Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,625
- 77,866
Anyways tutadeal na attitude sasaNyuma tu lakiniš
Anyways tutadeal na attitude sasaNyuma tu lakiniš
Aisee kote ni zeroš„²Anyways tutadeal na attitude sasa
Kuna siku tulienda mahali na wenzangu wakiwa wanajua kabisa pombe situmii.Nimeamka na mafua, wamenilazimisha kunywa hii dawaš„ŗ
Matonya alisema kila ndege hutua mti aupendao.Aisee kote ni zeroš„²
Hahahha baba next time weka chumvi nyuma ya mkono lamba, kunywa shot hafu kula ndimu šKuna siku tulienda mahali na wenzangu wakiwa wanajua kabisa pombe situmii.
Wakaleta vi glass, baadae nikajua vinaitwa shot, ilikua tequila, nikabugia mara moja wakati wenyewe walikua na ndimu/limau na chumvi.
Ewaahhhš¤Kesho yake niliamka pua safiii, hewa naisikia inavyopita kama nimepaka vicks. Nikasema kumbe mafua dawa ipo na watu hawatusmbii...
Maisha ndio haya haya hapa sielewi unajuaššššIla nilitaka kutumia opportunity kufsnya uhalifu, wakati tunaondoka, nikaambiwa niipeleke pisi moja kwake kwa vile muda ulikua umeenda. Nilitaka kusingizia kulewa, sema kuna akili ilikua bado imesalia kidogo ya kusema this is not right.
Mungu anione na mimi jamani nmechoka kubaguliwa kisa kishuzišMatonya alisema kila ndege hutua mti aupendao.
Utapata wa kufanana nao mpaka utashangaa
Hahahha baba next time weka chumvi nyuma ya mkono lamba, kunywa shot hafu kula ndimu š
Ewaahhhš¤
Maisha ndio haya haya hapa sielewi unajuašššš
alie kufa ni shekhe budaa jishikilieYes,
kuishi ni Kristo na kufa ni faida š
We ni nomaašššMie ndio ilikua mara ya kwanza, ni muda kidogo, tulikua tumeenda kwenye mtoko na marafiki. Sada wakaagiza vikaja hivyo vi glass kwa idadi yetu. Cha ajabu nilivyotupia fundo moja, wote wakawa wanatizamana na kuuliza nimemwaga chini au nimekunywa?
Ulitaka kufanya uhalifu upi? Demu ulimpeleka?šHapo ambapo haujaelewa, baada ya shughuli, tulivyokua tunaondoka, nikaambiwa niipeleke pisi moja nyumbani kwake, niisindikize, sasa tulivyofika kwake tukapanda juu anapoishi si unajua mambo ya udhaifu, nikataka kusingizia kulewa nifanye uhalifu, palikua na green light upande wa pili, ndio kidogo nikajisemea sijalewa kiasi hicho na sifikirii ni kitu nahitaji kufanya ( kimsingi sikua naielewa hiyo kazi...).
Nimeelewa elewa, nazimua hapa hangover zitakutana hukohukošUmeelewa au bado hangover inasumbua kichwa tulete supu?
Muhandisiiiišalie kufa ni shekhe budaa jishikilie
kila nafasi itaonja umauti kwa wakati wake muafaka gentleman, tena bila kuchelewa wala kuwahi.alie kufa ni shekhe budaa jishikilie
Yap. Nilitaka kupiga kimasihara na mrembo niliyempa lift...( japo hua nasema hakuna kitu kinaitwa kimasihara, inakua tu binti ameamua aliwe basi, siku zote, mwanamke ndio anaamua itokee au isitokee. Sisi wanaume ndio tunaleta mambo mengi mara kimasihara sijui najua kupiga sound, hakuna lolote).We ni nomaaššš
Ulitaka kufanya uhalifu upi? Demu ulimpeleka?š
Nimeelewa elewa, nazimua hapa hangover zitakutana hukohukoš
Uko sahihi šÆ kabisa!Yap. Nilitaka kupiga kimasihara na mrembo niliyempa lift...( japo huz nasema hakuna kitu kinaitwa kimasihara, inakua tu binti ameamua aliwe basi, siju zote, mwanamke ndio anaamua itokee au isitokee. Sisi wanaume ndio tunaleta mambo mengi mara kimasihara sijui najua kupiga sound, hakuna lolote).
Naumwa jamaniš„²KPole sana, unaomboleza msiba kitajiri sana.
Mtajua hamjui, mfiwa mkavuuu je sie?Inamaana leo hatupewi hata robo mlingoti?
niambie mrembo.hawa ndio wale wamesoma hkl hawatumii akiliMuhandisiiiiš
umeenda msibani au hujaalikwa?kila nafasi itaonja umauti kwa wakati wake muafaka gentleman, tena bila kuchelewa wala kuwahi.
hakuna haja ya kubabaika na fumbo hilo la kifo š
Gentleman,umeenda msibani au hujaalikwa?
Hujaelewa jamaa amemaanisha nini ššš, rudia kusoma neno kwa nenoSahihi kabisa usemayo,siku zote Mke akifa ndio utambulisho wa mume utajulisha ila kwa mke likishatajwa jina lake ama hadhi yake yatosha,ukishasema Mume wa Rais tutajua ni kiongozi wa nchi,ila kwa kwa mwanaume tutasema mke wa rais fulani kafariki
jibu umeenda au hujaenda?Gentleman,
ikiwa una taarifa za msiba wa ndugu, jamaa au rafiki yako, unaweza kushiriki msiba huo kiroho au kimwili kulingana na nafasi yako na inatosha kabisa š
Ofisi za chamaSisi wa mikoani wali tunakula wapiš¤š¤
hakuna haja ya ufahari msibani gentleman šjibu umeenda au hujaenda?
mbona unapenda ngonjera sana