Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Sasa rafiki, ukiwa na mke hata hatazamwi kwa jicho pembe unajisikiaje? Mie nikipita na handsome man wangu nafurahia wadada wakipaliwa ama kujikwaa. Well, at least wageuze hata shingo na mie niendelee kujisikia mshindi, lol

Inaonekana hujiamini kwa chaguo lako mpaka upate mihuri ya wengine.
 
Ukiona mwanamke unatongozwa juwa kuwa unakubalika na bado unadai lakini ukiona kimya ujue umechoka umechakaa...

Pia ukiona unatongozwa sana ujue wanaume wameshaambiana wewe ni mteremko.
 
Kama wake wenyewe ndio dizaini hizi bora tusioe tu, tuwaachie uhuru wa kujiona "wamo" siku zote bila kumkwaza mume.

Mie nasubiri nizeeke zeeke kidogo; au hata wazee nao wanajisikiaga wivu?!
 
babu nashukuru Mungu kwamba uzee wangu umeniweka mbali na ibilisi so hata watu wa kunikwaza kama hawa kwa sasa hawapo. Nimebaki namungalia Klein wangu anacheza namba gani manake si wajua tena........

btw babu ivi kumwekea mtoto wa kiume condom ndani like kumekea chumbani just in case ni dhambi?? hiyo nimeikuta leo kwenye jumuiya mmama akisema imebidi amwekee mwane kwani kazidi kwa tabia ya chovya chovya, huyu mama yeye ni nesi.

ila kiukweli inakera sana sana, na sijui kwanini wanaume huwa hawakubali kwamba sio kila mwanamke ni saizi yao wapo kwa class, kama vile ambavyo hata pamba ipo kwa class ama kahawa.

Chuma chakavu ni stronger kuliko kipande kipya cha mbao.
Dada yangu hapo unajaribu kuandika upya historia. Hata vitabu vya dini vina imply kuwa mwanaume ni superior kwa mwanamke. Hizo mnazoita class/saizi😛esa, magari, elimu,dhahabu,mali ambazo mwanamke anamiliki hazibadilishi uanamke wake. Mwanamke ataendelea kuwa mwanamke tu na mwanaume ataendelea kuwa mwanaume tu. Hizo saizi/class ni mwanamke tu ndio anafikiria kuwa zipo, lakini in real sense hazi exist na ndio maana hata muuza kahawa ukimkalia vizuri atakutongoza tu, regardless unaonekanaje.
Wanaume hawana haya mambo ya hizo class, ndio maana anaweza akatoka na mwanamke yeyote.
 
Pia ukiona unatongozwa sana ujue wanaume wameshaambiana wewe ni mteremko.

Ukiona mwanamke unatongozwa tongozwa sana, fahamu una sura ya kimalaya!

NB: Wadada mtongwazao mara kwa mara, tafadhali msinitoe macho---mi mjumbe tu, na mjumbe hauawi! Hayo si maneno yangu bali ya Mzee wa Upako!
 
Pia ukiona unatongozwa sana ujue wanaume wameshaambiana wewe ni mteremko.
Hayo mawazo hajaenda shule, nakumbuka kulikuwa na bint mmoja mzuri sana na kila mwanaume anamtongoza kanawakatalia, na kila mwanaume akitoka pale anaenda kusema aisay kale ka bint hakagawi hata ufanye vipi, yani tumekwenda jeshi zima na kila aina za tack tik lakini tumekwama...Mpaa siku kanaolewa wanaume wengine wakabaki kumsifu mme wake kafanya vipi mpaa kakapata:biggrin:
 
Hayo mawazo hajaenda shule, nakumbuka kulikuwa na bint mmoja mzuri sana na kila mwanaume anamtongoza kanawakatalia, na kila mwanaume akitoka pale anaenda kusema aisay kale ka bint hakagawi hata ufanye vipi, yani tumekwenda jeshi zima na kila aina za tack tik lakini tumekwama...Mpaa siku kanaolewa wanaume wengine wakabaki kumsifu mme wake kafanya vipi mpaa kakapata:biggrin:
Sasa ulichoandika hapa ndio kimeenda shule?
Sasa kama kila mwanaume angesema anagawa huoni kama msururu wa watongozaji ungeongezeka zaidi ya maradufu?
Eti tumekwenda jeshi zima, kutongoza mnakwenda jeshi zima?
 
