TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

Kwa masikitiko makubwa, tunatoa pole na rambirambi zetu za dhati kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kufuatia msiba wa mume wake mpendwa.

Katika kipindi hiki kigumu cha majonzi, tunamuombea Mwenyezi Mungu ampe Mheshimiwa Rais nguvu, moyo wa subira na faraja katika kukabiliana na pengo hili kubwa la kumpoteza mwenza wa maisha.

Vilevile, tunatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu. Tunatambua kuwa maneno hayawezi kuondoa maumivu ya kumpoteza mpendwa, lakini tunawaombea mpate nguvu na faraja katika kipindi hiki cha huzuni.

Pole kwa Mheshimiwa Rais. Pole kwa familia. Pole kwa ndugu na jamaa. Na pole kwa Watanzania wote kwa ujumla kwa msiba huu uliotugusa kama taifa.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape wafiwa wote moyo wa subira katika kipindi hiki kigumu.
Leo ni sikukuu kubwa. Mzee mzima niko restaurant moja maarufu naburudika nikishangilia target ingawaje imemkosakosa target yenyewe.
 
Ndie baba yake, kifo kimeweka msawazo sana wakati maiti za vijana zimelala pale chini Mwanyamala kwenye morgue iliyojaa hadi kuzidiwa uwezo mkwe na shemeji yake Abdul aliamuru wizara ya afya waseme ni AI.
Ubinaadam tu wa kawaida; kuyasema haya maneno, tena kwenye wakati kama ule...!

Inabidi kujiuliza, hawa kweli ni binaadam, au ni kitu gani hawa!
 
Ubinaadam tu wa kawaida; kuyasema haya maneno, tena kwenye wakati kama ule...!

Inabidi kujiuliza, hawa kweli ni binaadam, au ni kitu gani hawa!


Mkuu kumbukumbu hizi zitaishi walichowafanyia watanganyika hatutawahi kusahau wala kuwasamehe tutakua tunawakumbusha tu nyakati kama hizi nao wakipatwa na huzuni.
 
Ndie baba yake, kifo kimeweka msawazo sana wakati maiti za vijana zimelala pale chini Mwanyamala kwenye morgue iliyojaa hadi kuzidiwa uwezo mkwe na shemeji yake Abdul aliamuru wizara ya afya waseme ni AI.

Maiti zile baadae zilikwenda kuzikwa kwa siri ambapo ripoti ya CCN ilifichua ni kule Kondo ikapelekea familia nyingi kutowahi kuona tena maiti za ndugu zao hadi wakazika nguo, viatu, na picha.

Leo hii familia ya wauaji walitamani hata wafiche hiki kifo cha huyu mtu wao ila ndio vile hawawezi pumzi ni kitu kidogo tu ila hata kwa hayo mabilioni yao waliyonayo hawawezi kuinunua.

Good riddance to bad rubbish.
Mnaandikaga porojo kwamba huyo mzee kafa kisa familia yake ilihusika 29?
Kwamba kabla ya 29 watu walikuwa hawafi?
Au wasingehusika hiyo 29 wasingekufa?
Kifo kipo tu uwe mwema uwe muovu msiwe mnakuza vitu vilivyopo tangu na tangu.
 
Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Walivyoua Watanganyika mbona hawakutangaza?
Nawaza kuandika kitu kuhusu Msoga connection oops mfupa hauna ulimi kumradhi.
Kula na kupakua kuvuja kwa pakacha shit sijui nawaza vitu gani muda huu.....!
Nipo dukani hapa nanunua bangi.
 
Marehemu Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezikwa jioni ya leo, Septemba 7, 2026, Kizimkazi, Zanzibar.

Watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Serikali, Viongozi wa Dini, Wafanyabiashara pamoja na Waombolezaji wengine, wamejitokeza katika mazishi hayo kutoa heshima zao za mwisho kwa Marehemu.

Kifo cha Hafidh Ameir Hassan kilitangazwa mapema asubuhi ya leo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi.
 
Back
Top Bottom