Mulugo: Nilifaulu peke yangu kwenda secondary

Mulugo: Nilifaulu peke yangu kwenda secondary

Enzi hzo division three unaenda kusomeshwa ulaya.

Si kweli hayo enzi hizo bila Division one au Division Two ya kwanza kwa mwanaume chuo kikuu ulikuwa huendi wenye Division two walienda vyuo vya Advanced Diploma kama Mzumbe, IFM na chuo cha ARDHI Division Three walienda DSA, CBE nk katika wanafunzi waliomaliza A-Level. Siku hizi vilaza wengi ndio wanaenda vyuo vikuu Division Three wamejaa vyuo vikuu ndio maana elimu imekuwa sio ya kiwango kama zamani wanafunzi wanamaliza vyuo kikuu hata kuandika kiswahili sanifu hawawezi ukiachilia mbali kiingereza. Kuhusu Mulugo na Kikwete sijui walifikaje hapo maana kwa wanafunzi wa zamani kusoma chuo kikuu miaka ya 1970 halafu unababaisha kiingereza kama Jk sijui alifanyafanya vipi akamaliza chuo, naye Mulugo kwa wanafunzi wa A-Level miaka ile kuongea kibabaishaji vile sijui alifikafikaje High School kwa kifupi Mulogo na JK wote walikuwa vilaza
 
hata nchi imekwisha kwani siku hizi hata watu hawafanyiwi VETTING kabla ya kuteuliwa kwani huyo jamaa ana shule anamiliki inaitwa SOUTHERN HIGHLAND ilishafutiwa matikeo kwa wizi wa mitihani leo hii unamteuwa kuwa naibu waziri wa elimu jk anachekesha kweli siku moja atemteua PAPA MSOFE kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi
 
Si kweli hayo enzi hizo bila Division one au Division Two ya kwanza kwa mwanaume chuo kikuu ulikuwa huendi wenye Division two walienda vyuo vya Advanced Diploma kama Mzumbe, IFM na chuo cha ARDHI Division Three walienda DSA, CBE nk katika wanafunzi waliomaliza A-Level. Siku hizi vilaza wengi ndio wanaenda vyuo vikuu Division Three wamejaa vyuo vikuu ndio maana elimu imekuwa sio ya kiwango kama zamani wanafunzi wanamaliza vyuo kikuu hata kuandika kiswahili sanifu hawawezi ukiachilia mbali kiingereza. Kuhusu Mulugo na Kikwete sijui walifikaje hapo maana kwa wanafunzi wa zamani kusoma chuo kikuu miaka ya 1970 halafu unababaisha kiingereza kama Jk sijui alifanyafanya vipi akamaliza chuo, naye Mulugo kwa wanafunzi wa A-Level miaka ile kuongea kibabaishaji vile sijui alifikafikaje High School kwa kifupi Mulogo na JK wote walikuwa vilaza
Nadhani nawe umechanganya maana kuongea kiingereza ni lugha na inahitaji mazoezi sio kuandika ama kusoma. Tuna Maprofesa kibao wanajua kuandika kiingereza vizuri sana lakini inapofikia swala la kuzungumza kiingereza hapo ndipo utata unapokuja..Na wala usishangae maana wapo watanzania wakiongea kiswahili unaweza kuomba ardhi ipasuke ujifiche..

Swala la Mulugo kusema kweli inategema kaenda shule mwaka gani maana kama sikosei wakati wa Mwinyi na Mkapa ndio hizi habari za kulipa zilianza taratibu. Na pia sii kweli kwamba wanafunzi wote walioshinda walipata nafasi za masomo. Tulikuwa na shule chache sana za sekondary ukilinganisha na hesabu ya wanafunzi wanaomaliza darasa la saba. Kwa hiyo yawezekana kabisa Mulugo alishinda peke yake kuingia secondary lakini hayo ya kwenda Chuo kikuu kusema kweli inategemea lini alimaliza kidato cha sita.

NB: nimepitia CV yake inaonyesha alimaliza kidato cha sita mwaka 1996..
 
Mi hata sielewi mkuu wa kaya yeye halimhusu kalifumbia macho kaziba na masikio kuhudu hili sakata la mulungo. Inaonyesha hata hajui utendaji wa watu anaowateua. Kaka mkuu nae alitakiwa amshauri mkuu lakini na yeye halimuhusu kabisa. CV ya Mulungo kama elimu na uzoefu wa kazi ilikuwa kigezo vyote hana huyu mheshimiwa.
Hii ni mfano tu ya kina Mulungo waliowengi ambao wameaminiwa kuliongoza hili taifa. Wakulaumiwa ni PM kaka mkuu na huyo aliyemteua.
 
No wonder wizara yake inapeleka wanafunzi sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika, hivi shule za KATA zilianza siku nyiing eeh!!:-O?
 
