Sikiliza we unaonyesha hujui mana ya kitendo na kutendwa, kitendo sio dhambi na kutendwa ndio dhambi.
Mwanamke anaweza kuwa anania ya kufanya sex lakini time ya mwisho kabla y kusex asifanye handikiwi dhambi, unafahamu hilo au hufamu...na asipo fanya sex anapata thawabu.
Unaweza kuwa una nia mbaya ya kutaka kufanya dhambi na usifanye, Mungu hakuandikii dhambi mpaa pale unafanya...we umesomeshwa wapi dini wewe.
Dhambi inanza kuandikwa pale action ya kitendo ulicho dhamiria kukifanya.
Hujaona watu wanao sali wakapewa adhabu na hawatoki misikitini/kanisani unajua sababu gani, sababu wanajidai wanafanya mazuri kumbe wanafanya machafu.
Kila kitu kinakwendA na nia(imani yako) kama imani yake (KAMA YULE MWANAMKE) anataka kujipima kama bado mzuri sidhani kama ana-andikiwa dhambi, na kama anafanya vile kwa ajili ya kusex hapo ana-andikiwa dhambi, we huwezi kujua ndani ya yule mwanamke nia yake, Je anataka kweli atongozwe ili afanye sex, au anataka tu atongozwe ili aone mme wake atakuwa na wivu au hana.
Allah does not wish injustice for any of His creatures. (Surah Ale Imran, 3:108)
How could it be that Allah Who commands us for doing justice can Himself be an oppressor?
The Holy Qur'an says: Allah commands people to maintain justice, kindness, and proper relations with their relatives. (Surah an-Nahl, 16:90)
Uliona wapi ndoa ambayo haina wivu? We hujui wanaume au wanawake ambao hawana wivu hawaendi peponi!
Sa unaju vipi kama yule mwanamke anataka kujipima tu kama mme wake ana wivu naye, una kelele tu wala hutazami mwanamke yule anasema vile kwa sababu gani, au ana kitu gani anacho kitafuta kwa kauli hio, huwezi kujua wewe isipo kua Mungu tu na malaika ndo wanajua nia ya yule mwanamke ni nzuri au mbaya.
Kuhusu point ya Mtume sijasema mimi watume wana daraja kama sisi binadamu, nimetoa tu mfano ikiwa mitume wameleta mifano hio, vipi leo wanaume wanaseme mwanamke malaya akimfata kusema kampenda, au anataka aolewe na huyo mwanaume...We leo ukifatwa na mwanamke akasema anataka umuoe si utasema ni malaya? Huo ni mfano nimekupa wewe unaye dhania dhania kila kitu wakati dhana ni mbaya.