Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Nimeuliza andiko linalotoa ruhusa mwanamke kujichanganya na wanaume ili atamaniwe au atongozwe zaidi ya kutosheka na matamanio ya mumewe. Nijuavyo mimi mda wote mwanamke anatakiwa kutia akilini jambo hili kwamba ni lazima ajipambe na ajirembe kwa minajili ya mumewe pekee. Kwanini basi kivazi cha mwanamke ni cha kuficha maungo? hicho unachotaka akakionyeshe kwa wanaume wengine ni baibui au nikab? Unataka undani gani ujulikane zaidi ya kwamba mtawatambua kwa matunda yao? matendo ni matokeo ya kilichomo nafsini na kutaka kutongozwa hadi inakuwa kesi na vikao ni tunda ovu na chafu huhitaji kutafakari kilichoko rohoni pa mwanamke yule. Mbali ya hilo nimesema toa andiko mimi natoa maandiko wewe unaleta ngebe tupu na maandiko yasiyohusika
Tunarudi pale pale.

Ukifata akili kama hizo hutaruhusu hata mke wako afanye kazi, nakuliza vipi wanawake wanao jipamba wanaenda kazini wote wameisha zini au..mana wengine wanajipamba pale wanaenda kazini kuliko wakiwa na wanaume zao:wink:

Afu nakuliza unajua vipi kama huyo mwanamke alilazimishwa kuolewa na huyo mwanamme? Sa labda anajitafutia mme mwingine ambaye nafsi yake itaridhika nae, afu aombe talaka kwa huyo mwanaume au nayo kosa:biggrin:
 
Tunarudi pale pale.

Ukifata akili kama hizo hutaruhusu hata mke wako afanye kazi, nakuliza vipi wanawake wanao jipamba wanaenda kazini wote wameisha zini au..mana wengine wanajipamba pale wanaenda kazini kuliko wakiwa na wanaume zao:wink:

Afu nakuliza unajua vipi kama huyo mwanamke alilazimishwa kuolewa na huyo mwanamme? Sa labda anajitafutia mme mwingine ambaye nafsi yake itaridhika nae, afu aombe talaka kwa huyo mwanaume au nayo kosa:biggrin:
Wewe ni kichwa maji? nimesema kila statement unayotoa iwe supported na andiko sio ngonjera. Ruhsa ya wanawake kujipamba wakati wanaenda kazini na ruksa ya wanawake kufanya kazi chini ya wanaume wengine na mazingira huria andiko linatakiwa, na habari hizo kawaeleze wahindi na waarabu kama hawajakuona kichaa. Ajira ni mpango wa mungu? Mitume wangapi waliajriwa na waliajiriwa na nani achilia mbali wake zao? nimesema usiniletee ujinga wa mawazo yako binafsi shusha maandiko; eti oooh labda alilazimishwa kuolewa- ndio mada inavyosema au hiyo ni mada mpya ya akili zako; mara ooh anatafuta mwingine ili aombe talaka kwa mumewe, huo nao ndo utaratibu unaoitwaje wa kuoana manake mimi sina andiko lake hebu niwekee hapa. Eti ooh ina maana mwanamke akienda kazini tayari ameshazini kwani andiko nililotoa linasemaje na kama ameamrishwa kujipamba ajili ya mume pekee na kuvaa gubigubi awapo katika mazingira tofauti halafu hatekelezi hizo akili zako zinakwambiaje ni kosa au ni sawia na agizo? usinipotezee wakati bwana manake kichwa kigumu kama koroma
 
Mie umbea nilifundishwa na Kongosho na babangu mzazi Mtambuzi! Unasali kanisa gani lisilotoka manake hata kwa kakobe tushatoka. Njoo basi.
Mie Paw hata akitaka nimuamkie shkamoo naamkia tu, kwani sh ngapi? Nimelamba dume so far, hata likigeuka joker aah nshakula share yangu. Ukizingatia alinitoa kijijini, sagamba hadi kwenye goti! Mweeh, Mungu yupo aisee.
at least it gives you heart kwamba , hukuchagua mwanaume bali ulimchagua mwanaume bora, na hii hukupa discipline zaid kwamba nitulie nisije nikamkosa manake soko lake liko juu.

umenikumbusha jambo yarabiiiiiiiiiiiiiiii nimecheka mpaka basi.

ngoja niende church kwanza nikirudi ntakupa mchapo.
 
