Muite girlfriend wako majina romantic

Muite girlfriend wako majina romantic

She's from Kenya.. Nikimuita " mama kayaai " it's sound so romantic na huwa anaitikia akisema " nini mbaya na wewe "
 
Majina ya mababes yameisha yote mmeanza kuitana we mzee
 
Mi namuita mkewangu japo sijamuoa ata kuchumbia Bado! Ila masuala yakuitana baby sipend ata kidogo aisee
 
Conversation isiyokuwa romantic
Kulusumu:Hello,Kamusoko

Kamusoko:Hello,Kulusumu hujambo mke wangu?

Kulusumu:Sijambo mume wangu Ila nimejikata na kisu leo asubuhi

Kamusoko😱oh!pole sana kulusumu ntakuletea chocolate upooze maumivu

Kulusumu:sawa lakini naomba uwahi kurudi Kamusoko

Conversation iliyo romantic
Harun:hello sweetheart

Caty:hello honey

Harun:unaendeleaje kipenzi changu?

Caty:naendelea vizuri lakini Mbona hujaweka hata emoji baby au hunipendi..

Harun😱oh!mahabuba wangu
nakupenda sana si unajua we ndo wife wa dunia

Caty:yeah,baby nimekumiss fanya haraka urudi nimeshakupikia chakula chako pendwa.

Harun:usjali my katoto wangu nakuja sasa hivi nakuletea na zawadi
 
Mie na boyfriend wangu tunaitana 'smart ass'

Na tuko romantic kinyama
Smart ass
Nmekutext haujibu.....my ass
Nlitaka nkutaarufu kua nshapata gari nkifika tabora ntakutaalifu

Enjoy the moment my ass
 
Uwe na mtoto ama bila mtoto, nikukuita 'mama' hapo ujue ndio kila kitu, vinginevyo ntakuita initial of your name sinaga mambo ya majina matamu zaidi ya haya, hata wao huwa wananiita jina langu tena kwa mkazo maana wakiita love, baby nawaambia 'acha kuniibia wewe'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom