Nyoko zake mwenyewe kwanza hapo alipo anapumulia machine,, zikiisha chaji tu hatunaye!Ingekuwa ni amri ya huyo dhalimu angepiga marufuku hata Lissu kuongezewa damu pale hospital Dodoma ili
akitakacho cha Lissu kufa kitimie. Ana roho mbaya sana huyo dhalimu.
Hii ni njama ili watanzania tukajae magerezani,,
Mkuu,wengine tuliowahi poteza wapendwa wetu kwa upungufu/ukosefu wa damu tukiona haya yanayotokea kwa kweli tunatoneshwa kidonda na kusikitishwa sana. Kitendo cha kuokoa uhai kimekuwa jinai?Tukihamasishana kuchangia kwa pamoja mnatukamata tunaogopa sie kuja uko.