Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Yaani mimi hizi kazi ndogo ndogo hua siwazi kabisa, making the bed, kupika kufua n.k yaani nikiwa na nafasi nafanya bila kinyongo hata kama nipo na mwanamke ndani

Ila inategemea na malezi, mzee wangu alikua bandindu sana.. Licha ya kua na uwezo alitulea ki maadili sana, nakumbuka tulikua na wasichana wawili na kijana mmoja wa kazi ila likizo sisi ndo tulikua tunapiga kazi karibia zote

Mfumo dume ulishakufa kwa wasomi, so making the bed is just one simple chore

Btw, Evelyn Salt yupo???
 
Hivi nitamwamkiaje mume wangu? Kama unataka nikuamkie usinivue nguo.
mh...kisa kukuvua pixhu tu ndo iwe shida !!!! makubwa !!! Ila mm nilimuona mama akimwamkia baba kwa kiluga kila baba akiamka hukoo kijijini kwetu kolomije.
 
Yaani mimi hizi kazi ndogo ndogo hua siwazi kabisa, making the bed, kupika kifua n.k yaani nikiwa na nafasi nafanya bila kinyongo hata kama nipo na mwanamke ndani

Ila inategemea na malezi, mzee wangu alikua bandindu sana.. Licha ya kua na uwezo alitulea ki maadili sana, nakumbuka tulikua na wasichana wawili na kijana mmoja wa kazi ila likizo sisi ndo tulikua tunapiga kazi karibia zote

Mfumo dume ulishakufa kwa wasomi, so making the bed is just one simple chore

Btw, Evelyn Salt yupo???
Yaani, si kuoa tu, fikiria unakwenda chuo baada ya kuoa, huko hutatandika kitanda, hutapika, jamani msijiendekeze. Yota haya yanasababishwa na umasikini. Kama tungetakiwa kuwalipa wafanyakazi wa ndani kima cha chini cha mshahara wangapi hapa wangeweza kuwa na wasaidizi. Mkitoka kazini mnagawana majukumu, mmoja anapika mwingine anapiga pasi nguo za kesho.
 
mh...kisa kukuvua pixhu tu ndo iwe shida !!!! makubwa !!! Ila mm nilimuona mama akimwamkia baba kwa kiluga kila baba akiamka hukoo kijijini kwetu kolomije.
Yale mapenzi ya wazazi wetu yamepita mkuu, siku hizi wanawake ndinga tunanunua wenyewe, na tukichelewa tusiulizwe tunatoka wapi, kuna mambo mengi makazini, seminar elekezi na mikutano.
 
Yaani, si kuoa tu, fikiria unakwenda chuo baada ya kuoa, huko hutatandika kitanda, hutapika, jamani msijiendekeze. Yota haya yanasababishwa na umasikini. Kama tungetakiwa kuwalipa wafanyakazi wa ndani kima cha chini cha mshahara wangapi hapa wangeweza kuwa na wasaidizi. Mkitoka kazini mnagawana majukumu, mmoja anapika mwingine anapiga pasi nguo za kesho.
Mkuu exposure ni ndogo wengi wetu, nlienda Colorado kwa muda nikashangaa sana, wenzetu haya mambo ya kua na wafanyakazi hawana, so kazi za nyumbani mtafanya wote mkitoka mihangaiko, and gender doesn't matter at all
 
Mkuu exposure ni ndogo wengi wetu, nlienda Colorado kwa muda nikashangaa sana, wenzetu haya mambo ya kua na wafanyakazi hawana, so kazi za nyumbani mtafanya wote mkitoka mihangaiko, and gender doesn't matter at all
Kabisa mkuu, ndiyo maana kuna dish washer, washing machine, microwave, kettle na vinginevyo.
 
Yale mapenzi ya wazazi wetu yamepita mkuu, siku hizi wanawake ndinga tunanunua wenyewe, na tukichelewa tusiulizwe tunatoka wapi, kuna mambo mengi makazini, seminar elekezi na mikutano.
Mama alikuwa senior clinical officer ,ila alikuwa anamwamkia mkuu.... # mshua headmaster wa olevel ..,but they have been living a happily life ever.......
 
Kabisa mkuu, ndiyo maana kuna dish washer, washing machine, microwave, kettle na vinginevyo.
Binafsi nikiwahi kutoka kazini hua napendelea sana kupika... Nina kaka yangu he has a big job, nje huko anaogopeka sana ila ukimkuta nyumbani yupo jikoni anakaangiza mambo, mke kapumzika sitting anashusha wine baridi
 
Hapa dawa ni mume kuongeza mke, maana mmoja ni mzembe

Kiuhalisia, mke mmoja hudumaza akili
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Atakuwa alipata utapiamlo utotoni. Huyo mgawe buuure.
 
Binafsi nikiwahi kutoka kazini hua napendelea sana kupika... Nina kaka yangu he has a big job, nje huko anaogopeka sana ila ukimkuta nyumbani yupo jikoni anakaangiza mambo, mke kapumzika sitting anashusha wine baridi
Hayo ndiyo mapenzi, West Africans first date atakupeleka restaurant, ya pili lazima akupikie nyumbani kwake, kama itatokea ya pili.
 
Back
Top Bottom