Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Wakati mwingine unaheshimiwa kuwa ni mke wa mtu ndiyo maana hutongozwi.
NIMESITISHA MSAKO WA KUMSAKA MCHAWI WANGU.lol
 
Wakati mwingine unaheshimiwa kuwa ni mke wa mtu ndiyo maana hutongozwi.
NIMESITISHA MSAKO WA KUMSAKA MCHAWI WANGU.lol

Good for you.
Wewe utongozwe hadi na teens halafu ujisifie una mvuto; kweli?????
 
Ukiona demu wako anatongozwa na watu zaidi ya kumi elewa kuwa demu wako mzuri anawatoa udenda wanaume wakware.

Kwakuwa umesema 'demu' basi nareserve comment yangu iliyokuwa ina wahusu wenye respective ladies.
 
Hebu nitupie contact zake anidirect nikamsetie mmoja hiv
 
Da Mkubwa Kaunga leo umenichekesha asubuhi asubuhi.............................akhaa kuwa mume kamroga asitongozwe!! Duniani vituko haviishi.
 
Last edited by a moderator:
Da Mkubwa Kaunga leo umenichekesha asubuhi asubuhi.............................akhaa kuwa mume kamroga asitongozwe!! Duniani vituko haviishi.

Yaani mwenyewe nilipigwa na butwaa kwanza halafu nikaangua kicheko. Yaani nyumba hizi asikwambie mtu; yanayosimuliwa humu hata 1/8 hayafikii pamoja na u-anonymous wote.

Hujambo lakini?
 
Last edited by a moderator:
kumbe kutongozwa deal mjini enh? haya nakaribisha mitongozo kwa moyo mkunjufu:A S-heart-2:
Purple kiukwel unanivutia sana. Yaani nahisi kukupenda sana, na ningependa uwe mpenzi wangu... Pliz P jua kwamba naongea ukwel, naomba unikubali... Naahidi kukupa mapenz motomoto, hutajutia kuwa nami...
 
Yaani mwenyewe nilipigwa na butwaa kwanza halafu nikaangua kicheko. Yaani nyumba hizi asikwambie mtu; yanayosimuliwa humu hata 1/8 hayafikii pamoja na u-anonymous wote.

Hujambo lakini?

Mie nimechoka kabisa Da Mkubwa wangu. Hizi ndoa hizi mh!!
Sijambo kabisa mydia.
 
You never know. Kuna mtu aliambia, "kaunga sio kila mwanaume anayekutongoza anakutaka; we do that because it is expected of us to do so". Hivyo nafikiri 'it is expected of women kutongozwa'. So Kiranga just be a gentleman and tongoza some chicks hata kama you don't mean it kwani haitasumbua coz na mdada anategemea kutongozwa tu bila kwenda all the way! LOL
The Boss na Asprin wanafahamu hii kwa uzuri.
Umejuaje? Wengine kutongoza ni hobby yetu. Unataka tu umwone binti akitongozwa anakuaje..... ukiona ana mwelekeo wa kukubali na we huna mashamsham naye unajisepea zako tartiiiibu.

Na mwanamke kutongozwa sunna. Ukiona umemaliza miezi mitatu hujatongozwa, kaogee magadi. Nuksi hiyo!
 
Kaunga sasa mke wa mtu utongozwe ili ukafanywe nini?
Tena naomba mnitafutie huyo mganga mwenye uwezo wa kumfanya mke wangu akipita kwenye midume yenye uchu aonekane kama Baunsa wa kwenye ukumbi wa disco

Ukimpata nijulishe na miye Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke kama hatongozwi nayo noma, ana haki ya kulalamika kwanini hatongozwi:biggrin:

Kutongozwa kwani dhambi?

Ku sex nje ya ndo ndio dhambi:A S shade:

Umesahau aombaye atapewa na agongaye atafunguliwa?
 
Aaache kujifagilia huyo hana mvuto ndo maana hatongozwi. Tena inawezekana yeye ndo alimloga huyo bwana hadi akamwoa. Mke wa mtu unataka kutongozwa ili nini kama siyo uchangu huo?
 
Na hapo hapo kumbuka, si kila ukiomba utapewa na si kila ukigonga utafunguliwa:biggrin:

Hiyo nyongeza ni ya kwako na huwezi kunipa andiko linalotamka hayo mimi nimetoa andiko kama lilivyo unless useme andiko hilo ni uongo. Si kila uombaji ni uombaji ila uombaji wa kweli lazima utunukiwe kilichoombwa.
 
Kha....!! Sasa anataka kutongozwa wakati kaolewa..!!
 
Back
Top Bottom