Last edited by a moderator:
Mie umbea nilifundishwa na Kongosho na babangu mzazi Mtambuzi! Unasali kanisa gani lisilotoka manake hata kwa kakobe tushatoka. Njoo basi.
Mie Paw hata akitaka nimuamkie shkamoo naamkia tu, kwani sh ngapi? Nimelamba dume so far, hata likigeuka joker aah nshakula share yangu. Ukizingatia alinitoa kijijini, sagamba hadi kwenye goti! Mweeh, Mungu yupo aisee.

mwali mie nasali RC na loe nimesali kanisa la Kilakala na wanafunzi misa ya saa 12 asubuhi.

mwali nimekumbuka mie na baba Klein siku kidogo azipige na mtu mwali kisa tumesalimiana kwa bashasha mweee.
alininuna hadi tunafika home nina hamu mie na haya mambo.
 
Wewe ni kichwa maji? nimesema kila statement unayotoa iwe supported na andiko sio ngonjera. Ruhsa ya wanawake kujipamba wakati wanaenda kazini na ruksa ya wanawake kufanya kazi chini ya wanaume wengine na mazingira huria andiko linatakiwa, na habari hizo kawaeleze wahindi na waarabu kama hawajakuona kichaa. Ajira ni mpango wa mungu? Mitume wangapi waliajriwa na waliajiriwa na nani achilia mbali wake zao? nimesema usiniletee ujinga wa mawazo yako binafsi shusha maandiko; eti oooh labda alilazimishwa kuolewa- ndio mada inavyosema au hiyo ni mada mpya ya akili zako; mara ooh anatafuta mwingine ili aombe talaka kwa mumewe, huo nao ndo utaratibu unaoitwaje wa kuoana manake mimi sina andiko lake hebu niwekee hapa. Eti ooh ina maana mwanamke akienda kazini tayari ameshazini kwani andiko nililotoa linasemaje na kama ameamrishwa kujipamba ajili ya mume pekee na kuvaa gubigubi awapo katika mazingira tofauti halafu hatekelezi hizo akili zako zinakwambiaje ni kosa au ni sawia na agizo? usinipotezee wakati bwana manake kichwa kigumu kama koroma
Hahaha mimi kichwa maji sio sawa tu hakuna shida, kwa kuwa sikabliani na akili yako au vipi:biggrin:

Swali huyo mwanamke ni dini gani unajua?

Afu we ngojea nikamalize sasa mana unajida we mu Islam sana, haya hebu nieleze hii Surah inasema nini Verse 85:10, anyone who purposely draws a believing Muslim into temptation (any form of evil temptation) then he/she is committing a sin, and if he/she doesn't repent, then their punishment with Allah Almighty is severe.

The Arabic words fatanoo (فتنوا) is derived from the root word fitnah (فتنة), which literally means temptation, or putting someone to the test, or putting someone in a situation where your intention is to cause him/her to fail:A S shade:

Tazama neno then he/she is committing a sin Haya leta ubsishi wako sasa mana toka mwanzo nakueleza unabisha haya mkosoe Mungu hapo kama unaweza:yo:
 
Hahaha mimi kichwa maji sio sawa tu hakuna shida, kwa kuwa sikabliani na akili yako au vipi:biggrin:

Swali huyo mwanamke ni dini gani unajua?

Afu we ngojea nikamalize sasa mana unajida we mu Islam sana, haya hebu nieleze hii Surah inasema nini Verse 85:10, anyone who purposely draws a believing Muslim into temptation (any form of evil temptation) then he/she is committing a sin, and if he/she doesn't repent, then their punishment with Allah Almighty is severe.

The Arabic words fatanoo (فتنوا) is derived from the root word fitnah (فتنة), which literally means temptation, or putting someone to the test, or putting someone in a situation where your intention is to cause him/her to fail:A S shade:

Tazama neno then he/she is committing a sin Haya leta ubsishi wako sasa mana toka mwanzo nakueleza unabisha haya mkosoe Mungu hapo kama unaweza:yo:

Mpaka hapo hujajiona kichwa maji bado wakati unaleta andiko linalopingana na sera za akili yako ulizokuwa unamwaga humu tangu mwanzo. Andiko linasema yeyote, bila kujali dini, ya kwamba kwa namna moja au nyingine anamtia mwengine majaribuni yu atenda zambi sasa hapo kunapinganaje na kivazi cha kuvaa gubigubi au inakubaliana vipi na sera zako za mwanamke kujiremba akawanase wanaume mbele kwa mbele. Au tuseme hayo majaribu ndio kusex kabisa manake sasa umeacha maandiko umerukia ualimu kunifundisha then inatumikaje; maandiko hayawezi kuthibitishwa na istilahi au misamiati kwa kuwa yanajirudiarudia kwenye sura tofauti ili kujithibitisha yenyewe. Maandiko ni operating manual yakumtembeza mwanadamu juu ya nchi inavyostahili na haijalishi huyo mwanamke ni dini gani kwa kuwa dini ya kweli ya mwanadamu ni moja tu. Kuhusu mimi binafsi nakufahamisha tu kwamba mimi si muislamu wala mkristo wa aina hizo unazozijua wewe; dini sio suala muhimu katika maisha bali ishu ni imani. Nyie watu wa dini ndio mnajiita waislamu huku mnabugia kiti moto, vilevi aina zote, uzinzi na mabaya yote yanayofanana na hayo. Kuna wengine wajiita wakristo lakini wanatembea uchi, wanashinda kwenye mabaa, wanafanya biashara za ngono, nk. Lakini hebu mguse mtu hapo na agenda ya dini uone atakavyowaka; nyie ndio makaburi yaliyopakwa chookaa nje yanang'ara lakini ndani yamejaza mifupa na uchafu wa kila aina.
 
Aki si ashukuru Mungu anamume asiyependa mpoteza tht mins ni wake tuu till death do them apart, we mwanamke acha aibu ndogondogo
 
Mpaka hapo hujajiona kichwa maji bado wakati unaleta andiko linalopingana na sera za akili yako ulizokuwa unamwaga humu tangu mwanzo. Andiko linasema yeyote, bila kujali dini, ya kwamba kwa namna moja au nyingine anamtia mwengine majaribuni yu atenda zambi sasa hapo kunapinganaje na kivazi cha kuvaa gubigubi au inakubaliana vipi na sera zako za mwanamke kujiremba akawanase wanaume mbele kwa mbele. Au tuseme hayo majaribu ndio kusex kabisa manake sasa umeacha maandiko umerukia ualimu kunifundisha then inatumikaje; maandiko hayawezi kuthibitishwa na istilahi au misamiati kwa kuwa yanajirudiarudia kwenye sura tofauti ili kujithibitisha yenyewe. Maandiko ni operating manual yakumtembeza mwanadamu juu ya nchi inavyostahili na haijalishi huyo mwanamke ni dini gani kwa kuwa dini ya kweli ya mwanadamu ni moja tu. Kuhusu mimi binafsi nakufahamisha tu kwamba mimi si muislamu wala mkristo wa aina hizo unazozijua wewe; dini sio suala muhimu katika maisha bali ishu ni imani. Nyie watu wa dini ndio mnajiita waislamu huku mnabugia kiti moto, vilevi aina zote, uzinzi na mabaya yote yanayofanana na hayo. Kuna wengine wajiita wakristo lakini wanatembea uchi, wanashinda kwenye mabaa, wanafanya biashara za ngono, nk. Lakini hebu mguse mtu hapo na agenda ya dini uone atakavyowaka; nyie ndio makaburi yaliyopakwa chookaa nje yanang'ara lakini ndani yamejaza mifupa na uchafu wa kila aina.
Soma kijana soma ufahamu, Qur'an imasema mpaa afanye dhambi yule anaye vutwa, sio mimi naye sema hayo ni Qur'an ndo inasema, na asipo tubu atapewa adhabu kali sana.

Nimekuwekea point kule; then he/she is committing a sin hayo si maneno yangu ni maneno ya Mungu

Kuhusu dini sijasema akiwa mkristo au musilamu hapati dhambi, nilicho sema unajua dini yake yule mwanamke, sababu mkristo akitaka kutongozwa anajipodoa anavaa ngua fupi na mengi tu ili wanaume wamtongoze sawa, lakini mu Islam anafanya nini unajua kama unajua hebu tueleze, na uliona wapi dhambi ikatokea kw amtu aliye taka kufanyiwa kitu kibaya na hajafanyiwa:biggrin:

We wacha maneo nitolea katika Quote ya Qur'an wapi nimebadilsiha maneno.

