FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,556
kila siku naomba nikutane na hii hazina...be blessed galAMEN AMEN my dear[emoji120] [emoji120] [emoji120]
kila siku naomba nikutane na hii hazina...be blessed galAMEN AMEN my dear[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Thanks much... Mungu ni mwema sana, atakupa haja ya moyo wako. Have faith in himkila siku naomba nikutane na hii hazina...be blessed gal
Kuna baadhi ya wanaume ni chefu usipote muda kujibishana nao pengine baada ya kujua Bibi Dada anamalizia masters roho ya wivu imemkaba hana lolote kakomalia kweli ingekua ndo mkewe katiwa mimba Na kaka yake sijui angesemaje pfyuuuSamahani au wewe ndo mme wake...? Mbona unashadadia sana kuwa mwanamke ndo mwenye makosa? Kiukweli inawezekana mwanamke akawa amechangia kwa kiasi fulani sababu hakuna aliyekamilika ila halikuwa jambo jema mwanaume kumpa mimba shemeji yake....
Bora huyu aliyejutia kosa lake kama umemsoma vizuri Leah mmewe haoneshi kujutia kosa lake Na wala haombi msamaha Bali alimwambia yaishe tu simple tu kiasi hicho????Dada @#leah2 sadaka pekee unayoweza mpa mumeo ni MSAMAHA. Rudisha picha nyuma uone ni kwa jinsi gani umekuwa ukimkosea mumeo...mmekoseana mangapi na kusameheana mangapi?! Kiimani hakuna dhambi kubwa na ndogo. Hukumu ya mzinifu na mlevi wa viroba ni moja kwa Mola wetu. Na kwaatubuye na kujutia dhambi zake atasamehewa.
Leah, paka moyo wako grease. Upake mafuta ya karafuu na mzeituni. Mfukize mumeo kwa moshi wa MSAMAHA. Labda nikwambie kitu my dear...yupo aliyafanya ya mumeo. Akajutia na mkewe akamsamehe. Mume hakuwa na amani. Hakutamani kumuona mtoto wake aliyezaa na mdogo wa mkewe.
Siku zikakimbia. Maisha yanasonga. Mapenzi yakarejea. Miaka ikakatika. Siku moja yule mtoto akawa anaenda kisimani huko kijijini kuchota maji. Ooh gosh..akatumbukia kisimani na kufa. Ilihuzunusha sana maana ni mwanadamu kafariki. Lakini chaajabu baba mtoto alifurahi sana na akawa na amani maradufu.
Ninachotaka kusema hapa ni kwamba..msamaha una faida. Gorgivenees pays. Je wewe utaishi milele bila kumkosea mtu? Hutatenda dhambi na kuomba upewe nafasi ya kusamehewa?! Je wewe umekamilika? yes, I do sympathise with you my dear... But think twice. Things happens and Never say Never. Cheers!!
Goodluck Mshana
Mara nyingi ushauri wa kweli huwa ni mgumu ktk akili ya mshauriwa, na ndo maana hata mawazo ya wazazi bado kwako ni magumu, matatizo yeyote ktk maisha yanatikiwa yapate suluhsho ambalo haliharibu kilichopo bali kukijenga! Nionavo mimi, kumfukuza mumeo pamoja n mdogo wako nyumbani kwako, umekosea" ona sasa hujui wako wapi na wanafanya nn! Ki ukweeli ni kama umeongeza tatizo, jikubali kama mwanamke, rudi kwenye mstari "upande wa wazazi" na umsamehe mumeo maisha yaendelee, hakuna maisha yasiokuwa na mitihani, wanawake ni vivutio kwa wanaume bila kujali ni mdogo wako au ni shangzi! Na wanume ni dhaifu kwa wanawake bila kujali ni jenerali w jeshi au mkulima! Usipomlinda watamteka tu! Ki msingi hili swala lako limenikumbusha miaka kadhaa iliopita alikuja mdogo wake na wife, alitakalo dem mwanaume hachomoi" lakini tuliyamaliza. Kuwa makini na wadogo zako wa kike, ni sawasawa na mashoga zako tu! Kwani nao ni wanawake, mpigie mumeo umuokoe huko alipotekwa" usinielewe vibaya, nipo dodoma carnival nimetekwa ntaenda home baadae saana"Huu ushauri ni rahisi sana kuutoa kama Jambo halijakufika eti Yule mtoto aje Hapo seriously? Wanaume bana.
Thanks Miss ulieshushwa kutoka mbinguni..yaliyonenwa na yatimieThanks much... Mungu ni mwema sana, atakupa haja ya moyo wako. Have faith in him
How old are you?
Partly kabla ya kuanza kumlaumu mumeo nitakulaumu na wewe.
[*]Hilo la kuchelewa kumzalia mumeo mtoto. Inaweza kuwa lilikuwa jambo lako tuu na namna alivyokubali inaweza kuwa kutokana na sababu zako ila je?
Wanaume ni wadhaifu being a man I know this, na wanahitaji kufuatiliwa kwa ukaribu sana hasa kwenye mambo kama haya yanayohusisha hisia.
Bottom line: Fuata ushauri wa wazazi, dogo arudi kijijini ajifungue mtoto, mtoto akiwa mkubwa, aje hapo nyumbani, kaeni kikao cha kifamilia mdogo wako na mumeo waombe msamaha kwa jambo lililotokea na mzungumzie utaratibu wa matunzo ya mtoto. Life goes on. Ukishindwa hilo. File for a divorce ukaolewe na mtu atakayekusubiria umalize shule (tena Masters, unga na PHd kabisa) ndio ukubali kumzalia mtoto.
Katika ubora wako mama,nimeupenda huu Uzi watu wameutendea haki. Imenikumbusha MMU ya enzi zile katika uboraHatauelewa kwa kipi mkuuu uuupsss Kwan ukisamehee haweZ kuhama mkoa???? Mm namaanisha ahakikishe anawasamehe na aondoke kuanza maisha mapya .sio kuanza maisha wakati bdo Una vifungo vya kuwasamehee watu Mungu hawez kumbariki kwa Hilo.
Kumbe wewe hata experience ya kunaniliu.. huna?!! Njoo pm nikupeJamani pole! Ngoja tusubiri busara za wenye experience za ndoa
Kwenda ukoKumbe wewe hata experience ya kunaniliu.. huna?!! Njoo pm nikupe
Calm down, tusiweke mambo hadharan, nakufata pm plsKwenda uko