Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Mume wangu huwa hatandiki kitanda

MMh! Usmart ni hobby
Watu ukiwakuta mtaani wameulamba vizuri, wananukia vizuri lakini ukitaka kujua kama alivyo ndio alivyomaanisha kaangalie chumba chake! Hasa kitanda na taulo!
Hapa mnazungumzia kutotandika kitanda au kutofua mashuka.
 
Mlivyokuwa mnadate ulikuwa unamtembelea kwake? Binadamu anatofautiana na mnyama kwa mazingira anayoishi, sasa binadamu asiyetandika kitanda si anaishi kama mnyama? Samahani.
Hajafikishwa kunako kilellee ndio maana kelele nyingi
 
Suala la mmeo tuu kutotandika umelileta huku nawaza mara mbili kama utakua na kifua cha kutunza migogoro ya ndoa, achika utafute mtandika kitanda alafu muhuni
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Shosti naona mimi niko tofauti sijui mshamba sielewi,lakini sipendi mume wangu atandike kitanda chetu nafanya mwenyewe kama naumwa au nime safiri ndio atafanya lakini niwepo hata nikiwahi kazini ntafanya mwenye nikirudi sio yeye wala mfanya kazi kwanza mwanamme hiyo shuka itakavyo kwenda upande hata kulala utaona tabu..jifunze kufanya mwenyewe
wacha akusaidie kazi nyengine..
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Wanaume wengi wapo ivyooooo.Ajiingia chumbani anarusharusha vitu.Soksi huku Kule. Vitu huku Kule Hata akipaka lotion . au Vaseline hafungi mfuniki.Sabuni ikidondoka haokoti.Zamani niliwai kuwa Na Boyifurendi mmoja siwezi msahau.Akienda chooni kufurumusha.Hata iweje haflash.Maji Ni ya kubonyeza.But ukimuona amevaa Na tie yake mashalaah!! No wonder kati kati kulikuwaga Na uchafu..Chu.... Zake hafui...Hata.Wanawake tuna shida sisi.Ukimwambia anasema atajirekebisha but hafanyi.Choo cha ndani.Ukisafiri week ukirudi hali yake!! But Yy Anaona poa.
 
Ngoja nikupe huyu amsadie kutandika
8f2a640c0be32c9943516851dc35a844.jpg
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Mwanaume ukioa masuala ya kutandika kitanda, kufua na kupigapasi, kupika ni bye bye!
 
Shosti naona mimi niko tofauti sijui mshamba sielewi,lakini sipendi mume wangu atandike kitanda chetu nafanya mwenyewe kama naumwa au nime safiri ndio atafanya lakini niwepo hata nikiwahi kazini ntafanya mwenye nikirudi sio yeye wala mfanya kazi kwanza mwanamme hiyo shuka itakavyo kwenda upande hata kulala utaona tabu..jifunze kufanya mwenyewe
wacha akusaidie kazi nyengine..
Wife material heko mamaaaa
 
Kama nitakuwa wrong.Nisamehe...
Binafsi siwezi kukuamini au kukukatalia kwa hilo usemalo.Ila naona kwa jambo hili humu sio sehemu sahihi kulisema...

Kwa nilivyokuelewa ww umekuja kumuumbua mumeo huku jf.hii inatokana na hizo sentensi zako sijaona km ulidhamiria kuomba ushauri..Nina wasiwasi na hekma zako ww km mke .huenda hata huko ulikolelewe hizi tabia za kusema habari za ndani zipo sana...

Haya tumejua tyr mumeo hatandiki kitanda.si what next?.Huku sio Facebook kwamba kila upumbavu utapost..na kabla ya kupost huu upuuzi wako ulishajaribu kutembelea threads mbalimbali ambazo wanajf walikuwa wanaomba ushauri juu ya ndoa zao?..sina shaka km ulizisoma lazima km una good reasoning usingeandika huo ujinga...Km unashindwa Kuhandle issue km hii ambapo naamini mumeo anakupenda na maisha yenu ya ndoa yanaamani basi kwa mkao wa kula ujiandae na mengine yakianza na utakuja sema hapa hadi styles mnazo tumia..kuwa makini na tabia yako ya kuropoka internal affairs za mumeo utakuja juta....Samahani lkn
Kikale. Naomba Mimi nimtetee.Kwanza no body knows her Hubby, so why saying all these?? Ametoa dukuduku linalomkera.Ni afadhali Yy kasema kuliko wangeanzishana vagi.Ushauri aloupata ataufanyia.kazi, but usilazimishe apende kusema utakacho.Wanawake wanaume Ni tofauti .Malalamiko yenu Na yetu Ni tofauti...madogo kwenu sisi makubwa, huwezi ibadili nature.So Eti Sijui Facebook.Iyo umesema Wewe.
 
ndoa uvumilivu, ndio uvumilie sio kuja kusema huku,
 
Ww mtoa mada hayo mamlaka ya kutaka mumeo atandike kitanda umetoa wapi? Kuna siku utatuletea hapa kuwa mume wangu hapiki haoshi vyombo nk .
 
Shosti naona mimi niko tofauti sijui mshamba sielewi,lakini sipendi mume wangu atandike kitanda chetu nafanya mwenyewe kama naumwa au nime safiri ndio atafanya lakini niwepo hata nikiwahi kazini ntafanya mwenye nikirudi sio yeye wala mfanya kazi kwanza mwanamme hiyo shuka itakavyo kwenda upande hata kulala utaona tabu..jifunze kufanya mwenyewe
wacha akusaidie kazi nyengine..
Unavyofanya si tatizo wala ushamba, ukitaka mpangilio mzuri wa vitu vyako 100% sio kumwachia mwanaume, wapo mbao wako vizuri kwenye hilo eneo lakini wengine hugusa tu.
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Nhm
 
Jamani nashukuru kwa ushauri wenu mbalimbali ambao mmebandika humu.

Pia nawashukuru ambao hawajatoa ushauri, wamelaumu kwanini nimeandika dukuduku langu humu, wamekejeli na kukebehi! Naheshimu maoni yao kwani hili ni jukwaa huru na kila mmoja hapa ni MC kwa muda wake!!

Nimejifunza mengi kutoka nyumba nyingi na wengine wamejitambulisha kama single!!

Mwenzangu pia yupo humu! Ameona comment zenu!

Tutakaa tuzijadili!
Kwa taarifa tu tuko happily married mwaka wa 20 sasa.

Narejea kusema michango yenu itatoa chachu mpya katika ndoa yetu!! Tumekumbukoa semina ya ndoa mwaka 1998 pale Msimbazi. Ila semina hii ni ya mwendo kasi.

Asanteni wadau

NB: Hata sitaki tena atandike kutanda!!
Kwanza sijui hata kama kutanyooka vizuri!!
 
Back
Top Bottom