We una kelele tu umetaka Quote nimekuwekea sa unajidai Qur'an inanisuta wakti Qur'an inakubaliana na maneno yangu toka mwanzo....Dhambi inanza pale anafanya mtu yule zina, kama hakuna zina hakuna dhambi kabisa, nimekutolea mifano mengi sana lakini hutaki kukubali sababu we ni mbishi tu:A S shade:

Afu we mara uwasifu warabu mara uwaponde kwanza si ulisema warabu watanicheka, nilipo kueleza mimi mwarabu sa unawaponda warabu hahaha.

O-K, kama warabu wanakula nguruwe na ulevi, na zina na yote mabaya, wewe nani mpaa ujuwe huyu Mu Islam au Mkristo na kwani we unadhani kila mwenye jina la Ki Islam ni Muislamu:nono: .
 
Soma kijana soma ufahamu, Qur'an imasema mpaa afanye dhambi yule anaye vutwa, sio mimi naye sema hayo ni Qur'an ndo inasema, na asipo tubu atapewa adhabu kali sana.

Nimekuwekea point kule; then he/she is committing a sin hayo si maneno yangu ni maneno ya Mungu

Kuhusu dini sijasema akiwa mkristo au musilamu hapati dhambi, nilicho sema unajua dini yake yule mwanamke, sababu mkristo akitaka kutongozwa anajipodoa anavaa ngua fupi na mengi tu ili wanaume wamtongoze sawa, lakini mu Islam anafanya nini unajua kama unaju hebu tueleze:biggrin:

We wacha maneo nitolea katika Quote ya Qur'an wapi nimebadilsiha maneno.

We una kelele tu umetaka Quote nimekuwekea sa unajidai Qur'an inanisuta wakti Qur'an inakubaliana na maneno yangu toka mwanzo....Dhambi inanza pale anafanya mtu yule zina, kama hakuna zina hakuna dhambi kabisa, nimekutolea mifano mengi sana lakini hutaki kukubali sababu we ni mbishi tu:A S shade:

Andiko la mpaka sex itendeke ni la kwako peke yako na unalielewa wewe pekee; kwa ufinyu wa akili yako kudhani utapindisha maneno yafae kusudio lako hata shetani hutumia maandiko hayohayo huanganiza wanadamu. Kwa maoni yako akitupiwa mtu kamba shimoni kumuokoa na bahati mbaya kamba ikamnyonga basi aloitupa kapata dhambi ya kuuwa na haiangaliwi dhamira ya moyo wake. Mungu nimjuaye mimi si mungu wa lelemama ni mungu aichunguzaye mioyo ya wanadamu na si matendo ya nje ya kinafiki kujifanya wajuaji sana wa dini lakini ndani ni chui wakali mioyo imejaa uasi. Andiko liko sawa na halikanushi la awali kwamba amtizamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha zini naye. Kimbelembele chako ni roho ya ujuaji inakusumbua wakati maandiko huyajui na kama nilivyosema mwanzo wenye akili wanaopitia topic hii wataweza kutenga pumba na mchele. Kuweka quote na kuzitafsiri kwa ufinyu wa fikra zako hazikufanyi uwe umetekeleza ulichoulizwa weka andiko lijisemee lenyewe kwa kuwa mungu sio bubu
 
Andiko la mpaka sex itendeke ni la kwako peke yako na unalielewa wewe pekee; kwa ufinyu wa akili yako kudhani utapindisha maneno yafae kusudio lako hata shetani hutumia maandiko hayohayo huanganiza wanadamu. Kwa maoni yako akitupiwa mtu kamba shimoni kumuokoa na bahati mbaya kamba ikamnyonga basi aloitupa kapata dhambi ya kuuwa na haiangaliwi dhamira ya moyo wake. Mungu nimjuaye mimi si mungu wa lelemama ni mungu aichunguzaye mioyo ya wanadamu na si matendo ya nje ya kinafiki kujifanya wajuaji sana wa dini lakini ndani ni chui wakali mioyo imejaa uasi. Andiko liko sawa na halikanushi la awali kwamba amtizamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha zini naye. Kimbelembele chako ni roho ya ujuaji inakusumbua wakati maandiko huyajui na kama nilivyosema mwanzo wenye akili wanaopitia topic hii wataweza kutenga pumba na mchele. Kuweka quote na kuzitafsiri kwa ufinyu wa fikra zako hazikufanyi uwe umetekeleza ulichoulizwa weka andiko lijisemee lenyewe kwa kuwa mungu sio bubu
we kichaa kweli kweli:biggrin:

FYI; Zina is Arabic word which means immorality and it has two meanings.

