Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Bidada unafikiri kwetu hakuna policy kama hiyo? Hata kama mmeoana one has to resign; na pia advances zozote haziruhusiwi, lkn ni mpaka mmoja a-file a complaint. Na tungekuwa tunazifile hizo flirt hakuna mwanaume ambaye angebaki.
Ofice zimeproduce sio tu romance hata ndoa pia, hivyo siwezi ita upuuzi; ila kila mwanaume akujue wewe ni too much na ni ugonjwa wa akili kwa kweli. Ukisifiwa tu unafurahi na kuachia yote, it is disgusting.
kwanza babu ukimwona mwanamke anatoka na mtu wa ofcn kwake jua huyo mwanamke akili yake haimtoshi kisawa sawa.
kutoka na ofc mate wako?? dah kuna watu wana guts aisee!

mm huwa naipenda CARE INTL sana hii NGO bana kwenye mkataba wao umeandikwa kabisaa hakuna kutoka na mtu ama kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtumish mwenzio. hilo ni kosa la kufukuzwa kazi manake wanajua kabaisa mapenzi yakiwekwa ofcn hubomoa ofc kabisa.
 
Una akili weye, maana haishi kujieleza kila siku kuwa kastaafu as if anam-dare lara 1 kumpima kama kweli kastaafu! LOL

si ndo hapoooooooo!au na ye anataka kusema bibi kamloga ndo mana hatongozi!
ah babu enh hebu twambie!mzee mwenzio Mtambuzi kashasema hataka shikamoo sasa na wewe inawezekana huzitaki lakini yet hutaki uwekwe kwenye kundi la kina Nicas Mtei usije ukakosa kizee kama somo yangu gfsonwin na bado kina Madame B wakuone size yao!hebu nyosha maelezo babu!
mi mjukuu bana nina haki ya kujua na wajibu wa kuuliza!lol:rockon:
 
Last edited by a moderator:
mwali nipo mabwe tayar hvoo!kilonga longa hakina chaji

pole mwaya nimekuona nimefurah sana.
wanangu wanakukumbukaje sasa?? kila sasa mama auntie snowhite anakuja lini ten??

basi mie imebidi niwaambie kasafiri akirudi tu atakuja lol!
 
Last edited by a moderator:
si ndo hapoooooooo!au na ye anataka kusema bibi kamloga ndo mana hatongozi!
ah babu enh hebu twambie!mzee mwenzio Mtambuzi kashasema hataka shikamoo sasa na wewe inawezekana huzitaki lakini yet hutaki uwekwe kwenye kundi la kina Nicas Mtei usije ukakosa kizee kama somo yangu gfsonwin na bado kina Madame B wakuone size yao!hebu nyosha maelezo babu!
mi mjukuu bana nina haki ya kujua na wajibu wa kuuliza!lol:rockon:

mwali uzeee huu mashavu yote poromoka sasa wataka nijiweke kundi sawa na binti kama wewe na Kaunga?? ama mdogo wangu Madame B??
 
Last edited by a moderator:
Subirini na nyie zamu yenu...ipo siku mtaachia ofisi tu....

halafu mtu ukabidhi ofisi wakati marupu rupu ndiyo yameongezeka kwa zaidi ya 150%...!!

Inauma bwana, tuache utani...lol!!

Babu DC!!
ahahahahhahahahahhahahha ila kweli ngoja nihakikishe i have my share mapemaaaa!
 
hilo ndo huwaga la kwanza kujiuliza ninapotokewa
nimefanya nini mpaka anitokee?


Kwa nini usihisi kwamba huyo anayekutongoza ndiye mwenye matatizo kabla hujajiangalia wewe mwenyewe?

Naona kama unakuwa unaanza kujitangazia dhambi wakati hujafanya baya lolote...

Babu DC!!
 
Maelezo haya hayaendani na maudhui ya mleta uzi kwa maana kisa hapa ni kutongoza mke wa mtu. Waama kuhusu posa msichana ataulizwa na kutoa jibu lake mbele ya wazazi kwamba amekubali ama amekataa hairusiki kwa namna yoyote kukutana peke yenu vichochoroni na kukubaliana chochote. Ya kwamba kakubali na tayari keshaolewa analilia utongozwaji na wanaume wengine kivipi na kwa utaratibu gani hasa wa kimaandiko. Mke mwema hutoka kwa bwana na kisicho rizki hakiliki na hivyo suala la kuumia moyoni hapa halipo kama kweli ni mtu wa imani ya kimungu. Tunapaswa kushukuru kwa yote na huenda mungu wako amekuepusha na janga zito ambalo lingekufikia kupitia mkondo wa huyo mwanamke.
Hapo ndo mnakosea mwanamke ni kiumbe ameumbwa tofouti na mwanaume, mwanamke asipo tongozwa anajiona kama ana kasoro vile...na hasa kama alikuwa mzuri kabla ya kuolewa, sa akiona kama hajatongozwa anajiona kapoteza uzuri wake ndo mana anakuwa anawasi wasi.

Afu huyo mwanamke inawezekana wanawake wenzake wakikutana naye wanamsifu mzuri anaona vipi yeye mzuri bado na hakuna mwanaume kamtongoza, hata kama ni mke wa mtu unless kuna uchawi tu.

Nakuliza wewe una mke huna? Kama una mke, hivi mke wako hajawahi kutongozwa na wanaume wengine bada ya wewe kumuoa? Unless uwe unaishi Saud Arabia labda:biggrin:

FYI mwanamke siku zote target yake kuvaa vizuri awe mke wa mtu asiwe mke wa mtu, nikutaka kuonekana yeye ni mzuri hata kama mwanamke katulizana na ana adabu zake, asipo tongozwa pia anajiona kama ana kasoro flani vile :biggrin:

WEWE NI MUISLAM sio, hukusikia kile kisa cha yule mwanamke alimfata Prophet Muhamamd akasema nimekupenda nataka unioe, na prophet Muhamamd akamtazama hakumpenda aka kaa kimya, si aliruka jamaa kule akasema ya Rasul Lah, ikiwa wewe huna haja naye niozeshe mimi? Sa huyo mwanamke utasema alienda jitongozesha kwa mtume Muhammad? Yani ni malaya? Leo akitokea bint akakufata akasema niowe si utasema ni malaya kutokana na akili zenu.

Nyie wa Islam wengine ndio mnaharibu Uislamu kujidai kila kitu kosa, dini inakusudia mingine nyie mnakuja na mingine:biggrin:
 
Kwani ukishaitwa mwanamke unabeba na mizigo ya wanawake wengine??

Kama hamnazo kwa nini isiwe kwa huyo anayetaka kutengana na mume wake?

Babu DC!!
Kenye jamii kuna gender stereotypes kuhusu mwanamke. mf. kuonekana tofauti na mwanamme interms of akili, ngiuvu, kufikiri na kupambanua mambo etc. haya mambop yako rooted kwenye tradition zetu.....ishu kama hii ya mtu kushtaki mme kwamba kamloga hatongozwi inajustify hizi stereotypes kwa mtu mwenye low thinking capacity anayemjaji mwanamke
 
si ndo hapoooooooo!au na ye anataka kusema bibi kamloga ndo mana hatongozi!
ah babu enh hebu twambie!mzee mwenzio Mtambuzi kashasema hataka shikamoo sasa na wewe inawezekana huzitaki lakini yet hutaki uwekwe kwenye kundi la kina Nicas Mtei usije ukakosa kizee kama somo yangu gfsonwin na bado kina Madame B wakuone size yao!hebu nyosha maelezo babu!
mi mjukuu bana nina haki ya kujua na wajibu wa kuuliza!lol:rockon:

Hivi kuna ulozi kwenye kustaafu??

Ni nature tu inakufanya uhisi kwamba uliishi kipindi chenye ukame kuliko sasa...lol!!

Cha msingi ni kukubali kwamba imeshatoka hiyo....lol!!

Babu DC!!
 
pole mwaya nimekuona nimefurah sana.
wanangu wanakukumbukaje sasa?? kila sasa mama auntie snowhite anakuja lini ten??

basi mie imebidi niwaambie kasafiri akirudi tu atakuja lol!
jamaani nikirudi uwalete washinde huku!lol
wape hi wakaka wazuri waambie antie snowhite love them mingi!
 
ahahahahhahahahahhahahha ila kweli ngoja nihakikishe i have my share mapemaaaa!


Maisha ni leo mdogo wangu...

Niliwahi kukutana na shair jamaa anaulilia ujana.....

Ni kawaida tu ila ukijiandaa ndo hivyo tena, unaishia kusema sema kama Babu DC, ili usijekuwa kituko mtaani!!

Babu DC!!
 
Kenye jamii kuna gender stereotypes kuhusu mwanamke. mf. kuonekana tofauti na mwanamme interms of akili, ngiuvu, kufikiri na kupambanua mambo etc. haya mambop yako rooted kwenye tradition zetu.....ishu kama hii ya mtu kushtaki mme kwamba kamloga hatongozwi inajustify hizi stereotypes kwa mtu mwenye low thinking capacity anayemjaji mwanamke

Unachotakiwa kufanya na wewe ni kujiweka mbali na watu wanaondekeza hizo steriotypes na pia usiwe wa kwanza kujinyanyapaa..lol!!

Babu DC!!
 
Ni nature tu inakufanya uhisi kwamba uliishi kipindi chenye ukame kuliko sasa...lol!!
Babu DC!!

Aah wapi hakuna cha ukame wala nini, tena ninyi mliokulia kipindi hakuna HIV (kama wewe kweli ni mmoja wao) mlifaidu sana.
Sasa hivi mavazi tu na beauty enhancement ndizo zinazosaidia lkn wakivaa birth suit zao ni the same tena wa enzi zenu walikuwa natural (kuku wa kienyeji).
 
Hivi kuna ulozi kwenye kustaafu??

Ni nature tu inakufanya uhisi kwamba uliishi kipindi chenye ukame kuliko sasa...lol!!

Cha msingi ni kukubali kwamba imeshatoka hiyo....lol!!

Babu DC!!
cc Mtambuzi hili hataki kulitambua kabisa
 
Last edited by a moderator:


Mfano wa tatu

Mwanaume anamtongoza mwanamke, mwanamke anamkubalia wana sex hapo ndo dhambi, mwanamke akimkatalia hakuna dhambi hapo hata siku moja na atakaye sema ni dhambi ni mtu hajui dini kabisa.


Dhambi ni mbegu inayopandwa moyoni kwa kwenda kinyume na manual ya muumbaji. Wazo linapokuingia nafsini dhambi imeshatendeka na wala dhambi sio lile tendo lenyewe. Unatakiwa kuichunga nafsi yako uovu wowote usikuingie kwa maana nafsi ndicho kiwanda kinachozalisha matunda. Sasa jamaa yangu anasema wazo kuingia nafsini si hoja, hata likizaa tunda la mtu kumtokea mke wa mtu bado si hoja bali mpaka tendo lenyewe lifanyike; mimi sijawahi kusikia ujinga kama huu na amin amin nawaambia amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha zini naye
 
Bidada unafikiri kwetu hakuna policy kama hiyo? Hata kama mmeoana one has to resign; na pia advances zozote haziruhusiwi, lkn ni mpaka mmoja a-file a complaint. Na tungekuwa tunazifile hizo flirt hakuna mwanaume ambaye angebaki.
Ofice zimeproduce sio tu romance hata ndoa pia, hivyo siwezi ita upuuzi; ila kila mwanaume akujue wewe ni too much na ni ugonjwa wa akili kwa kweli. Ukisifiwa tu unafurahi na kuachia yote, it is disgusting.
ukiona mwanamke unaambiwa umependeza ukajiachia kwa yote basi wewe ni mgonjwa wa akili,
na ukiona mtu anatongozwa ni mwanamke kisha akalegeza maungo huyu ni kichaa kabisa kama ana ndoa.

mwanamke mwenye busara unatongozwa, kisha unajibu kwa ustaarabu kabisa i cant entertain this tena unasema wazi nakuheshimu sana siwez kusaliti ndoa yangu so lets be good friends. and next time you shld not repeat this to me.

mwanaume akitoka hapo anajua wewe huwezekaniki na akirudia tena basi kauli yako ya pili inakuwa ya ukali zaid na yenye mamlaka kwake.

namkumbuka lab scientist wetu mmoja mdada alitongozwa na bosi wetu, akamweleza kwa ustaarabu sana, kisha akampa onyo. bosi hakuelewa akakaa akarudi kwa huyu bidada na maneno haya haya, bi dada akamwambia sasa usipate tabu you are the boss so choose una nifukuza kazi, utasaini barua yangu ya kuacha kazi ama utanyamaza kimya unipishe nifanye kazi bila usumbufu kutoka kwako.

sasa bosi ilibidi apime, akimfukuza kazi atasema kosa gani?? je kama bidada kesha sema nilimtaka itakuwaje?? na mpaka nimfukuze lazima barua yake iende ngazi za juu je sababu itakuwa ni ipi ilihali binti ni mchapa kazi na ndo kichwa hapa ofcn??

je akiresign atasema sababu ni ipi?? je kwenye hiyo barua akisema ni usumbufu unaotoka kwangu itakuwaje??

ikabidi amruhusu afanye kazi kwa uhuru na amani na mpaka leo bosi huwa hakohoi mbele ya huyu bidada.
 
Hivi kuna ulozi kwenye kustaafu??

Ni nature tu inakufanya uhisi kwamba uliishi kipindi chenye ukame kuliko sasa...lol!!

Cha msingi ni kukubali kwamba imeshatoka hiyo....lol!!

Babu DC!!
cc Mtambuzi hili hataki kulitambua kabisa
 
Last edited by a moderator:
jamaani nikirudi uwalete washinde huku!lol
wape hi wakaka wazuri waambie antie snowhite love them mingi!

poa poa mamii nakupendaje sasa??

mchana shangaazi kaukumbuka ule ugali wa jana usiku, nikamwambia yule shoti wangu ni mzungu kwente five star hotel anamudu na ukimleta kitaa ana mudu. mwali yaani ulinoga ule ugali acha tu.
 
Back
Top Bottom