DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,906
- 4,235
Ha ha haaawanaume tumeumbwa mateso
Ha ha haaawanaume tumeumbwa mateso
Nimewatolea mfano huu hapa wa romance kwenye majina ya kuwaita wapenziConversation isiyokuwa romantic
Kulusumu:Hello,Kamusoko
Kamusoko:Hello,Kulusumu hujambo mke wangu?
Kulusumu:Sijambo mume wangu Ila nimejikata na kisu leo asubuhi
Kamusoko😱oh!pole sana kulusumu ntakuletea chocolate upooze maumivu
Kulusumu:sawa lakini naomba uwahi kurudi Kamusoko
Conversation iliyo romantic
Harun:hello sweetheart
Caty:hello honey
Harun:unaendeleaje kipenzi changu?
Caty:naendelea vizuri lakini Mbona hujaweka hata emoji baby au hunipendi..
Harun😱oh!mahabuba wangu
nakupenda sana si unajua we ndo wife wa dunia
Caty:yeah,baby nimekumiss fanya haraka urudi nimeshakupikia chakula chako pendwa.
Harun:usjali my katoto wangu nakuja sasa hivi nakuletea na zawadi![]()







Kuna wengine hawataki... Nilimuitaga daddy akasema subiri mpaka nikikuzalisha mtoto
Mostly anapendelea sweetheart, mpenzi wangu, depal wangu.![]()
Kumbe, sema wewe na madeko naelewa hizo swagaHaswaaaah na mie naona iwe hivyo tyuuuh. Hakuna namnaKwa leo wawe wapenzi wasomaji, sa itakuaje![]()
Makubwa khaaaah lolWana-comment hapo chini boss.View attachment 1548601
Aaaah dea unakuwa una relax tyuuuh, hujui kuna kujisahau kwani?I calls her Babe or Babymama and she calls me Babe or Babydady,
Siku akiniita jina langu najua kimenuka fasta naanza kuwaza kama zile sms nilifuta, calls history niliclear kila kitu kikiwa sawa naitikia kwa bashasha zote.
Na sisi tunadandiamo humohumo tunajifanya tunaelea kwenye dimbwi la mahaba


yaan wee nimecheka had baas, ile kujipa moyo na vyenye hakuna. Ila tucheze humohumo.Chugga all the way!!![]()




yeah, ila hilo neno lina maan nyingne kabisaaah na tulivyozoea kutafsiri. Uko sahihi dea.Nilikuwa na BF huyo mkiongea kwa simu ni lazima aanze na "wife" kila simu ni "hello wife" bla bla hapo kati then ok wife take care "... Nilikuwa nachukia mwanzo mwanzo hizo wife zake mpaka nikaja kuzoea baadaye.




hebu relaaaax na wee, sasa si ali imagine kakuoa tayar. UwiiiiiihSisi Tunaitanaa Nyumbuu na penzii linasongaaa zaidiii ya ISIDINGO Mara ya kwanza namtongozaaa alinijibu vibayaa kwa kuniita Nyumbu alipokubaliii nikaliendelezaaa Hilo jinaaa ameshazoeaa dah ngojaa nimpigieee Nyumbu wanguu



😂😂😂 ..Sisi Tunaitanaa Nyumbuu na penzii linasongaaa zaidiii ya ISIDINGO Mara ya kwanza namtongozaaa alinijibu vibayaa kwa kuniita Nyumbu alipokubaliii nikaliendelezaaa Hilo jinaaa ameshazoeaa dah ngojaa nimpigieee Nyumbu wanguu
Dem kama hayupo moyon hata aniiteje wala sishtuk...kwanza naona ananikera...





Ila wewe kaka inaonekana mgumu saanaWhy are you walkin awayAisee![]()

Hahahanimecheka kama chizi, nani alikwambia umuache mdogo wangu ona sasa umepata taahira anakuita 'wewe'
mdogo wako ndo aliniacha
nalia hadi leoNa wewe unaenjoy duh!ngoja siku akianza kukuita Mamba tuone kama romance itaendelea![]()

..! Ni balaa