One Zina carries a punishment and the other Zina does not carry a punishment.

Prophet (pbuh) said: "Allah has decreed for every son of Adam his share of Zina, and there is no way to escape from it. The Zina of the eye is a glance, the Zina of the tongue is speaking, and the Zina of the mind is wishing and hoping; then the private part either acts upon this or it does not" (Bukhari, 11/26; Muslim, 2046).


Zina according to the Qur'an is
sexual intercourse outside marriage between consenting adults, whether they are married or not.

Hebu tutoke hapo kidogo mana naona huelewi kitu labda huu mfano unaweza kuelewa, chukulia hi point;Mimi na mpango wa kwenda iba bank nimeisha plan kila kitu, nimenda mpaa bank...nimefika mpaa kwenye hazina la fedha ya bank, afu nikasema aa na muogopa Mungu sitaki kuiba, nikaondoka pale bila kuchukua pesa tahesabiwa mwizi au tapata dhambi?
 
we kichaa kweli kweli:biggrin:

FYI; Zina is Arabic word which means immorality and it has two meanings.

One Zina carries a punishment and the other Zina does not carry a punishment.

Prophet (pbuh) said: "Allah has decreed for every son of Adam his share of Zina, and there is no way to escape from it. The Zina of the eye is a glance, the Zina of the tongue is speaking, and the Zina of the mind is wishing and hoping; then the private part either acts upon this or it does not" (Bukhari, 11/26; Muslim, 2046).


Zina according to the Qur'an is
sexual intercourse outside marriage between consenting adults, whether they are married or not.

Hebu tutoke hapo kidogo mana naona huelewi kitu labda huu mfano unaweza kuelewa, chukulia hi point;Mimi na mpango wa kwenda iba bank nimeisha plan kila kitu, nimenda mpaa bank...nimefika mpaa kwenye hazina la fedha ya bank, afu nikasema aa na muogopa Mungu sitaki kuiba, nikaondoka pale bila kuchukua pesa tahesabiwa mwizi au tapata dhambi?
Wewe utakuwa kichaa zaidi yangu badala ya kujibu hoja iwapo andiko nililotoa ni uongo au vipi unatokwa mapovu dhambi ni lile kusudi na dhambi ilishaandikwa tangu pale unanuia kuiba. Ya kwamba umefika benki na ukaghairi kuiba hiyo inaitwa toba na marejeo; laa umegongwa na gari njiani kabla hujafika na ukafa utakuwa umekwenda na dhambi yako ya wizi. Kinachogombewa hapa ni usafi wa nafsi ili matendo nayo yaweze kuwa safi. Moyo mchafu hauwezi kutenda lililojema unafundishwa kuwa na udhu mwilini kama kivuli cha udhu wa nafsi yako. Mtu mwema hawezi kukaribisha mawazo ya uharibifu nafsini mwake kama vile wizi, kutongozwa, kuzini, kulewa, nk kwa maana alivyo ndani mtu ndivyo alivyo nje. Kulivyo ndani, kulivyo nje; kama nafsi yako imejaza chuki, umasikini, hasira fahamu kabisa hayo yatakuandama. Ninachokiona hapa ni ukilaza wako wa lugha ya kiingereza ndio unakufanya analeta tafsiri potofu hapa; nakushauri tumia nakala ya kiswahili usitafute shimo la kujificha kwa kupindisha maneno mtu mzima hachuchumai kwenye shamba la karanga na kuona amejificha.
 
Aisee unahitaji derivalance, ngoja nimiulize snowhite kama tunaweza kukusqueeze kwenye ratiba yetu ya next year; maana kwa Mwaka huu ni ngumu sana.

Naomba muwe makini, mnaweza kwenda kumtibu mgonjwa mkaishia kumwacha wodini na kuelekea ICU!

