Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Wewe ni mtumwa wa Kitanda chako..!!Kuwa single ni raha sana ninvyotandika kitanda kinabaki safi mpaka niingie tena kitandani.
Wewe ni mtumwa wa Kitanda chako..!!Kuwa single ni raha sana ninvyotandika kitanda kinabaki safi mpaka niingie tena kitandani.




Tatizo mnaoa wanawake mnaokutana nao kwenye majumba ya anasa...Wanaume tunatandika kitanda tukiwa tunaishi wenyewe(mabachela) tukioa huo utamaduni unakufa wenyewe,duh ivi zile kitchen party hua mnafundishwa nini siku hizi hawa wanawake tunaowaoa kama masela wetu tu yaani ushindani tu tena wa kibwege unaweza kukuta hii kesi imefika mpaka ukweni![]()
Tatizo mnaoa wanawake mnaokutana nao kwenye majumba ya anasa...
Full makope ya bandia..nywele bandia...kila kitu kwenye mwili wake fake mpk tabia fake...
Ukiulizwa umempendea nini eti ooh dem yuko km Kim kardashian...lafudhi yake kama jlo...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hamjuagi kuna zaidi ya hayooo ndani ya mke mwema....
Tizama huyu sasa hata siri ndogo km hii anashindwa itunza...
Hahaha wanaume hebu kuwen makin mchaguapo wake....msikurupuke



Najua kutandika kitanda Karibu tuyajenge....Kuwa single ni raha sana ninvyotandika kitanda kinabaki safi mpaka niingie tena kitandani.
hapo dawa yake ni kutumia gundi unayagundisha hayo mashuka kitandani nayeye kma bado kalala gundisha vyote uone kma keaho yake atarudiaJamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!
Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!
Ananiudhi!!
Hivi nitamwamkiaje mume wangu? Kama unataka nikuamkie usinivue nguo.Duu kama mimi mke wangu haniamkii shikamoo over vile tunalingana!!! Et baby mambo? za asubuhi! za kazi? za kushinda?? Ananiboa kama nini, mi namwangalia tuu....