Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Kwenye kitabu cha Siri ya Majini sehemu hiyo ya kusimulia kuwa “Adam na Hawa hawakuweza kumsilimisha shetani ila Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza” ipo katika ukurasa wa 20.
Kitabu hiki hapa👇
FB_IMG_1754821621859_1.jpg
 
Ibilisi yupo kwenye KUNDI LA MAJINI.
alipoasi akageuka kuwa shetani.
Kwa hyo katika MAJINI KUNA MAKUNDI YA MASHETANI MAWILI.mashetani wema na MASHETANI wabaya.

Kwahiyo nikisema hivi ni sawa?.

Kuna mashetani waislamu(wale walioslim baada ya kusomewa quran )
Na mashetani wabaya.

Si ndio?
 
alikuwa miongoni mwa majini.
Baadae akaasi .alipoambiwa amsujudie Adam akakataa akasema yeye kaumbwa na moto na Adam kaumbwa na udongo.ndipo Mungu akamlaani ibilisi na kuwa jini muovu.
Kabla ya kuasi inasemekana ibilisi alikuwa jini mwema na alikuwa anafanya ibada kama malaika
Kwahiyo kwa sasa ni mwisilam?

Lakin pia umenichanganya kwahiyo kwenye uislam anaabudiwa Allah au ana abudiwa Adam? Mbona waislam mnaabudu vitu vingi sana aisee
 
Kwahiyo kwa sasa ni mwisilam?

Lakin pia umenichanganya kwahiyo kwenye uislam anaabudiwa Allah au ana abudiwa Adam? Mbona waislam mnaabudu vitu vingi sana aisee
ALITAKIWA ATOE SAJDA YA HESHIMA KWA ADAM.ila Kwa kuwa ana KIBURI alikataa wa kuabudiwa ni Allah pekee.
 
Mashetani wema😂😂
Bila shaka
Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
72.Surat Al-Jinn

Imeshuka MakkaIna aya 28
UtanguliziOrodha ya SuraFaharasa

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


1. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu! 1


2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi. 2


3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana. 3


4. Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu. 4


5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwon
go Mwenyezi Mungu. 5
 
Bila shaka
Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
72.Surat Al-Jinn

Imeshuka MakkaIna aya 28
UtanguliziOrodha ya SuraFaharasa

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


1. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu! 1


2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi. 2


3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana. 3


4. Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu. 4


5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwon
go Mwenyezi Mungu. 5
Quran hakika sio muongozo wa Mungu wa kweli
 
Ukiudhihaki ukristo au Mungu wao au Yesu wao hadharani wakristo wanakudharau na kukuona kama kichaa flani hivi na wanakuacha tu:

Ole wako umkashifu Muhamadi au Allah au Qurani yaani Satanic verses:

Watakuchinja hadharani huku wakimwimbia Shetani Allah Akbar:

Hivi ni Mungu gani anafurahia kuchinjwa kwa watu wake aliyewaumba kwa gharama kubwa sana ?

Shetani Allah hana cha kupoteza, ukimchinja mtu na kulisifia jina lake yeye ndio furaha yake:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom