Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
Last edited by a moderator:
Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.
Shauri zako. Mi simo!:nono::nono:gudooooooooooooo huyo ulomtaja hapo ndo mamaaaa au????????????????????
Sa hata kama maneno yangu si kweli:biggrin:
Ukienda kwenye dini usije kukibia takushinda tu....Hebu niletee kitabu gani cha Mungu kinasema kutongozwa dhambi au unataka kujiletea tu maneno ya kwako:A S shade:Simu ikitoka kiwandani leo inaongozana na manual yake ya jinsi ya kuioperate huwezi kuingia kwenye menu yoyote kwa akili yako tofauti na mtengenezaji alivyoelekeza ukataraji kupata matokeo yaleyale. Mwanadamu ni kifaa kilichotengenezwa na mungu naye ametoa munual yake namna ya kumfanya aenende juu ya nchi; namna yake ya kuhusiana na wengine, namna yake ya kupata riziki, namna yake ya kupata mafanikio mengine, nk. Huwezi kuweka akili zako hapo katikati na bado ikawa sawa
yaani watu wana vituko!Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.
yaani mimi nipo tofauti na weweHa ha ha ha
Kutongozwa muhimu.....inakupa makonfo hata kama umeolewa mwenzangu.
amemiss kupigiwa misele,kuimbiwa verse na kudanganywa....
Mimi ninaiona ni kiu tu ya kukubalika au kutamanisha (desirable) . Kwani sidhani kwamba one can be with kila anayemtongoza, ile feeling ya kuwa desirable kwa watu wengine zaudi ya watu wetu huenda ina pandisha confidence level.
Kuna baadhi ya wenzi nitasemea kina baba, wanajisikia kuwa wamechagua kitu bomba pale ambapo jamaa wengine wanawatolea macho wake zao.
Wanaosaliti ndoa zao wanaanza hivyo hivyo.
Wanataka kuwa desirable tu, si zaidi.
Mara kijana mtanashati kampigia mbinje, mama anasema "kijana mtanashati kweli, ngoja nimsikilize tu, sifanyi zaidi".
Mara kijana katoa offer ya dinner, mama anajisemea kimoyomoyo "dinner tu, tena kijana mwenyewe mtaratibu sana haelekei hata kuwa na makuu".
Mara dinner inakwenda na wine.
Mama anasema "ni wine tu, hata Yesu alikunywa divai".
In Vino Veritas.
Mara kushikana mikono, kugongeana.Mazungumzo yananoooga, mama anajisikia yuko wingu la saba.
Mara anaongeza glasi, na glasi.Mara "blame it on the al al al cohol".Kijana anajichukulia mzigo kirahisi.
Mama anasema "what he doesn't know will not hurt hubby"
Anasaliti. Anagundulika.Talaka!
Jiepushe.
You never know. Kuna mtu aliambia, "kaunga sio kila mwanaume anayekutongoza anakutaka; we do that because it is expected of us to do so". Hivyo nafikiri 'it is expected of women kutongozwa'. So Kiranga just be a gentleman and tongoza some chicks hata kama you don't mean it kwani haitasumbua coz na mdada anategemea kutongozwa tu bila kwenda all the way! LOL
The Boss na Asprin wanafahamu hii kwa uzuri.
Ukiona demu wako anatongozwa na watu zaidi ya kumi elewa kuwa demu wako mzuri anawatoa udenda wanaume wakware.
Shauri zako. Mi simo!:nono::nono:
Unajaribu tu kuleta ujinga humu kwa sababu hakuna kitabu hata kimoja kinachoongelea mambo ya kutongazana bali kuna kuposa na kuoa na havifanyiki uchochoroni baina ya watu wawili mbali na macho ya mashahidi ila watu wanatongoza kwa shingo zao ngumu na kuiandama zinaa. Kusema ukitongoza utapewa haina maana imeruhusiwa ndio mana vimewekwa mbele yako uzima na mauti na ni juu yako kuchagua. Huko kwenye dini tuko hapa tuliopinda hebu tupige mbio humu tuone nani anaingia mitiniUkienda kwenye dini usije kukibia takushinda tu....Hebu niletee kitabu gani cha Mungu kinasema kutongozwa dhambi au unataka kujiletea tu maneno ya kwako:A S shade:
Hapana, tatizo unanitia majaribuni bana.mi nimeuliza tu,unamuogopa Mtambuzi.
Hapana, tatizo unanitia majaribuni bana.
![]()
wewe babu unajua adha za kutongozwa? hasa kama ni mke wa mtu?Utamu wake si unaukumbuka??
Tukiacha upande mwingine wa hadithi, mwanamke ambaye hatongozwi kabisa wala kuminyiwa jicho simtaki hata kwa kurumangia...lol!!
Ni sawa na kwenda restaurant, ukaagiza chakula na kati ya majirani zako, hakuna anayekurushia rushia jicho...
No please..... That's why I miss my 1947..lol!!
Babu DC!!
We unatisha ndio maana.......kodoa jicho mara moja halafu ufunike kombe mwanaharamu apite unaniangusha bhana!!!!!!!!!!!!!!!!!