jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Nchi hii imejaa siasa za ujinga sana, Viongozi wa Chadema (Katibu), alitoa wito kwa Wanachama chake wajiyokeze kuchangia damu kwani kuna uhaba mkubwa sana wa Damu Mahospitalini, Serikali kwa kuona kuwa ni Chadema ndio watakaokuja kutoa damu inawakamata na kuwatia ndani, kuvaa fulana za Chadema sio kuwa damu yao haifai, kila siku huwa tunaona kila kikundi kinachokwenda kutoa damu huwa wanafaa fulana za Taasisi zao wanazoziwakilisha, iweje iwe shida kwa Chadema?
Siasa zinaangamiza taifa,
Jumuiya ya Ulaya imetoa pesa za kujenga Barabara ya kutoka kituo cha mawasiliano, kupitia Sinza, Tandale mpaka Magomeni, lakini Serikali haitaki hiyo barbara ijengwe kwani Mayor wa Ubungo na Mbunge watapata sifa, kila kukicha Bonface anaangaika sana na hiyo Barbara lakini CCM hawataki
Ndo maana mimi ilisema na nasema tena hatuna mtetezi wa wanyonge
Hapa tuna mtu mwenye agenda zake za siri