Anakuheshimu kwa kukuita hivyo ni vile na wewe hujui tuNapenda sana kusikia akiniita kwa jina langu. Sasa hivi ni mwendo wa mama nanihii tu....sipendi kwa kweli. God knows if he even still remembers my name.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwangu hataki nimuite daddy😂😂Kitu nachokipenda kutoka kwa mwenzangu na nina kifurahia kwa kweli na naona ananiheshimu ni anavyoniita daddy...
Sikh hizi hata neno "dear" linatumiwa mpaka na polisi.utaskia..
"My dear your under arrest"
Safi inapendeza kwa kweliAnaniitaga beautiful namuita handsome.
Ingawa naenjoy zaidi akiwa ananiambia ananipenda ile " nakupenda Yna2 wangu"..![]()
Okey smart ass.. Hebu niambie kwa Kiswahili smart ass ndiyo kitu gani







Okey smart ass.. Hebu niambie kwa Kiswahili smart ass ndiyo kitu gani
NakaziaSikumbuki kama ashawahi kuniita baby, ananiitaga mamsap nami namwita chalii angu.
Yuko romantic kwa vitendo sio majina, jitu linaweza kukuita majina yote mazuri ila vitendo zero.
Joanah unatu nyanyasa hatujui maana ya smart ass kingereza kigumu
Hiyo ni kauli tu kama zilivyo zingine
Ni kama mtu aseme my pumpkin....logically kiswahili cha pumpkin ni boga lakini anayesema my pumpkin anakuwa na maana nyingine ambayo sio boga
So mie kumuita my smart ass sio kwamba namaanisha kiswahili chake....yuko veeeery smart kwa almost kila jambo ndio jina lilikotokea
KwakweliNmecheka sana ila my dear siku hizi halina uzito sana
Hahahahaa kweli kabisaSikh hizi hata neno "dear" linatumiwa mpaka na polisi.utaskia..
"My dear your under arrest"
Kwakweli
Wa kwangu hataki nimuite daddy![]()
Kah kweli tunatofautiana... Daddy ina means alot kwa mwanamke anae muita mpenzi wake hivyo, hata kwa mwanaume ukiona mwanamke wako anakuita daddy inaleta farajaOkey nimekusoma kwa maelezo haya.. Itakua una bonge la ass.. Sasa na yeye ana ass kubwa au anakuita wewe tu smart assHiyo ni kauli tu kama zilivyo zingine
Ni kama mtu aseme my pumpkin....logically kiswahili cha pumpkin ni boga lakini anayesema my pumpkin anakuwa na maana nyingine ambayo sio boga
So mie kumuita my smart ass sio kwamba namaanisha kiswahili chake....yuko veeeery smart kwa almost kila jambo ndio jina lilikotokea
Pathologist utawajua tunamwita acute ye ananiita chronic mtuachee