Mh. N/ Waziri wa elimu, mulugo amesema ktk kipindi cha medani za siasa na uchumi kinachorushwa na star Tv kuwa yeye alisomeshwa na padri na akafaulu pekee yake kwenda secondary.Pia amesema kuwa alichelewa kwenda chuo kikuu kwani alikuwa anatafta fedha kwa ajili ya kujisomesha. swali langu ni kwamba hivi serikali ilikuwa haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu enzi za akina mulugo?

Alifaulu mwaka gani na wapi na alifaulu vipi huku akishindwa kujua Tanzania ni muungano wa nani na nani! Kama hajui hilo atajua kweli Falme za Osei Tutu, Utawala wa Timbuktu , Shaka Zulu, Tip Tip, Vasco da Gama na Biashara ya pembe tatu? Labda hakufanya mtihani wa Historia na Kiingereza!
 
Mh. N/ Waziri wa elimu, mulugo amesema ktk kipindi cha medani za siasa na uchumi kinachorushwa na star Tv kuwa yeye alisomeshwa na padri na akafaulu pekee yake kwenda secondary.Pia amesema kuwa alichelewa kwenda chuo kikuu kwani alikuwa anatafta fedha kwa ajili ya kujisomesha. swali langu ni kwamba hivi serikali ilikuwa haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu enzi za akina mulugo?

Huyu atakuwa hakufAulu Bali alichaguliwa kuwAkilisha Kijiji kwa utaratibu wa zamani...wakati kuna watu walikuwa wakienda sekondari kwa jumla ya alama 100 hadi
 
Mh. N/ Waziri wa elimu, mulugo amesema ktk kipindi cha medani za siasa na uchumi kinachorushwa na star Tv kuwa yeye alisomeshwa na padri na akafaulu pekee yake kwenda secondary.Pia amesema kuwa alichelewa kwenda chuo kikuu kwani alikuwa anatafta fedha kwa ajili ya kujisomesha. swali langu ni kwamba hivi serikali ilikuwa haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu enzi za akina mulugo?

Naomba nimuulize naibu waziri swali kipindi anasoma anafaulu peke yake shule za sekondari zilikua ngapi? Mwalimu Nyerere amewahi kusema sio kwamba wanafunzi wanafeli kwa kuwa hawana akili isipokua hakuna shule Je akiwa kama naibu waziri anataka mtoto mmoja tu ndo afaulu wakati kila kata ina shule nyingine zaidi ya moja na hao wanaoenda kwenye shule zake wana ufaulu gani au ndo anataka kujisifia ana akili sana! Beatifully Tanzania
 
Mbona wanasema vyeti vya kununua yeye anaitwa AMIM?
 
Alifaulu mwenye hilo jina na si hicho kichwa...atuambie jina lake halisi na aache kutumia jina la wizi..yeye si Mulugo. Hilo ni jina la mtu ambaye alishindwa kuendelea na shule kwakuwa hakuwa na uwezo.
 
Mtamuonea bure Huyo Waziri, nipo hapa nasikiliza pumba za Zembwela kwenye kipindi chake na naambiwa amesoma chuo cha uandishi wa habari nimebaki mdomo wazi.
 
Mh. N/ Waziri wa elimu, mulugo amesema ktk kipindi cha medani za siasa na uchumi kinachorushwa na star Tv kuwa yeye alisomeshwa na padri na akafaulu pekee yake kwenda secondary.Pia amesema kuwa alichelewa kwenda chuo kikuu kwani alikuwa anatafta fedha kwa ajili ya kujisomesha. swali langu ni kwamba hivi serikali ilikuwa haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu enzi za akina mulugo?
hebu achaneni nae huyu kilaza,hivi bado mnahangaika nae tu?!!!!!!!
 
Hebu someni hili bango.

untitled%287%29.jpg
 
king of the fools basi alisoma na wajinga sana na yeye ndo alikuwa afadhali
 
Mtamuonea bure Huyo Waziri, nipo hapa nasikiliza pumba za Zembwela kwenye kipindi chake na naambiwa amesoma chuo cha uandishi wa habari nimebaki mdomo wazi.

Mkuu vituko haviishi nchini kwetu !
 
Ooooh pole sana kaka, KUANZIA LEO siwezi kumlaumu Mulugo kumbe alifaulu peke yake? Impression inayopatikana hapa ni kwamba hio shule kiwango chake cha elimu kiko chini sana na kwamba hata yeye alifaulu kwa bahati sana au labda mwalimu wake alimsaidia ili kuokoa jahazi, so yuko right kuendelea kuongea vitu asivyovifahamu.
 
Hivi kulikuwa na kuchaguliwa au kufaulu? Nikumbusheni wadau siku nyingi zimepita

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom