwa nami...
 
Wanawake wengine wanaona kutongozwa ni DEAL na kunaprove how much WANALIPA au wanarusha ROHO za wnaume..........thats not the case coz kutongozwa sana sometimes kuna indicate how CHEAP you look infront of evry1.....
 
Wakati mwingine wanawake hawajui wanachokitaka. Mtu umeolewa bado unataka kutongozwa?!!
 
Heheheee
Haya njoo nikutongoze baadae eeeh totoo!
:A S-heart-2:Halafu nakupendaga ingawa nimekuacha :A S-heart-2:

I know for sure we have a bond between us. A true love. Huwezi niacha jumla.:A S-heart-2:
 
Sasa rafiki, ukiwa na mke hata hatazamwi kwa jicho pembe unajisikiaje? Mie nikipita na handsome man wangu nafurahia wadada wakipaliwa ama kujikwaa. Well, at least wageuze hata shingo na mie niendelee kujisikia mshindi, lol
Kama wake wenyewe ndio dizaini hizi bora tusioe tu, tuwaachie uhuru wa kujiona "wamo" siku zote bila kumkwaza mume.
 
Kama wake wenyewe ndio dizaini hizi bora tusioe tu, tuwaachie uhuru wa kujiona "wamo" siku zote bila kumkwaza mume.
Kiranga bana sasa usipooa wafikiri ndio suluhisho??
suluhu pekee ni kutafuta mtu mzuri anayejitambua na kujiheshimu basi, na sio kwamba hawapo wapo kibao ishu tu ni kwenye kulenga.

kibya zaid wanawake wazuri wa tabia na sura wanajikuta wameanguka kwa mabazazi na wanaume wazuriwa tabia na sura nao hivyo hivyo huangukia kwa vicheche sijui ni kwanini jamani mweeeh!
 
Last edited by a moderator:
Sasa rafiki, ukiwa na mke hata hatazamwi kwa jicho pembe unajisikiaje? Mie nikipita na handsome man wangu nafurahia wadada wakipaliwa ama kujikwaa. Well, at least wageuze hata shingo na mie niendelee kujisikia mshindi, lol

at least it gives you heart kwamba , hukuchagua mwanaume bali ulimchagua mwanaume bora, na hii hukupa discipline zaid kwamba nitulie nisije nikamkosa manake soko lake liko juu.

umenikumbusha jambo yarabiiiiiiiiiiiiiiii nimecheka mpaka basi.

ngoja niende church kwanza nikirudi ntakupa mchapo.
 
Back
Top Bottom