Wewe ulikuja na uzi kulalamika unafananishwa na mama yakeKuwa single ni raha sana ninvyotandika kitanda kinabaki safi mpaka niingie tena kitandani.
Hajaomba msaada wa ushauri ila yeye kaja kutueleza tabia za mumewe...What I can say in simple way...wewe na yeye hamjafundwa huko kwenu...na maadili yenu zeroKikale. Naomba Mimi nimtetee.Kwanza no body knows her Hubby, so why saying all these?? Ametoa dukuduku linalomkera.Ni afadhali Yy kasema kuliko wangeanzishana vagi.Ushauri aloupata ataufanyia.kazi, but usilazimishe apende kusema utakacho.Wanawake wanaume Ni tofauti .Malalamiko yenu Na yetu Ni tofauti...madogo kwenu sisi makubwa, huwezi ibadili nature.So Eti Sijui Facebook.Iyo umesema Wewe.
Kweli ww wajitambua....salute kwakoUnavyofanya si tatizo wala ushamba, ukitaka mpangilio mzuri wa vitu vyako 100% sio kumwachia mwanaume, wapo mbao wako vizuri kwenye hilo eneo lakini wengine hugusa tu.
shoga huyo kama wangu, aisee huwa nakerekaJamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!
Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!
Ananiudhi!!
alafu wewe utakuwa mmoja wa wasiotandika, raha ya chumba kiwe smart bwana haijalishi nani anaingia au haingiiunawahi kuamka sawa.
je unaendaga wapi ?
kwani nani anaingiaga huko chumbani kwenu mpaka uhofie huo uvululuvululu ??
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!
Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!
Inaonekana hukupitia kitchen party
Ananiudhi!!
Ahahah mkuu hili ndio jibu sahihi...kwa huduma hizi pamoja na kufanya usafi ndio maana tunavutiwa kuoa. Kumbe wanapalilia ndoa wakishaolewa wanalalama.Kabla hamjaolewa mnajifanyaga mabingwa sana wa kutandika vitanda kwenye mageto ya wanaume zenu, mnafua sanaa boxer kupika ndio usiseme. Mkiolewa mnaanza kulalama oooh mume wngu hatandiki ooooh hafui boxer..
Mnapanda bangi alafu mnategemea kuvuna Mihogo.
Ni jukumu lake Ila Ndo kitanda kisubiri(kiwe vululuvululu) hata kama aliachwa kitandani kalala?Watuabisha wanawake wenzako kwan ww hujui majukum ya mke??
Kesho usije ukasema mume wangu hajui kupika ananiudhiii