Muite girlfriend wako majina romantic

Muite girlfriend wako majina romantic

Hiyo ni kauli tu kama zilivyo zingine

Ni kama mtu aseme my pumpkin....logically kiswahili cha pumpkin ni boga lakini anayesema my pumpkin anakuwa na maana nyingine ambayo sio boga

So mie kumuita my smart ass sio kwamba namaanisha kiswahili chake....yuko veeeery smart kwa almost kila jambo ndio jina lilikotokea
Kuna idioms (nahau/misemo) hazina tafsiri ya moja kwa moja kwa sababu ya muktadha na mazingira tofauti ya kitamaduni kutoka huko zilikotoka. Ukijaribu kuzitafsiri moja kwa moja unaharibu na unaweza kugeuka Google translator.

My smart ass pengine tunaweza kusema "mjanja wangu, jiniazi wangu, mweledi wangu, kipanga wangu, kichaa wangu...."
 
Hiyo ni kauli tu kama zilivyo zingine

Ni kama mtu aseme my pumpkin....logically kiswahili cha pumpkin ni boga lakini anayesema my pumpkin anakuwa na maana nyingine ambayo sio boga

So mie kumuita my smart ass sio kwamba namaanisha kiswahili chake....yuko veeeery smart kwa almost kila jambo ndio jina lilikotokea
Ni sawa na mtu kukuambia you're badass..hapo anaweza kuwa kamaanisha wewe ni mkali(mzuri) kwenye ishu fulani
 
Hakuna moment napenda kama upo umejichokea zako na majukumu ya siku then inaingia sms au call kutoka kwa mpenzi wako inasema au anaanza kwa kusema “mume, hny, mpenzi, hubby akitaja na jina lako walahi unajikuta unatabasam.

Ila upande wa pili sasa ni TFI1342 IMETHIBITISHWA Umepokea Tsh 7800 kutoka kwa .....
 
Kah kweli tunatofautiana... Daddy ina means alot kwa mwanamke anae muita mpenzi wake hivyo, hata kwa mwanaume ukiona mwanamke wako anakuita daddy inaleta faraja
Kwa wengine huko hii ina sexual connotations. Inamaanisha kwamba unamridhisha sawa sawa sexually na atakuita hivyo wakati unampelekea moto...na hawezi kukuita hadharani mbele ya watu...

Daddy....

Dad...
 
Kah kweli tunatofautiana... Daddy ina means alot kwa mwanamke anae muita mpenzi wake hivyo, hata kwa mwanaume ukiona mwanamke wako anakuita daddy inaleta faraja
Na kweli ila hajui tu jinsi gani naenjoy kumuita hivyo na ninamuona wa thamani kiasi gani kumuita ivyo...
 
Kuna idioms (nahau/misemo) hazina tafsiri ya moja kwa moja kwa sababu ya muktadha na mazingira tofauti ya kitamaduni kutoka huko zilikotoka. Ukijaribu kuzitafsiri moja kwa moja unaharibu na unaweza kugeuka Google translator.

My smart ass pengine tunaweza kusema "mjanja wangu, jiniazi wangu, mweledi wangu, kipanga wangu...."

Siku ukasahau ukamuita smart ass mbele ya wazazi wenu
 
Wasiokuwa na wapenzi wana comment wapi? Nahitaji kujua.
Wana-comment hapo chini boss.
JamiiForums-1558939110_303x540.jpg
 
I calls her Babe or Babymama and she calls me Babe or Babydady,

Siku akiniita jina langu najua kimenuka fasta naanza kuwaza kama zile sms nilifuta, calls history niliclear kila kitu kikiwa sawa naitikia kwa bashasha zote.
 
Hakuna moment napenda kama nimepigiwa simu napokea 'haloo beeeib', naskia 'Carleen, mama angu'...! Naitika 'beeeeh' (kwa kudeka), naambiwa 'hujambo mama'...!?

Huwa natamani nibandike hiyo convo kwenye nguzo za umeme barabarani..!! 😅

NB; tukiachana nitawaletea tena siredi.!!
 
Kuna idioms (nahau/misemo) hazina tafsiri ya moja kwa moja kwa sababu ya muktadha na mazingira tofauti ya kitamaduni kutoka huko zilikotoka. Ukijaribu kuzitafsiri moja kwa moja unaharibu na unaweza kugeuka Google translator.

My smart ass pengine tunaweza kusema "mjanja wangu, jiniazi wangu, mweledi wangu, kipanga wangu...."

Yaaas sir!ndio nilikuwa najaribu kuelezea hapo juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom