The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 4,226
- 6,368
She's from Kenya.. Nikimuita " mama kayaai " it's sound so romantic na huwa anaitikia akisema " nini mbaya na wewe "
Ukiachwa unakunywa maji ya betri kama vipi, lose lose situation inahusika








yeah,baby nimekumiss fanya haraka urudi nimeshakupikia chakula chako pendwa.
😂😂Kama huna pesa hata umuite majina yote romantic hapa duniani ni kazi bure !!!
Sweetlove kaka ake ndiyo mimi nipo hapa ..Nipee kaka ako basi niwe namuita "my wangu"![]()
Sweetlove kaka ake ndiyo mimi nipo hapa ..
Njoo chumbani tuyajenge my angel



More of a blind dateSweetlove kaka ake ndiyo mimi nipo hapa ..
Njoo chumbani tuyajenge my angel


Smart assMie na boyfriend wangu tunaitana 'smart ass'
Na tuko romantic kinyama






sinaga mambo ya majina matamu zaidi ya haya, hata wao huwa wananiita jina langu tena kwa mkazo maana wakiita love, baby nawaambia 'acha kuniibia wewe' 
....aagh..bora sister umekuja...Si unaitwa lakini, unajifanya husikii au


Hata watoto shule wanaijua ngono wakiwa wadogo wanafundishwa reproduction theoritical Ila wakifanya na practical msiwashangae
