RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Mh. N/ Waziri wa elimu, mulugo amesema ktk kipindi cha medani za siasa na uchumi kinachorushwa na star Tv kuwa yeye alisomeshwa na padri na akafaulu pekee yake kwenda secondary.Pia amesema kuwa alichelewa kwenda chuo kikuu kwani alikuwa anatafta fedha kwa ajili ya kujisomesha. swali langu ni kwamba hivi serikali ilikuwa haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu enzi za akina mulugo?
Ukweli ni kuwa kipindi ambacho kama anasema kuwa loans for higher learning imeanza kutolewa na vyuo vikuu miaka ya 90s sina shaka kama alikuwa na sifa za kutosha basi angeweza kupata funds kufanya yeye aweze kusoma na angeweza digrii ambayo siyo BA (Economics n Education) bali BA Education with Economics sasa huyu mzee wa visiwa vya Zimbabwe na Pemba aache kwenda kwenye vyombo vya habari kujisafisha hiyo ni kazi mm ningemuona kama kudume pale tu angepima upepo na kuachia ngazi na iliarudi darasani tena na kuanza darasa la chekechea then to become a real academician.