Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,662
- 93,810
Hivi kwa magasho itakuwaje wakifika akhera?Eh hataki mke wake wa dunia akae eda hata siku mbili, yeye tayar ashaanza kulomba huko 🙌
Hivi kwa magasho itakuwaje wakifika akhera?Eh hataki mke wake wa dunia akae eda hata siku mbili, yeye tayar ashaanza kulomba huko 🙌
We haufai hata kidogo, upo kwenye ligi ya daraja la juu sana. Mie bado ndondo Cup. Jana peke yake 30% na uko JF saa hizi fresh kabisa?Ndio aisee jana nimepiga 30% mbili🙆🏽♀️
Tuma salamu kwa watu watatu🎤Sawa 😎
30+🙆🏽♀️ Ndio na nimelala saa 7We haufai hata kidogo, upo kwenye ligi ya daraja la juu sana. Mie bado ndondo Cup. Jana peke yake 30% na uko JF saa hizi fresh kabisa?
Kama ubuyu😞Kwani sasa hivi lipo hadi wapi 🥹
1. KwakoTuma salamu kwa watu watatu🎤
Nmtag yule shoga wa selfika aje atoe majibu?Hivi kwa magasho itakuwaje wakifika akhera?
Matako wazi wee!1. Kwako
2. Nyapu yako
3. Flat screen yako
😎
Mi sitaki ugomvi asbh asbh mbaga kwanza nna hangover hapa🤣Nmtag yule shoga wa selfika aje atoe majibu?
Kama hawajaacha hadi sasa, maanake hakuwakemea wasiuwe watanganyika.Hakuwa mwanasiasa, yawezakuwa alikemea kwa level ya kifamilia na siyo kwenye makamera
Njo unitapikie upunguze hangover 😂Mi sitaki ugomvi asbh asbh mbaga kwanza nna hangover hapa🤣
Ntakuongezea nyota30+🙆🏽♀️ Ndio na nimelala saa 7
Fanya kweli😎Ntakuongezea nyota
Hujanielewa kabisa. Simaanishi kuwa huyu ni Iddi Amin wala kuwa naunga mkono, bali nilitaka ujue hii tabia haijaanza leo na kama taifa ilijengwa na Chama tawala kwa watu ambao haikufurahishwa nao maana hizo nyimbo za kumsemanga Amin zilitokea hukohuko serikalini ndio maana ziliimbwa majeshini, mashuleni na ukimhoji Nnauye anakumbuka baba yake ndio alihamasisha sana hizo. Iddi Amin hakuwahi shika bunduki na kuua watu Kagera ila walikuwa chini yake ndio maana uchungu wakamuangushia yeye.Sikuwepo kabisa
Lakini huyu siyo Idd Amin
Oya 😅Kama ubuyu😞
Nyuma tu lakini🙁Oya 😅
Jeans haikai
Good morning 😎Ntakuongezea nyota
Nimeamka na mafua, wamenilazimisha kunywa hii dawa🥺Aaah hivi kumbe naku underestimate eeeh?
Unatoa lock?