Sasa ulichoandika hapa ndio kimeenda shule?
Sasa kama kila mwanaume angesema anagawa huoni kama msururu wa watongozaji ungeongezeka zaidi ya maradufu?
Eti tumekwenda jeshi zima, kutongoza mnakwenda jeshi zima?
Hahaha unajua mana ya Jeshi zima wewe, yani ni idadi ya watu sio mmoja, yani wao waekusudia sio walienda wote pamoja wakati mmoja kila mtu alienda na wakati wake:biggrin:
 
Kuna Mwanaume Mmoja alitongoza demu siku ya kula mzigo jamaa alivaa Shanga demu alioondoka akaenda kuadithia wenzake kuwa yule mwanaume anavaa Shanga basi sifa zikavuma mji mzima na wanawake wakawa wanataka kushuhudia Shanga basi jamaa akawa anawala mmoja baada ya mwingine akahadithie wenzake.... Hata Kongosho anafahamu hili
 
Una utani na Kongosho weye, you mean hadi kongosho alienda kumtarai?
Kuna Mwanaume Mmoja alitongoza demu siku ya kula mzigo jamaa alivaa Shanga demu alioondoka akaenda kuadithia wenzake kuwa yule mwanaume anavaa Shanga basi sifa zikavuma mji mzima na wanawake wakawa wanataka kushuhudia Shanga basi jamaa akawa anawala mmoja baada ya mwingine akahadithie wenzake.... Hata Kongosho anafahamu hili
 
Last edited by a moderator:
Una utani na Kongosho weye, you mean hadi kongosho alienda kumtarai?
oi sina hakika nae ila anafahamu hili wewe ushaona Mwanaume Kavaa Shanga? mtaani walikuwa wanabishana sana kuwa haiwezekani najamaa alikuwa si mvivu wa Kutongoza so akifuatwa tu anatongozwa na alikuwa anashangaa hakataliwi!
 
Sikiliza we unaonyesha hujui mana ya kitendo na kutendwa, kitendo sio dhambi na kutendwa ndio dhambi.

Mwanamke anaweza kuwa anania ya kufanya sex lakini time ya mwisho kabla y kusex asifanye handikiwi dhambi, unafahamu hilo au hufamu...na asipo fanya sex anapata thawabu.

Unaweza kuwa una nia mbaya ya kutaka kufanya dhambi na usifanye, Mungu hakuandikii dhambi mpaa pale unafanya...we umesomeshwa wapi dini wewe.

Dhambi inanza kuandikwa pale action ya kitendo ulicho dhamiria kukifanya.

Hujaona watu wanao sali wakapewa adhabu na hawatoki misikitini/kanisani unajua sababu gani, sababu wanajidai wanafanya mazuri kumbe wanafanya machafu.

Kila kitu kinakwendA na nia(imani yako) kama imani yake (KAMA YULE MWANAMKE) anataka kujipima kama bado mzuri sidhani kama ana-andikiwa dhambi, na kama anafanya vile kwa ajili ya kusex hapo ana-andikiwa dhambi, we huwezi kujua ndani ya yule mwanamke nia yake, Je anataka kweli atongozwe ili afanye sex, au anataka tu atongozwe ili aone mme wake atakuwa na wivu au hana.


Allah does not wish injustice for any of His creatures. (Surah Ale Imran, 3:108)
How could it be that Allah Who commands us for doing justice can Himself be an oppressor?

The Holy Qur'an says: Allah commands people to maintain justice, kindness, and proper relations with their relatives. (Surah an-Nahl, 16:90)



Uliona wapi ndoa ambayo haina wivu? We hujui wanaume au wanawake ambao hawana wivu hawaendi peponi!


Sa unaju vipi kama yule mwanamke anataka kujipima tu kama mme wake ana wivu naye, una kelele tu wala hutazami mwanamke yule anasema vile kwa sababu gani, au ana kitu gani anacho kitafuta kwa kauli hio, huwezi kujua wewe isipo kua Mungu tu na malaika ndo wanajua nia ya yule mwanamke ni nzuri au mbaya.

Kuhusu point ya Mtume sijasema mimi watume wana daraja kama sisi binadamu, nimetoa tu mfano ikiwa mitume wameleta mifano hio, vipi leo wanaume wanaseme mwanamke malaya akimfata kusema kampenda, au anataka aolewe na huyo mwanaume...We leo ukifatwa na mwanamke akasema anataka umuoe si utasema ni malaya? Huo ni mfano nimekupa wewe unaye dhania dhania kila kitu wakati dhana ni mbaya.

Mimi naona ujinga wako unatokana na kutojua maandiko wala namna ya kujibu hoja kwa ushahidi wa maandiko unabwabwaja tu maoni binafsi utafikiri tuko kwenye kikao cha saccos; mbona huleti andiko linalokanusha iwapo kumtamani mwanamke sio kuzini nae tayari mpaka wafanye sex kabisa? hivi kumchekea mtu kinafiki wakati rohoni unamchukia sio dhambi? Hayo yote unayosema mwanamke sijui anataka kujipima kama anapendeka au vipi ni ngonjera tu kama komedi ya kawaida kwa kuwa huleti andishi ku support ngonjera hizo linalosema mwanamke ajipime kama anapendwa na jumuia ya wanaume wengine zaidi ya mumewe. According to your confused thinking you figure that god is doing injustice by restraining women to commune with men apart from their husbands. You also wrongfully quote the Holy Quoran to indicate that a woman seeking presence of other men is doing equitable justice to relatives, whereby i fail to see the connection between being admired by men at large and relatives of that particular woman. Indeed what i find herein is a jumble of a miserably confused person
 
Mimi naona ujinga wako unatokana na kutojua maandiko wala namna ya kujibu hoja kwa ushahidi wa maandiko unabwabwaja tu maoni binafsi utafikiri tuko kwenye kikao cha saccos; mbona huleti andiko linalokanusha iwapo kumtamani mwanamke sio kuzini nae tayari mpaka wafanye sex kabisa? hivi kumchekea mtu kinafiki wakati rohoni unamchukia sio dhambi? Hayo yote unayosema mwanamke sijui anataka kujipima kama anapendeka au vipi ni ngonjera tu kama komedi ya kawaida kwa kuwa huleti andishi ku support ngonjera hizo linalosema mwanamke ajipime kama anapendwa na jumuia ya wanaume wengine zaidi ya mumewe. According to your confused thinking you figure that god is doing injustice by restraining women to commune with men apart from their husbands. You also wrongfully quote the Holy Quoran to indicate that a woman seeking presence of other men is doing equitable justice to relatives, whereby i fail to see the connection between being admired by men at large and relatives of that particular woman. Indeed what i find herein is a jumble of a miserably confused person
The reason I quote that Surah, because Islam is an institution of justice...huwezi wewe kusema mke hamhusu mme hata siku moja na hio Surah sio lazima iwe imekusudia unavyo sema wewe, mana mke anahesabiwa ni katika family, and our ways of doing things and deeds and even our mode of thinking are under surveillance of our Lord, who knows everything about us without our awareness....After all we shall have to present ourselves before Him for the accountability of our deeds:A S shade:


The Holy Prophet Muhammad said: "A moment of justice is better than seventy years of worship in which you keep fasts and pass the nights in offering prayers and worship to God".

We hujanijibu wapi kwenye Quran imeandikwa kama unataka kutongaza au kutongozwa ni dhambi kama hujaenda kusex, mana hata rushwa imandikwa dhambi kama unakula rushwa kama huli rushwa au hutoi rushwa vipi iwe dhambi, umetaka kutoa ile rushwa kuwatega watu useme tawepeni rushwa lakini usiwape vipi iwe dhambi:wink:

Na wewe unaposema kutongozwa unakusudia nini haswa, mana hata Rushwa ina hesabiwa kutongozwa kwa njia flani ili urahisishe mambo, sa unapo taka kumpa rushwa mtu...afu ukasema aaa basi sitaki tena kutoa tena ruswa, vipi iwe dhambi.

Ikiwa ile Surah imekuchanganya vipi hiii

We sent Our Messengers with clear evidence (to support their truthfulness), and sent with them the Book and the Balance (criteria of right and wrong) so that people would maintain justice. We sent down iron, in which is a vital war material and which benefits the people, so that Allah would know who would help Him though unseen, and His Messengers. (Surah al-Hadid, 57:25)

Hata hii sura utasema imekusudia kitu kingine au? Mana hizo Surah za Quran zinaweza kutumika sio lazima kuamua kitu flani tu, zinatumika kuamua mengi kama hujui:A S shade:
 
The reason I quote that Surah, because Islam is an institution of justice...huwezi wewe kusema mke hamhusu mme hata siku moja na hio Surah sio lazima iwe imekusudia unavyo sema wewe, mana mke anahesabiwa ni katika family, and our ways of doing things and deeds and even our mode of thinking are under surveillance of our Lord, who knows everything about us without our awareness....After all we shall have to present ourselves before Him for the accountability of our deeds:A S shade:


The Holy Prophet Muhammad said: "A moment of justice is better than seventy years of worship in which you keep fasts and pass the nights in offering prayers and worship to God".

We hujanijibu wapi kwenye Quran imeandikwa kama unataka kutongaza au kutongozwa ni dhambi kama hujaenda kusex, mana hata rushwa imandikwa dhambi kama unakula rushwa kama huli rushwa au hutoi rushwa vipi iwe dhambi, umetaka kutoa ile rishwa kuwatega watu useme tawepeni rushwa lakini usiwape vipi iwe dhambi:wink:

Na wewe unaposema kutongozwa unakusudia nini haswa, mana hata Rushwa ina hesabiwa kutongozwa kwa njia flani ili urahisishe mambo, s unapo taka kumpa rushwa mtu afu ukasema aaa basi sitaki tena kutoa tena ruswa vipi iwe dhambi.

Ikiwa ile Surah imekuchanganya vipi hiii

We sent Our Messengers with clear evidence (to support their truthfulness), and sent with them the Book and the Balance (criteria of right and wrong) so that people would maintain justice. We sent down iron, in which is a vital war material and which benefits the people, so that Allah would know who would help Him though unseen, and His Messengers. (Surah al-Hadid, 57:25)

Hata hii sura utasema imekusudi akitu kingine au? Mana hizo Surah za Quran zinaweza kutumika sio lazima kuamua kitu flani tu zinatumika kuamua mengi kama hujui:A S shade:

And how does this jumbleree of self opinion relate to the topic under discussion as presented by the originator? and alas, how does the same offer a reply to the queries i raised in my previous post? my friend you only know how to bwabwaja but can hardly answer the point of substance. I presume the ones following up this topic can identify what is milk and what is sticky mud.
 
And how does this jumbleree of self opinion relate to the topic under discussion as presented by the originator? and alas, how does the same offer a reply to the queries i raised in my previous post? my friend you only know how to bwabwaja but can hardly answer the point of substance. I presume the ones following up this topic can identify what is milk and what is sticky mud.
Actually, I see nothing with the judges decisions:biggrin:

Nilijua utaishai vile mana huna point ya kujua undani wa yule mwanamke:yo:
 
Actually, I see nothing with the judges decisions:biggrin:

Nilijua utaishai vile mana huna point ya kujua undani wa yule mwanamke:yo:
Nimeuliza andiko linalotoa ruhusa mwanamke kujichanganya na wanaume ili atamaniwe au atongozwe zaidi ya kutosheka na matamanio ya mumewe. Nijuavyo mimi mda wote mwanamke anatakiwa kutia akilini jambo hili kwamba ni lazima ajipambe na ajirembe kwa minajili ya mumewe pekee. Kwanini basi kivazi cha mwanamke ni cha kuficha maungo? hicho unachotaka akakionyeshe kwa wanaume wengine ni baibui au nikab? Unataka undani gani ujulikane zaidi ya kwamba mtawatambua kwa matunda yao? matendo ni matokeo ya kilichomo nafsini na kutaka kutongozwa hadi inakuwa kesi na vikao ni tunda ovu na chafu huhitaji kutafakari kilichoko rohoni pa mwanamke yule. Mbali ya hilo nimesema toa andiko mimi natoa maandiko wewe unaleta ngebe tupu na maandiko yasiyohusika
 
Back
Top Bottom