kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
mh huyo hg hadi hiyo mida anakua anafanya kazi gani kama si uonevu huo. mimi ni mama wa watoto zaidi ya mmoja nina house gal na nafanya kazi. lakini ikifika saa mbili kila mtu amemaliza jukumu lake. napika jioni nkitoka job au nadeki au osha vyombo na kuogesha watoto. na watu wakimaliza kula dada anaosha vyombo wakati mie nalaza watoto. saa mbili net kila mtu amepumzika. namtreat kama mwanangu maana najua nae anachoka sasa iweje mtu amfanye house gal punda hadi usiku wa manane na si ajabu anadamka saa kumi na moja afu bado alalame eti mumewe haji kitandani mapema aaalah. watu wanajidekeza sana na kuendekeza uvivu na ubwanyenye. kama hg anamudu kazi zaidi ya maza haus wacha amalizie na majukumu yako.