Bro
Chizi Maarifa , hiv unajua hata Kitimoto na bia Muislam anakula tu na hakuna dhambi.
Kitimoto ikiwa ni dharula.
Bia atumie akili.
Quran 2:173
"Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.
Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu."
Na
Quran 16:67
"Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili."
Kwahiyo kobaz wanaotumia Kitimoto na Bia Wanafuata Quran tukufu.