Ila kiukweli wanaume sijui wanatumiaga factors gani kutongoza! Kuna mtu ana mke mzuriii, anakutongoza hadi unaona aibu na kuhisi anakuchora! Unabakia kucheka tu!
:A S-heart-2: ni kizunguzungu tu! Hata Paw huwa namshangaa ananipendea nini!:rockon:

hahahahahaha,


Wenzio wanakuwa wakifanya microphone test 1, 2.....lol!!!
 
Sasa rafiki, ukiwa na mke hata hatazamwi kwa jicho pembe unajisikiaje? Mie nikipita na handsome man wangu nafurahia wadada wakipaliwa ama kujikwaa. Well, at least wageuze hata shingo na mie niendelee kujisikia mshindi, lol

Akili yako iko juu kama ya mke wa Mjaluo a.k.a Michelle!

umeona enh!
ila na mimi nikikuta anatoongoza mwenye shape 0/100.sura 0/100 ,hata sihangaiki!

uuwih!presha mwenzenu


Ya kweli hayo?
 
Wewe utakuwa kichaa zaidi yangu badala ya kujibu hoja iwapo andiko nililotoa ni uongo au vipi unatokwa mapovu dhambi ni lile kusudi na dhambi ilishaandikwa tangu pale unanuia kuiba. Ya kwamba umefika benki na ukaghairi kuiba hiyo inaitwa toba na marejeo; laa umegongwa na gari njiani kabla hujafika na ukafa utakuwa umekwenda na dhambi yako ya wizi. Kinachogombewa hapa ni usafi wa nafsi ili matendo nayo yaweze kuwa safi. Moyo mchafu hauwezi kutenda lililojema unafundishwa kuwa na udhu mwilini kama kivuli cha udhu wa nafsi yako. Mtu mwema hawezi kukaribisha mawazo ya uharibifu nafsini mwake kama vile wizi, kutongozwa, kuzini, kulewa, nk kwa maana alivyo ndani mtu ndivyo alivyo nje. Kulivyo ndani, kulivyo nje; kama nafsi yako imejaza chuki, umasikini, hasira fahamu kabisa hayo yatakuandama. Ninachokiona hapa ni ukilaza wako wa lugha ya kiingereza ndio unakufanya analeta tafsiri potofu hapa; nakushauri tumia nakala ya kiswahili usitafute shimo la kujificha kwa kupindisha maneno mtu mzima hachuchumai kwenye shamba la karanga na kuona amejificha.
Hakuna dhambi kabla ya dhambi, sijasikia dhambi inandikwa kabla ya dhambi kufanyika.

Afu we unatanguliza maiti si lazima utakuwa maiti tu wewe, si tunaongelea kitu kama unataka kukifanya we hujakifanya ...we umekimbilia maiti na kusema sijui kama umefika bank ukawacha kukifanya inaitwa toba na hayo si kweli.

Maiti haimfiki mtu kabla ya siku alio andikiwa na Mungu, na kama Mungu alijalia wewe kufa...atakuwa anajua nia yako ilikuwa vipi kabla ya kufika bank, au ungefanya nini bada ya kufika bank kwenye hazina ya bank, hakuna siri kwa Mungu anajua vilio nyuma na vilio mbele .


Hivi Toba unaijua wewe, vipi mtu afanye toba kabla ya kufanya kile kitu, we kweli kichaa na bora nikuwache na ukichaa wako, mana napoteza mda kumfahamisha mtu asiye fahamu.

Nimeleta Quote za Quran umezua nazibadilsiha, sa unasema nazi tafsiri navyo taka mimi...na hadith ya Prophet Muhammad kuhusu zina pia nimebadilisha au nimetafsiri navyo taka mimi hahaha:biggrin:

We huna jipya zaidi ya matusi nimeisha kupa point za Quran na Sunna zote zinakubaliana na maneno yangu, nadhani we ndo unatakiwa ukajifunze kizungu...Yeah kizungu sio lugha yangu lakini si mjinga kama wewe sifahamu kila kilicho andikwa:biggrin:
 
Akili yako iko juu kama ya mke wa Mjaluo a.k.a Michelle!

umeona sentensi yangu ya mwisho!babu nikuletee miwani nini?
mi nna wivu mpaka na jiwe atakalojikwaa nalo mume wangu!lolz!


Ya kweli hayo?
babu umesoma sentensi yangu ya mwisho!
nikuletee nimwani nini?
mi nna wivu mpka na jiwe analojikwaa nalo mume wangu lolz!

ume
 
Back
Top Bottom