TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Tunashukuru Warioba yupo



Tunashukuru
 
Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Inna Lillah WAINNA ILLAH RAJUUN, poleni sana.
 
Noma sana nchi ya kiwaki
 

Attachments

  • SAVE_20260907_182108.jpg
    SAVE_20260907_182108.jpg
    130.6 KB · Views: 6
Pole kwa Mhe. Rais wetu kwa msiba mzito wa kuondokewa na mwenza wake. Mungu ampe avumilivu katika kipindi hiki kigumu. Pole kwa familia ndugu na jamaa.
 
Rest in peace comrade!

Mchango wako wa kulipa kodi ulikua mkubwa sana!!

MAWAZO BINAFSI SASA,ELEWA MAWAZO BINAFSI!

Baada ya Emma kuondoka,na yule mbunge kutangaza re election ya mama by 2030!
Ile michezo yao imeanza yaa michezo

Sasa huyu comrade kaenda mwingine nae kaanguka akihutubia!wote ni ma comrade walipa Kodi wazuri!!

Mama anaweza kupanic,na kisasi chake ni hatari LISU utapona kweli!!?

Wazee wa chama mtapona!!?

Huwa wanaaanzia mbaaali sana!!

Wameanzisha sense of panic mode wakati unajiuliza what next!!!?wanapiga kwingine!!

NACHANGIA UCHUMI WA BANDO,NA HIZI NO SPECULATIONS WALA SIELEWI LOLOTE COMRADES!!
 
Back
Top Bottom