Mume na mke wamepata watoto mapacha baada ya miaka 43 ya ndoa

Hawa watoto wa uzeeni wanakua watundu hawa, huyu baba ataweza kukimbizana na mipira au ndiyo kulea wakina Junior!
 
There is no age restriction to getting your wish fulfilled and this 68-year old woman in Nigeria proved that. The old woman was trying to have kids for a long time, to state, 46 years of long wait she did for the birth of her first child, but when she became successful, she got not one but a pair of twins together. The heart-touching and moving story of this woman have many folds, which we will be revealing in this article.

More Info: CNN
View attachment 1766708
Mambo mengine ni kuongeza matatizo. Huyu mama ana miaka 68 mume ana miaka 70 sasa watawalea hawa watoto kwa muda gani.

Niliwahi kuwa clinic ya mama wa miaka 53, mume wake akiwa 55. Walibarikiwa mtoto wa kiume
 
kinachonishangaza ni kwamba umri huo bado wanafanya mapenzi, wataretire lini? kwa upande mwingine, Mungu anaweza yote, mimi pia nilikaa sana na wife bila watoto lakini sasahivi tunapambana na vijiti na mavidonge kujikinga na mimba kwasababu Mungu ameshatupatia watoto wakutosha hadi hatuhitaji wengine. Mungu mkubwa sana, nawapa moyo wale wanaosubiri, kuna siku watashangaa wamepata watoto hadi waseme Mungu sasa basi.
Mlikaa muda gani Boss?
 
Mungu apewe heshima, sifa, utukufu na shukrani nyingi
Wakifikisha miaka 90 tu tayari watoto watakuwa watu wazima 20 years.

Hao wazazi hawana assets zozote wanateseke na watoto wa wawili tu ?

Kuna mzee Jirani yangu alimuoa binti mmoja yeye akiwa na umri wa miaka 60 na binti miaka 25 tu walikaa kwenye ndoa walikuwa wanafyatua mapacha tu baadae mke yule alifariki lakini mzee akaendeleza watoto wakubwa wako 14years old living happily.
 
There is no age restriction to getting your wish fulfilled and this 68-year old woman in Nigeria proved that. The old woman was trying to have kids for a long time, to state, 46 years of long wait she did for the birth of her first child, but when she became successful, she got not one but a pair of twins together. The heart-touching and moving story of this woman have many folds, which we will be revealing in this article.

More Info: CNN
View attachment 1766708
Mambo mengine ni kuongeza matatizo. Huyu mama ana miaka 68 mume ana miaka 70 sasa watawalea hawa watoto kwa muda gani.
Mungu ni muweza wa kila kitu, kila kinachokuja duniani yeye ndio anajua kitalelewa vipi. Umeanza vizuri umemaliza kwa maelezo mabaya na ya kuvunja moyo kwa ambao hawana watoto!
Pitia uzi wa Bujibuji ili uweke akili yako sawa!! Katoto kenyewe kabaya, kaache kafe
 
pre
Vipi ndugu, jamaa na marafiki hawakuanza kukupa pressure uchepuke au uoe mke mwingine?
pressure ya kwanza nilipata kwa ndugu, nilidharauliwa mno na ndugu walitaka kumbeba wife waende naye kwa mganga nikagoma. tukaishi tu kwa imani hadi tulipopata wa kwanza, hapo ndio ikawa kama tumefungulia bomba. huyu Mungu huyu, we acha tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hongera sana. Utukufu wa Mungu ni mkubwa.
hili huwa siachi kumsimulia kila ninayekutana naye, kwasababu usiombe upitie jaribu la kukosa watoto, linauma kuliko hata kusalitiwa kuliko chochote kwasababu kama ni mwanaume utajihisi wewe sio mwanaume kamili (kumbe Mungu kakuumba kamili na hata kama haupo kamili anaweza kurekebisha),the same kwa mwanamke. ukitembea ukaona watoto wa watu wanavyovalishwa, siku za sikukuuu etc yaani unatamani ardhi ipasuke ujifiche. kizuri ni kwamba watoto ni zawadi toka kwa Mungu na Mungu ndiye anatoa watoto. watoto hawatoki kwa mganga wala kwa daktari.
 
Hongera sana Mkuu ME wengi wasio na msimamo wangewaruhusu ndugu ilk mke abebwe na kuhangaika naye kwa Waganga, bila ya shaka mkeo alikupongeza sana kwa msimamo wako.
pressure ya kwanza nilipata kwa ndugu, nilidharauliwa mno na ndugu walitaka kumbeba wife waende naye kwa mganga nikagoma. tukaishi tu kwa imani hadi tulipopata wa kwanza, hapo ndio ikawa kama tumefungulia bomba. huyu Mungu huyu, we acha tu.
 
Hongera sana Mkuu ME wengi wasio na msimamo wangewaruhusu ndugu ilk mke abebwe na kuhangaika naye kwa Waganga, bila ya shaka mkeo alikupongeza sana kwa msimamo wako.
kuna mawili, wangempeleka kwa mganga, na chengine, wangempa mdogo wangu au ndugu yangu anibambike mimba. lakini yote katika yote, nilikuwa sitaki mtoto toka kwa mganga, nilikuwa nataka mtoto toka kwa Mungu, na Mungu akatupatia watoto hadi sasahivi tunapambana na vijiti, aliweka mara vinamdhuri anatoa, mara mavidonge etc kuzuia mimba. wanaposema Mungu huwa anaweza kukupatia chakula kingi ukala hadi ukasaza mbele ya maadui zako, ni kweli, imenitokea, nimesaza watoto hadi tunapambana asipate mimba ingine kwasababu watoto ni wengi wa kutosha, sebule limezungukwa na watoto furaha tupu. its a real thing that happened in my life na nitamtukuza Mungu na kuwaambia watu jambo hili maisha yangu yote.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom