Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,632
Tupo wengi.Mwingine tulikua tunaitana baba chanja/mama chanja ila tuliachana, hadi saivi tukiwasiliana tunaitana hivyo.
Maendeleo si mabaya sana wala mazuri sana. Long distance relationship....Mnaendeleaje saivi wife ake mtu😛
Aya bhanaHatujapoa mpaka na sisi tupate![]()
Kwanini hujaedit kikopa lakin, current bebe akiona haitaleta noma?Tupo wengi.
Sie ilikuwa baba D na mama D. Ila hapo kati ni story nyingine thoe we're still keeping in touch na majina hayajabadilika. Kwenye simu bado nimemsave baba D na kikopa chake vile vile hata sijaedit since amekula kona 😀😀😀

😂😂😂😂😂😂Aki nimechekaaa 😂😂
Mnafurahisha sana!I calls her Babe or Babymama and she calls me Babe or Babydady,
Siku akiniita jina langu najua kimenuka fasta naanza kuwaza kama zile sms nilifuta, calls history niliclear kila kitu kikiwa sawa naitikia kwa bashasha zote.
Aya bhana
Unamiss sana kuambiwa "Khantwe my sweetheart umechapata lunch? if not,nikuagizie something yummy utaletewa na uber eats"


hee dada yako mpaka nazeeka sijawahi kuyasikia maneno haya masikioni mwanguNyutro sio😀Maendeleo si mabaya sana wala mazuri sana. Long distance relationship....
that word mama angu' hua inasound good jamani ata kama una stress zaisha zoote😂😂😂🙌🏻Hakuna moment napenda kama nimepigiwa simu napokea 'haloo beeeib', naskia 'Carleen, mama angu'...! Naitika 'beeeeh' (kwa kudeka), naambiwa 'hujambo mama'...!?
Huwa natamani nibandike hiyo convo kwenye nguzo za umeme barabarani..!! 😅
NB; tukiachana nitawaletea tena siredi.!!
Kwa mtu unayempenda, mtu ambaye humpendi akikuita hivyo unaweza tamani umbamize la lichupa la Pepsi bigithat word mama angu' hua inasound good jamani ata kama una stress zaisha zoote![]()
hee dada yako mpaka nazeeka sijawahi kuyasikia maneno haya masikioni mwangu


..Sisi kama wadogo zako acha tuanze kukuweka kwenye maombi rasmiAlafu mkipita street akikutambulisha huyu ndo "demu" wangukibabe![]()
..Sisi kama wadogo zako acha tuanze kukuweka kwenye maombi rasmi

mtakuwa mmefanya la maana sanakhantwe why lakini 😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻Kwa mtu unayempenda, mtu ambaye humpendi akikuita hivyo unaweza tamani umbamize la lichupa la Pepsi bigi
Alafu mkipita street akikutambulisha huyu ndo "demu" wangu
Au akutambulishe huyu ndo my sweetheart,my Darling ipi utafurahia zaidi
Sasa si ndio maana nimesema kuitwa romantic names Kama baby kuna raha yakeDemu?????? Omg sijawahi lipenda wala kulifurahia hilo neno kwanza



Kwani uwongo Mama D?Nimecheka sana![]()