Muite girlfriend wako majina romantic

Muite girlfriend wako majina romantic

Kitu nachokipenda kutoka kwa mwenzangu na nina kifurahia kwa kweli na naona ananiheshimu ni anavyoniita daddy...
Kuna wengine hawataki... Nilimuitaga daddy akasema subiri mpaka nikikuzalisha mtoto 😀

Mostly anapendelea sweetheart, mpenzi wangu, depal wangu. 😉
 
Hakuna moment napenda kama nimepigiwa simu napokea 'haloo beeeib', naskia 'Carleen, mama angu'...! Naitika 'beeeeh' (kwa kudeka), naambiwa 'hujambo mama'...!?

Huwa natamani nibandike hiyo convo kwenye nguzo za umeme barabarani..!! 😅

NB; tukiachana nitawaletea tena siredi.!!
Hahaha nimecheka kwa sauti.

Kumbe tuko wengi tunaopendwa kuitwa mama 😚 "mama angu" nasikiaga raha akiwa ananiita hivyo.
 
Nilikuwa na BF huyo mkiongea kwa simu ni lazima aanze na "wife" kila simu ni "hello wife" bla bla hapo kati then ok wife take care "... Nilikuwa nachukia mwanzo mwanzo hizo wife zake mpaka nikaja kuzoea baadaye.
 
Nilikuwa na BF huyo mkiongea kwa simu ni lazima aanze na "wife" kila simu ni "hello wife" bla bla hapo kati then ok wife take care "... Nilikuwa nachukia mwanzo mwanzo hizo wife zake mpaka nikaja kuzoea baadaye.
Mnaendeleaje saivi wife ake mtu😛
 
Hakuna moment napenda kama nimepigiwa simu napokea 'haloo beeeib', naskia 'Carleen, mama angu'...! Naitika 'beeeeh' (kwa kudeka), naambiwa 'hujambo mama'...!?

Huwa natamani nibandike hiyo convo kwenye nguzo za umeme barabarani..!!

NB; tukiachana nitawaletea tena siredi.!!

Na hamtoachana kamwe mnapendezeana
 
Mwingine tulikua tunaitana baba chanja/mama chanja ila tuliachana, hadi saivi tukiwasiliana tunaitana hivyo.
 
Hakuna Cha baby wala nini we muite Kama ni mbute au mchembe life lisonge mengine Ni mbwembwe tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom