Signoradellap
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 29,320
- 149,114
Wa bongo na makasiriko Sasaš
hujaalikwa pole.walio alikuwa walitumiwa hadi chopa waendeššhakuna haja ya ufahari msibani gentleman š
Hizi AI zitawapeleka mapori ya mbweni siku siyo nyingi
Nimekuelewa MkuuHujanielewa kabisa. Simaanishi kuwa huyu ni Iddi Amin wala kuwa naunga mkono, bali nilitaka ujue hii tabia haijaanza leo na kama taifa ilijengwa na Chama tawala kwa watu ambao haikufurahishwa nao maana hizo nyimbo za kumsemanga Amin zilitokea hukohuko serikalini ndio maana ziliimbwa majeshini, mashuleni na ukimhoji Nnauye anakumbuka baba yake ndio alihamasisha sana hizo. Iddi Amin hakuwahi shika bunduki na kuua watu Kagera ila walikuwa chini yake ndio maana uchungu wakamuangushia yeye.
Hakuna style inaumiza moyoni kama watu wakikebehi maumivu yako ya kufiwa. Tujirekebishe tuwatendeayo wengine kupitia madaraka
unaalikwaje msibani gentleman hali ya kua kifo ni cha kila mja wa Allah?hujaalikwa pole.walio alikuwa walitumiwa hadi chopa waendešš
Mr nice (kikulacho)Matonya alisema kila ndege hutua mti aupendao.
Utapata wa kufanana nao mpaka utashangaa
Nakubaliana nawewe, hakuna mjanja kwenye nyapu ni huruma za mademmwanamke ndio anaamua itokee au isitokee
Mwanamke pekee ndio ana uhakika na hiyo kitu, ndio mwenye maamuzi yote.Nakubaliana nawewe, hakuna mjanja kwenye nyapu ni huruma za madem
Hao tumeshawaelimisha kwamba sie wazanzibari pia tuna hiyo hospitali, msitubague, kuhusu umeme tulishasema msitushughulishe hata vibatari tutawasha, wakate tu. WasituzongeeTuache ujuaji mwingi,tuache kazi ya Mungu ibaki kazi ya Mungu.Pili kama mtu kitu hukijui vizuri,tafiti kwanza ndipo utoe maoni.Kuna watu wameumbuka kwa jina tu la hospitali,mara ooh eti script hivi script vile.Hiyo hospital ipo zanzibar
Endelea kutoa elimu gentleman, shida mihemko inaponza watu.Gentleman,
ikiwa una taarifa za msiba wa ndugu, jamaa au rafiki yako, unaweza kushiriki msiba huo kiroho au kimwili kulingana na nafasi yako na inatosha kabisa š
hakuna haja gentleman,Endelea kutoa elimu gentleman, shida mihemko inaponza watu.
Sasa huu msiba wa kitaifa si wangetupiga hata robo mlingoti gentleman, au una maoni gani?
Nasikia ukiichapa bikra moja baadae inajirudi upyaEh hataki mke wake wa dunia akae eda hata siku mbili, yeye tayar ashaanza kulomba huko š
Uislamu michezo mingiNasikia ukiichapa bikra moja baadae inajirudi upya
Kwa hiyo umejoin utoe pole?Ų„ŁŲ§ ŁŁŁ Ł Ų„ŁŲ§ Ų„ŁŁŁ Ų±Ų§Ų¬Ų¹ŁŁ.
Pole sana mheshimiwa Rais.
Pole sana mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir.
Pole sana familia yote ya marehemu mzee Hafidh Ameir Hassan.
Pole sana Wana Kizimkazi.
Pole sana Wazanzibari wote.
Na pole sana watanzania wote.
MSIBA WA MHESHIMIWA RAIS NI MSIBA WETU.
Hii tumeimba sana hata sisi vijana wa makamo,mchaka mchaka kabla ya vipindi...maisha yalikua mazuri sana si sasa watoto wengi ni wazembe mayai mayai sana.Wewe mwaka 1978 hadi 1979 ulikuwepo? Nadhani hukuwepo, na kama ulikuwepo ulikuwa mtoto. Kama vijana tulikuwa tunalazimishwa kuimba wimbo wa "Idi Amin akifa mimi sitalia ila nitamtupa Kagera (mtoni) awe chakula cha mamba". Hayo yalikuwa maamuzi ya kitaifa, kuimba nyimbo hizo.
Umeshawahi kusababishiwa janga na mtu/ndugu yako wa damu kutendewa ubaya wenye maumivu kupitiliza ?Comment yangu ya kwanza kabla ya hiyo, umeisoma?
Nimesema huu mtindo wa watu kushangilia vifo naona kama ni ujinga
Na atawabemenda sanaWajane 2
1. [ JK]
2. Jimbo liko wazi!
Sawa. Ila tusichunguze tulips angukia bali tulipo jikwaa.Nimekuelewa Mkuu
Ila hiyo tabia haikuwa nzuri na siyo nzuri