Mume wangu anabaki na housegirl mpaka saa tano /sita NDIO ANAKUJA KITANDANI

Lol, sasa mume akiingia kulala na mkewe hiyo sa 3 na chakula ya usiku si ndio atapata mda huo?

chakula ya usiku kuliwa saa 3 hata hainogi kwa kweli...ndo maana mume anajionea bora achelewe kulala tu
 
...lol....mnalazimishana mida ya kula 'daku' sasa....kila mtu na mdadi wake bana,
wengine mpaka waamshwe, wengine "salaaaa, salaaaa!"....naye ndio anakurupuka kula
halali yake...

suluhisho hapa mama mwenye nyumba ahakikishe dada anaingia kulala kabla au muda
yeye anaokwenda kulala...haya mambo ya kulazimisha mume naye alale saa tatu hata siyafagilii..
kila mtu na 'hobby' zake jamani...!
 
Una uhakika mama zetu waliishi na mahose girl bila threat???? Mahita ni wa umri wetu???

Mi naona mambo mengine wanawake katika ndoa ni kujitafutia tu matatizo. Inakuwaje kwamba kwa siku za hivi karibuni wasaidizi wa kazi za nyumbani maarufu kama housegirls wamekuwa ni tishio katika ndoa?? mbona miaka ya zamani mama zetu walikuwa wanaishi na hao hao housegirls vizuri tu na tena kunakuwa na mipaka? wao waliwezaje?? hii biashara mke unatoka kazini unaweka miguu juu kila kitu msichana afanye kuanzia asubuhi mpaka usiku mume anaona umekaa tu hujishughulishi kama mama mwenye nyumba inaharibu sana ndoa. mmezidi kujibweteka mlioko kwenye ndoa na msipobadilika ndo yale yale mume anaanza kumuonea huruma msichana kutokana na kazi nyingi na ndo ukaribu unapojijenga hapo. kama mke chukua nafasi yako. Mnanichosha kila siku kulalamika kuhusu housegirls. as far as am concerned once i get married inshallah i will be different from the rest of y'all complaining about these poor girls. :behindsofa:
 
mimi huwa najiuliza hili...
kwa nini housegirl aje kumfungulia mlango 'mume'????
why her?
kwa nini mama mwenye nyumba usihakikishe housegirl analala mapema
na unampiga marufuku 'kumfungulia' mume mlango??????
 
Uliza kwanza kwa nini mwanaume arudi usiku wa manane. Si h/girl wala mke ana deserve kuamka usiku wa manane kumfungulia mtu mlango. Inachosha!

mimi huwa najiuliza hili...
kwa nini housegirl aje kumfungulia mlango 'mume'????
why her?
kwa nini mama mwenye nyumba usihakikishe housegirl analala mapema
na unampiga marufuku 'kumfungulia' mume mlango??????
 
Kwa machizi wa maskani watamueleza huyu mama kuwa, abiria asipochunga mzigo wake basi lazima watajitokeza wasamaria wamsadie!! Huo ndio ubinadamu,, kuwasaidia binadamu wenzio wanapokuwa na shida zilizo wazidi uwezo!
 
Uliza kwanza kwa nini mwanaume arudi usiku wa manane. Si h/girl wala mke ana deserve kuamka usiku wa manane kumfungulia mtu mlango. Inachosha!

exactly my point
lkwa nini wasiweke hata utaratibu wa funguo nyingine kwa nje...
kidume kikirudi kinajifungulia tu bila kusumbua watu..
kero zingine ni 'kuziendekeza'
 
Nisichoelewa ni kuwa baba anakuwa anafanya nini? Au anaangalia TV tu ila wife hajiamini? Au anakuwa anapiga story na housegirl kumpa company? Ni story gani wanazopiga? Mimi hao ningwawekea recorder tu nijue wanaongea nini?

Otherwise kulala saa tatu sio issue; ni vema sana kwa afya na inaongeza muda wa kuishi. Kuna wengi wanatamani kupata usingizi hawaupati; mwache mama wa watu alale mapema. Ila angeweza kujipanga ili na msichana wake apate muda wa kupumzika vile vile.
 
Huyo mume anabaki mpaka sa sita ili iweje?

Muda wa kwenda kulala haujafika. Kuna wengine akilala saa 3 anaamka saa 10 halafu usingizi unapaa!
Inaonyesha wazi kwamba huyo mke ameshakata mawasiliano na mme wake. Huwezi ukawa na mawasiliano mazuri kwenye ndoa ukawa unaenda kulala saa 3 kila siku unamwacha babaa sebuleni, hata kama yuko peke yake.
 
Nisichoelewa ni kuwa baba anakuwa anafanya nini? Au anaangalia TV tu ila wife hajiamini? Au anakuwa anapiga story na housegirl kumpa company? Ni story gani wanazopiga? Mimi hao ningwawekea recorder tu nijue wanaongea nini?

Otherwise kulala saa tatu sio issue; ni vema sana kwa afya na inaongeza muda wa kuishi. Kuna wengi wanatamani kupata usingizi hawaupati; mwache mama wa watu alale mapema. Ila angeweza kujipanga ili na msichana wake apate muda wa kupumzika vile vile.

Kulala ni sawa ila ingemsaidia kama angeweza kulala kama sungura!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom