Mume wangu anatafuta kazi

Mume wangu anatafuta kazi

Mfumo wa elimu yetu, na bongo zetu zimetawaliwa na mawazo ya kusoma ili tuajiriwe. Kujiajiri wenyewe imeokuwa ni kama ajira ya wasiosoma. Too bad.

Tatizo ni kwamba wanaoshauri kusome ili UJIAJIRI wao wameajiriwa! Ushauri wa KUJIAJIRI ungekuwa unatoka kwa WALIOJIAJIRI ungekuwa na mashiko (from the horse's mouth). Hii imekuwa sawa na STD VII failure aka UPE kwenda kufundisha STD VII!
 
Tatizo ni kwamba wanaoshauri kusome ili UJIAJIRI wao wameajiriwa! Ushauri wa KUJIAJIRI ungekuwa unatoka kwa WALIOJIAJIRI ungekuwa na mashiko (from the horse's mouth). Hii imekuwa sawa na STD VII failure aka UPE kwenda kufundisha STD VII!

Tehe tehe, Nani kaajiriwa? Mkuu nisha choma meli siku nyingi sana,
 
dada yangu usife moyo majaribu mengi huja wakati wa shida na msije mkagombana kwa hili mungu anaweza yote na unapoona matatizo yanazidi ujue neema inakaribia.mungu atatenda.
 
Pole mdada na pole yake huyo mme wako.
Haya mambo ya kubadili kazi mara nyingi vitu kama hivi hutokea. Mimi pia mhanga wa hili kwa kiasi flani najikuta hata nikipata kazi haifananii na ile ya awali niloiacha.
Muda mwingine najiulizaga sijui ni laana ya mwajiri wangu wa zamani coz nilienda pale sijui kitu asee wakanitrain livojua tu nkala zangu kona. Na hata hiyo kaz ilonifanya niache ya awali sijadum nayo.
Mimi ninachomshauri huyo mume wako arudi tu kazi yake ya awali though itakua ngumu lakini atazoea tu.
 
Sawa kilimo hua analimia maeneo gani? Na hua anajizatiti kabisa? Au analima kilimo cha kisasa kwa kufuata ushauri wa wataalam? Lakin pia utaftaj wa ajira hua ni mgumu lkn akikomaa kwenye kujiajiri atatoka fasta kama atapambana vizuri lkn biashara pia atatoka vizuri,,,

JF kwa ma shehe Yahaya apajambo
 
Unemployment ni tatizo bandia, kuna tofauti kati ya ajira na majukumu ni vitu viwili tofauti, haiwezekani kijana wa kitanzania mwenye akili timamu na afya yake akakosa majukumu, HAKUNA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA, bali VIJANA WANAKABILIWA NA TATIZO LA UKOSEFU WA MAJUKUMU. Mleta mada mumeo anakabiliwa na tatizo la kukosa majukumu kwahyo ni vema ukamshauri akatafuta jukumu lingine litakaloweza kumsaidia kupambana na umasikini.
 
Mungu awapiganie. Ktk maisha kuna kipindi kigumu sana ambacho 2napitia jaman hayo ni majaribu mwombe mungu uyashnde me nawatakia kila la kheri mume afanikiwe mjenge familia na mipango mingine iendelee. mpende mumeo ucmtenge atajisikia uchungu sana nadhan yeye mwenyewe hafurahii hiyo hali. mweee ila nimeumia jaman mungu awaongoze ktk hili.
 
Mungu awapiganie. Ktk maisha kuna kipindi kigumu sana ambacho 2napitia jaman hayo ni majaribu mwombe mungu uyashnde me nawatakia kila la kheri mume afanikiwe mjenge familia na mipango mingine iendelee. mpende mumeo ucmtenge atajisikia uchungu sana nadhan yeye mwenyewe hafurahii hiyo hali. mweee ila nimeumia jaman mungu awaongoze ktk hili.

Asante Manka
 
Pole sana dada ila mumeo mwambie apambane mwenyewe pia kutafuta fursa kuhisuu insu ya biashara kama ameaua kufannya au hicho kilimo basi awe serious na asiwaze mambo ya ajira tena kea ss tanzania haijalishi postgrraduate wala nn bali ni course gani umesoma inalipa au ndo hivyo hiyo procerement watu ni weng demand ndo
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje? Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote, sasa inaniumiza! Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani, sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu.


======== Updates ================
Dada pole sana.trust me yeye anapata shida zaidi kuliko ww kwa sababu "a man has to provide for the family".usikate tamaa hayo ni mapito ya muda tu
1.punguzeni matumizi yoyote yanayoweza kupunguzika
2.umembeni kwa Mungu kwa pamoja
3.Mpe moyo always
4.kama walivyoshauri wengine,asichague kazi.afanye kazi yoyote halali bila kujali
5.hicho kilimo amefanya wapi na kwa eneo la ukubwa gani?amekuwa analima nn?waweza ni-pm kuhusu kilimo.
 
Pole ndugu,ni-pm naweza kuungana nawe kutengeneza historia

mkuu naona kama dharau au mimi nime kusoma vibaya.
Mtengeneze historia kwa kuandika kitabu,au hadithi gazetini au akatoe sitasahau ili asaidiwe,kifupi sijakuelewa.
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje? Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote, sasa inaniumiza! Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani, sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu.


======== Updates ================
`Helloo pole sana na naona una moyo na mumeo,keep it up you will get
 
Dada pole sana.trust me yeye anapata shida zaidi kuliko ww kwa sababu "a man has to provide for the family".usikate tamaa hayo ni mapito ya muda tu
1.punguzeni matumizi yoyote yanayoweza kupunguzika
2.umembeni kwa Mungu kwa pamoja
3.Mpe moyo always
4.kama walivyoshauri wengine,asichague kazi.afanye kazi yoyote halali bila kujali
5.hicho kilimo amefanya wapi na kwa eneo la ukubwa gani?amekuwa analima nn?waweza ni-pm kuhusu kilimo.

Noted mkuu ntakupm
 
mkuu naona kama dharau au mimi nime kusoma vibaya.
Mtengeneze historia kwa kuandika kitabu,au hadithi gazetini au akatoe sitasahau ili asaidiwe,kifupi sijakuelewa.

Amepuliza cha Arusha mpuuze huyo ndugu yangu
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom