Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Awe baba wa nyumbani msomi, alee watoto kuosha vyombo, kupika na kufua. Natumai atafanyakazi kisomi zaidi kuliko kuajiri housegirl
MUNGU NI MWEMA, nami pia nilikaa na mke wangu mwaka mzma yeye kaajiliwa mimi sna kaz nahangaika tu,nkapata kaz shulen kama records officer, akaja mtu mmoja kaleta mwanae shulen akasema anakampun ya kukodsha magari hvyo anataka kunpa ofa nyngn na mshahara mzuri c nkakubali nkaondoka pale shulen nmefka huku acha kabsa kuna madada nlmkuta kumbe alikuwa anahamishwa ktengo hcho npewe mimi na huyo dada akawa hatak alnpga vta sn mpaka ushrikina mwisho wa sku nkaachishwa kaz, nkarud mtaan upya, MUNGU AWATETEE SANA, NAWAPENDA.
MUNGU NI MWEMA, nami pia nilikaa na mke wangu mwaka mzma yeye kaajiliwa mimi sna kaz nahangaika tu,nkapata kaz shulen kama records officer, akaja mtu mmoja kaleta mwanae shulen akasema anakampun ya kukodsha magari hvyo anataka kunpa ofa nyngn na mshahara mzuri c nkakubali nkaondoka pale shulen nmefka huku acha kabsa kuna madada nlmkuta kumbe alikuwa anahamishwa ktengo hcho npewe mimi na huyo dada akawa hatak alnpga vta sn mpaka ushrikina mwisho wa sku nkaachishwa kaz, nkarud mtaan upya, MUNGU AWATETEE SANA, NAWAPENDA.
Sijawahi kusoma uzi mrefu hivi mwanzo mwisho...nimesoma kila comment coz I can feel hali anayopitia mume wako...but kuna kitu kimoja sijakiona wengine waki-comment... huenda cheti anachotumia ni kikwazo, kama ana cheti cha ngazi ya chini ajaribu kukitumia hicho...then akishaingia kazini baada ya muda anaweza kuonyesha hicho kikubwa kama italazimu!! Hakuna jambo linalomshinda Mungu....Hata hilo nalo analiweza!!
unanisema mimi
Kama hachagui kazi hata ya 500,000 anafanya ni pm kuna wahindi washkaji zangu wanataka mtu, sema ndo hivo kwa wahindi, 500,000 ikizidi sanaaa 600,000 na ukubali kuwa mnyonge! Kama umeridhika ni pm cv yake! Au ni pm nikupe emailKweli Leo nimeamini wasio na kazi wanadharaulika sana
Kama hachagui kazi hata ya 500,000 anafanya ni pm kuna wahindi washkaji zangu wanataka mtu, sema ndo hivo kwa wahindi, 500,000 ikizidi sanaaa 600,000 na ukubali kuwa mnyonge! Kama umeridhika ni pm cv yake! Au ni pm nikupe email
Mumeo amesomea nn? na je huwa anachek post kwenye mitandao?
Kama hachagui kazi hata ya 500,000 anafanya ni pm kuna wahindi washkaji zangu wanataka mtu, sema ndo hivo kwa wahindi, 500,000 ikizidi sanaaa 600,000 na ukubali kuwa mnyonge! Kama umeridhika ni pm cv yake! Au ni pm nikupe email
Hivi kwa Tz kazi ya 500,000-600,000 ni kazi usiyo nzuri (nono)...just kwa maisha ya kawaida? Dah aisee labda mwenzetu unapokea $$ za ukwehee, mi kazi ya 600,000 naona bonge la job eti
MUNGU NI MWEMA, nami pia nilikaa na mke wangu mwaka mzma yeye kaajiliwa mimi sna kaz nahangaika tu,nkapata kaz shulen kama records officer, akaja mtu mmoja kaleta mwanae shulen akasema anakampun ya kukodsha magari hvyo anataka kunpa ofa nyngn na mshahara mzuri c nkakubali nkaondoka pale shulen nmefka huku acha kabsa kuna madada nlmkuta kumbe alikuwa anahamishwa ktengo hcho npewe mimi na huyo dada akawa hatak alnpga vta sn mpaka ushrikina mwisho wa sku nkaachishwa kaz, nkarud mtaan upya, MUNGU AWATETEE SANA, NAWAPENDA.
Hivi kwa Tz kazi ya 500,000-600,000 ni kazi usiyo nzuri (nono)...just kwa maisha ya kawaida? Dah aisee labda mwenzetu unapokea $$ za ukwehee, mi kazi ya 600,000 naona bonge la job eti
Internationa standards inakuwa unalipwa $300 and below! Hahahaaaaaaaaaa! Not bad but come on! Labda uwe na marupu rupu au unakwapua kishkaji.
Ila nimeona nimtaftie ya juu kidogo since ana familia!
Mi nalipwa COMISSIONS tu mkuu, so nachopata kinategemea nachoingiza!